Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Salaam wanabodi Aisee katika pitapita za mjini nikakutana na zile Gereji za barabarani. Yaani magari yanapaki beside barabara na fundi gereji wanaendelea na matengenezo kama kawaida. Sasa mimi...
11 Reactions
17 Replies
2K Views
Habari ya kila movie watu wema kushinda inakera sana wakati mwingine. Maisha hayako hivyo kabisa. Na sometimes unakuta adui anapambania dili lake lifanikishe mara anatokea "mtu mwema" na...
4 Reactions
44 Replies
3K Views
Hivi aina hii ya music maDJ nani kawadanganya kila mtu anaipenda? Mnadhan kila mtu anavutiwa na ujinga wa hizo viral za tiktok? Nipo sehemu moja hapa naandika kwa uchungu sana sababu DJ toka saa...
1 Reactions
2 Replies
839 Views
RIWAYA: UFUKWE WA MADAGASCAR Mtunzi: Kelvin Mponda SEHEMU: 2 Begi langu dogo la mgongoni lenye mifuko mingi yenye vipenyo tofauti ambapo mle ndani pia niliweka nguo zangu chache muhimu za...
5 Reactions
341 Replies
140K Views
Naona alosto zimezidi. Nimeona nirushe adithi ambayo bado mtunzi anaishusha taratibu. Mara moja kwa wiki. Kumbukeni huyu ni mwandishi mahili wa vitabu kama;Tai kwenye mzoga,Mifupa 206 na Ufukwe wa...
7 Reactions
129 Replies
58K Views
Nimawasalimia wana JF wote. Leo nimeona niweze kuelezea mambo muhimu sana ya nchi niliyoweza kuyapata miaka ya 90s. Miaka hiyo nilitokea kumpenda mtoto mmoja wa kike jina lake akiitwa Misoji...
9 Reactions
38 Replies
4K Views
Wiki hii kule Twitter kumekuwa na mjadala mkubwa sana, Moja ya Page ya Twitter ya Kinaijeria imemshutumu Msanii Mkubwa kuwa Nigeria ndio imempa umaarufu kupitia namna anavyokopi Sound ya Miziki...
0 Reactions
1 Replies
461 Views
1. Liberation 2. Serge Palmi Kama Wewe ni Mpenzi wa Miziki ya Congo DR hasa Bendi yangu pendwa na tukuka ya Wenge Musica BCBG yake JB Mpiana na hujazisikiliza hizi Nyimbo Mbili Tamu katika Album...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Jamii forums ina watunzi wengi wa visa vya kubuni na vingine vya kiuhalisia katika maisha yao, Ila huyu mwamba UMUGHAKA ametia fora, sidhan kama kuna member anamzidi Kwa simulizi zake zenye...
29 Reactions
80 Replies
11K Views
Hapa kuna orodha ya njia tano za burudani nchini Tanzania. 1. Kusafiri: Tembelea maeneo ya kuvutia kama vile Hifadhi ya Taifa ya Serengeti, Mlima Kilimanjaro, Visiwa vya Zanzibar, na Mbuga ya...
5 Reactions
1 Replies
937 Views
Hii ni kati ya Series za Kikorea zilizonivutia, kuna mtu kaitizama humu ili tubadirishane uzoefu?
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Huu wimbo mzuri sana kusikiliza. Tatizo ukija kwenye ujumbe ndio tatizo. Unapinga mahusiano. Tujiunge na Jux na Diamond kwenye upweke na ukapela tukanywe na tucheze juu ya meza. Nawashauri...
3 Reactions
3 Replies
625 Views
Enzi hizo ilikuwa ukienda Kinondoni kuanzia ijumaa hadi jumapili maeneo mengi yalikuwa yakitawaliwa na ngoma ya sindimba, ambayo inasemekana asili yake ni huko mkoani Mtwara na wenyeji wa ngoma...
0 Reactions
0 Replies
666 Views
Unaweza kusema aliyewakutanisha AYGUL na JAKUTAY ndani ya Tamthilia ya Ottoman alipata maono ya kweli. Huwezi amini mara baada ya kuoana kitamthilia kule Ottoman hatimaye wapenzi hawa waamua...
6 Reactions
17 Replies
2K Views
Rais wa milele wa Kigambonino huyu na vocal na style yake ya pekee anaisakafia kauli yangu kuwa game bado inamhitaji maana hana mbadala. Ni ngoma chache sana utamsikiliza na kukosa kucheka...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari zenu wakubwa! Samahanini, mwenye uelewa kuhusu YouTube channels anipe ufahamu kidogo kuhusu: 1. Namna ya kufungua channel 2. Utaratibu wa kisheria 3. Namna faida inavyopatikana 4. Na...
1 Reactions
0 Replies
870 Views
Ni muda mwingine tena salaam, Kwa kweli sina hamu ya kuangalia local channels maana hawana mpangilio wa vipindi ili kumvutia mtazamaji zaidi huwa naangalia taarifa ya habari saa mbili, bbc...
2 Reactions
5 Replies
2K Views
SUPA 5 FROM PAPA LOVE MAWINGU RECORDS ni nyumba ya heshima ambayo ilisanifiwa vyema na Boniphace Kilosa, mchonga njia wa muziki huu. Kagusa mikono mingi sana lakini kwa upande wangu, hii mikono...
0 Reactions
5 Replies
871 Views
Wataalamu wa Mambo tuimbie Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Back
Top Bottom