Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Hawa jamaa kutoka Kenya walikuwa na international flow, walikuwa ahead of time. Imepita miaka kama 13 tangu hawa jamaa waje kwenye game ya muziki na ghafla wakapotea. Nafikiri kwa ile style yao...
0 Reactions
1 Replies
749 Views
Al Jumaa Mubarak wakuu... Mwezi uliopita msanii mkubwa zaidi Tanzania Diamond Platnumz aka Chibu Dangote alijinasibu kwamba ataanza kuporomosha mangoma ya hatari kwa kuzingatia soko la ndani na...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Binafsi sikuwahi kufikiria kabisa kuhusu ndoto. Nilikuwa nachukulia kama mauza uzaza ya uchovu na mawazo ya siku nzima. Ila kuna kitu nimekuja kukigundua kwa namna mbili kwanza ni kuwa sina...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
AKINYI MUST DIE (NI LAZIMA AKINYI AFE) - 01 Mvua kubwa iliyoambatana na ngurumo,radi na upepo mkali zilikuwa zikilindima Kaskazini mashariki mwa Tanzania katika jiji la Mwanza,maeneo ya...
48 Reactions
255 Replies
31K Views
Kwangu mimi ndio video bora 2023. Kuanzia mavazi location mpaka video quality kichupa ni kali mno. Hongera lovebite Video ya Lava Lava Ft Diamond Platnumz - Tuna Kikao
3 Reactions
1 Replies
2K Views
Kwa wale wote ambao mapenzi yao yapo ICU baada ya kucheat baby zenu. Goma la kueleweka la kuombea msahama kwa babe zenu hili hapa la mtu mzima Rick Ross ft Chris Brown- Sorry Rick Ross"Sorry"...
2 Reactions
6 Replies
793 Views
Ndiyooo! Siku hizi angalau wasanii wetu wanaimba vitu vya kuburudisha sio zile kila siku kulialia mapenzi. Ila hizi style za uchezaji kwetu watu wazima zinaweza kukutia wazimu, juzi nimecheza...
3 Reactions
3 Replies
442 Views
Muziki unawatii hawa viumbe. Wameshindikana.
2 Reactions
11 Replies
812 Views
RIWAYA: MZEE WA BUSARA MWANDISHI - SULTAN TAMBA ANGALIZO, Riwaya hii ni ya zamani iliwahi kutamba kwenye magazeti ya kila wiki, leo nimewaletea mpate kuburdika. MWANZO NILIHISI kupagawa. Akili...
1 Reactions
3 Replies
3K Views
Weka screenshots za scores waje watu wakuchallenge. Namaanisha games za aina yoyote za kielekronic na zingine zikijumuisha PlayStaions. Mi jana nimekutana na haka kadude kaninusumbua mwenye aidia...
3 Reactions
70 Replies
5K Views
Wadau wa jamii forum, Heri ya sikukuu ya Simba Day. Leo nimeamka na mzuka wa kumsikiliza Jabari la muziki. Naomba kama unao wimbo wowote wa Marijani basi uniwekee hapa. Nitafurahi nilipata...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Naanza na 1. John Lissu - Nitaongozwa na Bwana 2. Boazi Danken - Ninakupenda 3. Essence of worship - Umetenda 4. Hymnos 2- majina yote mazuri 5. Dr. Ipyana - Nikupe nini kwa yote umetenda 6...
3 Reactions
45 Replies
3K Views
Ifike pahala huyu jamaa wamuache apumzike maana kwa mambo yanayoendelea sasa ni kumkosea adabu bondia bora wa muda wote na wa vizazi vyote Floyd Sinclair Joy Money Mayweather Junior ...
3 Reactions
14 Replies
2K Views
ENRIQUE IGLESIAS VS ED SHEERAN. Hero vs Perfect. . Your my number one vs Thinking out loud. . Bailando vs Shape of you. . Takin back my love vs Heartbeat. . Why not me vs photograph. . Some...
4 Reactions
55 Replies
4K Views
Wakuu habari za mda leo nimeleta mada hii tujadili kwamba tangu ujio wa microgenre mpya ya hiphop 2016 iliyoanzishwa na future, Gucci mane na chiefkeef iliyo kwenye trap genre hiphop style na...
3 Reactions
77 Replies
3K Views
Katika majira ya joto ya mwaka huu, filamu ya katuni ya kichina “Chang An” (mji mkuu wa taifa la China katika enzi ya Tang) imejizolea umaarufu mkubwa. Ndani ya mwezi mmoja na zaidi tangu...
0 Reactions
0 Replies
797 Views
Kama mdau wa soka jana nilifuatilia na kufurahia sana sherehe ya wana-simba ambayo kiuhalisia ni tukio waliolianzisha miaka kadhaa iliyopita na linaloendelea kukua mwaka hadi mwaka. Si ajabu pia...
1 Reactions
2 Replies
432 Views
Huu wimbo ni wa kawaida sana, ni vile tu umeimbwa na Diamond. Diamond anajua, ila kwa huu wimbo hapana.
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Hii ni kwa mujibu wa wavuti rasmi ya warner bros. hii inaifanya kuwa filam ya kwanza kutengenezwa na mwanamke kuingiza kiasi hicho cha pesa. source:cnn
1 Reactions
7 Replies
502 Views
Nakumbuka kipindi hicho tunaangalia Rocky ya Rambo na huku tukijifunza kurukiana mateke baada ya kuangalia bloodsport ya van damme. Ilikuwa ukitoka kuangalia commando ya arnold na wewe unaenda...
10 Reactions
165 Replies
8K Views
Back
Top Bottom