RIWAYA: Mzee wa Busara

gstar

JF-Expert Member
Jun 19, 2011
759
1,250
RIWAYA: MZEE WA BUSARA MWANDISHI - SULTAN TAMBA

ANGALIZO,
Riwaya hii ni ya zamani iliwahi kutamba kwenye magazeti ya kila wiki, leo nimewaletea mpate kuburdika.

MWANZO

NILIHISI kupagawa. Akili yangu ilikuwa mbali sana usiku huo. Sjiui mtanielewa nikisema kwamba nilikuwa kwenye ndoto katika bustani ya mfalme au peponi au ni mahali gani pazuri kiasi kile. Lakini ndivyo ilivyokuwa. Nilikuwa kwenye ndoto nzuri yenye kusisimua mwili na akili.

Naomba nikiri kwamba ilikuwa mara ya kwanza katika maisha yangu kujikuta nikijisikia raha na amani kiasi hicho.

Mwanga hafifu wa rangi nyekundu, harufu nyepesi zenye mchanganyiko wa manukato ya mti wenye thamani, viliniwehua sambamba na kungumanga ambazo nilizibwia muda mfupi uliopita.

Nilikuwa nimejipachika katikati ya mikono ya mwanaume ambaye ndio mara ya kwanza nakutana naye kimapenzi. Ni mwanaume ambaye sikumfahamu kabla ya siku hiyo. Ndiyo mara ya kwanza na ndiyo hapohapo nanasa mikononi mwake! Kutokana na hilo, sikuwahi kutambua kama ni fundi wa mapenzi kwa kiasi nilichomkuta nacho!

Asikwambie mtu, raha ya mapenzi ni pale unapokutana na mtu anayejua kupapasa, kukufikisha na kukugeuza atakavyo kitandani! Ni hilo tu, hakuna kingine. Hapo hata kama mwanaume atakuwa bubu, kipofu, mlemavu au yeyote mambo ndiyo hayo!

Nilichofanya wakati najiandaa kukabiliana naye, ilikuwa ni kukipamba chumba changu. Nilinunua udi, asumini na aina mpya ya pafyumu, Kwa sababu mwanaume mwenyewe alikuwa ana asili ya Kizanzibari nilijitahidi kufanya vile ambavyo watu wa huko nilisikia husisimka sana! Niliwahi kusikia stori nyingi vijiweni kwamba wanaume wa huko mara nyingi hupenda kupata harufu za manukato ya udi, pafyumu na vikorombwezo vingine.

Niliambiwa kwamba kama utabahatika kuvijua vitu avipendavyo mwanaume kama huyo na ukamtimizia, basi hata ukitaka akununulie ndege atafanya kila liwezekanalo akununulie! Na ndio maana nikasema pale mwanzo, raha ya mapenzi ni kuguswa pale ambapo ashki zimelalia!

Mawazo haya hasa nilipewa na mcheza shoo mwenzangu wa bendi yetu ambaye aliwahi kuolewa na bwana moja la kigunya kabla hawajashindana kwa mambo mengine. Hasa kilichonifanya nimkubali mwanaume huyu ni fedha zake. maana alikuwa nazo si mchezo!

Nilijikuta nikitamani kupiga kelele wakati mikono mikubwa yenye nywele kibao ilipokuwa ikitalii mwilini mwangu kwa mtindo wa kipekee. Mikoni ya mwanaume huyu ilitumia muda mwingi kuutengeneza mwili wangu ukae kwenye hali ya kuingia kwenye mambo. Hakuwa na haraka kama ile waliyonayo baadhi ya majibaba mengine ambapo ukifika nayo chumbani yakishaona paja tu yanataka mchezo moja kwa moja.

Mikono hiyo ilitembea ikitomasa maungo. Ilitembea ikipapasa ngozi ya mapaja yaliyokuwa yakimeremeta kutokana na kuakisiwa na mwanga wa taa pamoja na rangi nyekundu ya shuka niliyotandika kitandani. Kwenye kidole chake kimoja ambayo alikuwa na kucha ndefu aliitumia vilivyo kunikwaruza kwa upole kwenye maeneo ya uti wa mgongo na kwenye mizunguko ya matiti!

Niliwehuka!

Nilijinyonganyonga mikononi mwake huku nikishtukashtuka kwa kadri alivyokuwa akinisisimua, Nilihisi kulia, halafu nikahisi kupiga kelele, hasa pale aliponiweka tayari kwa ajili ya mambo.

"She...sh...Sheba.." niliita jina lake kwa taabu.

Hakuitikia. Aliendelea na zoezi alilojipangia, zoezi la kunipagawisha. Ghafla, nilihisi mabadiliko.

Kuna harufu mpya iliniingia na kuvuruga utulivu wote wa usiku huu. Si hivyo tu, kabla ya harufu hiyo, nakumbuka nilisikia kwa mbali mlango wa mbele ukifunguliwa kwa hadhari kubwa. Sheba hakujali harufu mpya, pengine hakuisikia.

Nikajikuta nikimtoa mwilini kwa nguvu na kukaa chini. Nikayatupa macho mlangoni! Sura yangu ikakutana na kiumbe dhahiri aliyesimama mlangoni. Kutokana na kupigwa na mwanga kwa upande mmoja, sikuweza kumtambua kirahisi. Nilikaza macho kumtazama. Kuna kitu kingine kikanishtua.

Alikuwa uchi!

Sheba alikuwa amelala kifudifudi, hajui kinachoendelea! Nilitamani kumshtua aone, lakini kuna ganzi fulani iliniingia na kunifanya niwe kama zuzu. Kwa muda, nikatumbua macho kumtazama kwa bidii huku nikiwa natetemeka.

Nikamtambua!

Alikuwa ni mzee Toboatobo! Baba mwenye nyumba wangu!

Bado sikujibu. Ulimi uling'ang'ania juu ya kinywa. Kitetemeshi changu kikaongezcka maradufu!

Mzee Toboatobo akatoka mlangoni kunifuata kwa kasi. Misuli ya ngozi ya shingo ilichachamaa pale nilipopiga kelele kwa nguvu.

Nikashtuka usingizini!!

Jasho lilikuwa linanitoka na mapigo ya moyo yalikuwa juu kama ya mwanariadha aliyemaliza mashindano ya mbio ndefu!

Nilifarijika kidogo kukuta kwamba kumbe ilikuwa ndoto! Sikujua ndoto hiyo ilikuwa na maana gani.

Miale ya mwanga wa jua ilipenya dirishani kwangu na kunifanya nifahamu kwamba hiyo ni asubuhi, muda ambao nilipanga kufuatilia mipango yangu ya chumba kingine baada ya kupewa notisi kwenye nyumba niliyokuwa nikiishi.

Kwa kuwa ilikuwa ni ndoto sikutaka kuipa nafasi sana akilini. Nikaenda bafuni kuoga tayari kwa kujiandaa na safari yangu!

ITAENDELEA...
 
SURA YA 01

NILIGONGA mlango wa nyumba hii nikiwa na matumaini makubwa ya kufanikiwa jambo lililonipeleka. Hii ni kwa sababu mtu aliyenielekeza hapa alinipa uhakika wa mia kwa mia kwamba chumba cha kupanga kinapatikana.

Aliponieleza mara ya kwanza sikumwamini kwa sababu nyumba hiyo ilikuwa ni miongoni mwa nyumba bomba sana mtaani hapo. Kamwe nyumba hiyo haikuonekana kuwa na hadhi ya kupangishwa. Nyumba ya kishefa kama hiyo huwa ni vigumu sana kupangishwa, tena kwa mpangaji mmojammoja! Tulizoea kuona watu wakipanga nyumba nzuri, pengine kuliko hata hiyo; lakini si kwa mtindo kama huo, mara nyingi watu wenye fedha zao hupangishwa nyumba nzima.

Si hivyo tu! Mimi sina mwanaume mmoja. Kitendo cha kucheza shoo kwenye bendi na kumbi za muziki wa dansi kilinifanya nipapatikiwe sana na majibaba ya aina tofauti yanayosisimkwa na jinsi kiuno changu kinavyozunguka nikiwa kwenye steji.

Si unajua kuwa kumeng'enyua viuno hadharani tena ukiwa umevaa nguo laini, nyepesi zinazoonesha makalio kwa nafasi inayoridhisha kunavyowatia mshawasha wanaume? Basi, na kwangu ilikuwa hivyohivyo.

Sasa ukichanganya hayo yote nilikuwa na sifa nyingine za ziada. Kwanza, nilikuwa bomba niliyejaaliwa nywele ndefu, zile zinazokaribia kufika kwenye makalio. Nilikuwa na macho yanayoita, macho ambayo nikipiga kilevi chochote, hasa kungumanga, lazima nichukue mume wa mtu, atake asitake.

Pua ni ile ya kisomali, midomo minene yenye mvuto; kifua kipana na matiti ya kutosha yaliyojaa na ambayo hajanyonyesha mtoto bado. Kiuno kilikuwa chembamba kama cha nyigu.

Huku chini sisemi sana zaidi ya kukudokeza kwamba tafuta picha ya yule mwanamuziki hodari wa mamtoni, Jennifer Lopez uiangalie kwa makini kutoka nyongani kushuka chini, utakuwa umepata jibu kwamba ni yuleyule!

Wakati huo nilipokuwa nagonga mlango nilikuwa nimepiga kitopu f'lani chepesi chenye rangi ya pinki ambacho kiliishia juu kidogo ya kitovu na kuacha maeneo ya kitovu yakiwa huru!

Nilipiga na jeans safi ya rangi ya kibuluu iliyokolea. Ilikuwa ni jeans mpya ambayo nilinunuliwa na shefa moja la kìmombasa nilililoliokota wakati niliposafiri na bendi kwenda Zanzibar.

Hapa mlangoni niliposimama waume za watu walikuwa wanachanganyikiwa. Kila mwanaume aliyepita karibu na niliposimama hakuacha kunisabahi! Nami nilisimama kwa pozi zakuwazingua zaidi! Sikwambii nilisimamamaje, lakini niliamini pozi hilo latosha kumdondosha mtu mate!

Kwamapigo niliyopiga nilijua wanaume watakaoniona kwa nyuma jasho litawatoka! Kimya kilitanda kwa karibu dakika mbili hakutoka mtu, wala sikuisikika sauti yoyote ndani ya nyumba hii. Nilipokaribia kukata tamaa ndipo niliposikia kandambili zikiburuza ukumbini. Mlango ukafunguliwa na kidingi kimoja kilichovaa nadhifu kikajitokeza. Sura yake ilionekana kujaa hekima na uadilifu. Alivalia msuli na fulana nyepesi ya ndani. Alinitazama kwa kunikagua kidogo kisha akanikaribisha huku akitabasamu. “Mtoto mzuri......karibu ndani"

Nikaingia.

Nilikaribishwa sebuleni. Siwezi kusema sana kuhusu nyumba hii, lakini kwa ufupi tu ilikuwa ni nyumba yenye hadhi inayostahili kuishi watu wenye pesa zao. Nikashangaa kwa nini inapangishwa kwa watu wa kawaida!

Baada ya kusalimiana, maswali yakaanza."'Kwanza, jina lako nani?"

"Naitwa Zinduna Maliyatabu"

"Vema. Je, nikusaidie nini?"

"Ninatafuta chumba cha kupanga."

Akanitazama kwa nukta kadhaa huku akionekana kama aliyevutiwa na umbile langu. Sikushangaa kwa sababu ni kawaida kwa mwanaume yeyote anayekutana nami kwa mara ya kwanza kupata taabu kidogo.

Mnajua ngojeni niwaambie kitu. Mimi ninawajua wanaume wanapochachawa. Japokuwa hiki kilikuwa ni kipindi cha nguvu lakini kila aliponisemesha alikuwa akitazama maeneo ya matiti ya kìfuani kushuka chini! Hivyo, ikatosha kunipa ile alama ninayoijua kwamba amenizimikia.

"Chumba kipo na unaweza kupanga umekuja na pesa?"

"Ndiyo," nilimjibu kwa haraka kwa sababu sikutarajia kupewa jibu kwa urahisi kiasi kile.

"Lakini kwanza naomba nikuulize maswali machache ya msingi sana."

"Sawa baba, niulize tu."

"Unafanya kazi gani?"

Nikasita. Mara nyingi huwa naogopa kuwaambia watu nafanya kazi gani kwa sababu wengi hawajaelimika, huchukulia kazi kama yangu kuwa ni ya kihuni! Lakini nafsi ikanituma kusema ukweli, maana kama nikimdanganya kisha siku moja akaja kugundua, nadhani itakuwa mbaya zaidi! Dakika hiyohiyo nikaamua kujibu, poteleambali kama atanidharau ama ataniona mie mhuni; shauri yake ili mradi nimesema ukweli.

"Ninacheza shoo kwenye bendi ya muziki."

Niliona nyusi za macho yake zikipanda na kushuka kama mtu aliyeshtuka kidogo. Hilo nililishtukia lakini sikujali. Baada ya kusita kidogo baadae akaendelea, Una mtoto au mume?

"Sina mtoto wala sina mume baba."

"Vizuri, kwa hiyo, unajitegemea; siyo?"

"Ndiyo"

"Sawa, kwenye nyumba hii chumba ninacho. Tena ni kizuri tu lakini nataka nikupe maelezo kidogo kuhusu nyumba hii. Humu ndani naishi na mke wangu. Kwa sasa hayupo, amekwenda kusalimia ndugu zake. Lakini kuna masharti ambayo lazima uyatekeleze kama kweli una dhamira ya kupanga hapa.

Nikakaa tayari kumsikiliza.

"Sharti la kwanza, kupika chakula ambacho utatumia kitunguu saumu ni marufuku humu ndani kwangu, ishia hukohuko nje. Sharti la pili, usithubutu kutoka kwenda chooni saa za usiku mzito, hasa kuanzia saa 8 hadi saa 10 alfajiri. Sharti la tatu, usivae nguo za rangi nyekundu siku ya ijumaa. Sharti la nne utakapofanya mapenzi na wanaume yoyote usithubutu kutandika shuka nyekundu! Niambie utaweza masharti hayo?"

Nilipandisha pumzi na kuzishusha! Sio siri, masharti yalinishtua! Tena yalinishtua kwa kiwango ambacho hata yeye aligundua! Sikuelewa haraka ni kwa sababu gani mzee huyu anipe masharti ya ajabu ajabu, tena yenye mwelekeo wa kishirikina kama yale. Lakini kwa kuwa nyumba za kupanga zina kawaida ya kuwa na masharti hata kama ni ya kijinga, nilipiga moyo konde! Sikutilia maanani sana. Kwa hiyo, nikamkubalia.

Baada ya hapo mzee huyu aliniambia nimkabidhi pesa nilizokuja nazo. Nilipompatia akazipokea bila hata ya kuzihesabu, Kubwa zaidi, akaniambia nihamie kesho yake! Hili likanishangaza kidogo.

Baada ya kumkabidhi kodi yake hatukuwa na la zaidi la kuongea, Wakati nilipokuwa natoka mlangoni. Nikaona nisiondoke bila kuuliza, "Samahani, eti jina lako nani; baba?"

Naitwa Toboatobo!" Nikashtuka tena!

****

Ni saa 12:45 jioni. Nilikuwa mbele ya kioo ndani ya chumba changu kipya nilichohamia katika nyumba hii ya mzee Toboatobo nikijipodoa kama ilivyo kawaida ya kazi yangu. Nilikuwa najiandaa kwenda kwenye uzinduzi wa ukumbi mpya wa burudani uliojengwa maeneo ya Yombo, jijini Dar es Salaam.

Huo ulikuwa ni ukumbi wa kisasa uliojengwa na mfanyabiashara ambaye alikuwa hataki kujulikana mapema kwa jina. Ingawa sisi wacheza shoo huwa ni rahisi kumfahamu mmiliki wa baa yoyote hata kama mwenyewe hataki, lakini kwa baa hiyo tulichemsha. Mpaka siku hiyo tuliyokwenda kuzindua kati yetu hakuna aliyekuwa akimfahamu huyo mtu.

Wiki nzima mimi na wenzangu tulikuwa na kazi ngumu ya kubuni au kuiga mitindo inayopendwa na watu wengi pamoja na mitindo mipya ili kuhakikisha kwamba siku hiyo ya uzinduzi tunamridhisha karibu kila mtu atakaye fika kuanzia wanaopenda viuno vya Kikongo hadi vya Kimakonde.

Hivyo basi wakati wote ambapo tulikesha usiku na mchana kujinoa kwa mtindo mikali ya kukata viuno, bendi yetu ya Beat Sound ilikuwa inapiga dansi bila sisi kuwepo, japokuwa jambo hilo lilifanya wateja kulalamika.

Nilipomaliza kujipodoa nilichukua nguo za kazi, nikaziweka kwenye kibegi changu. Ili kuingia mitaani nikavaa nguo za heshima kidogo. Kutokana na jinsi nilivyojazajaza maranyingi sikupendelea kuvaa mavazi ya hasara-hasara kama yale ninayocheza nayo jukwaani, kwa kuogopa kushikwashikwa au kushangiliwa na wahuni mitaani pale mambo-mambo yangu huku nyuma yanavyotikisika! Vilevile baba mwenye nyumba wangu, mzee Toboatobo, alikuwa na dalili zote za kujiheshimu. Kwa hiyo, sidhani kama pamba za namna hiyo zingemfurahisha.,

Hata hivyo, kila nilipokuwa nalikumbuka jina lake Toboatobo, na ile ndoto ya kutisha niliyoota siku moja kabla sijahamia nilipata mashaka kidogo.

Japokuwa mimi ni mmoja wa watu wanaoamini kwamba ndoto si kitu cha kutilia maanani, lakini ndoto niliyoiota ilinisumbua sana akilini mwangu.

Nilitoka chumbani kwangu. Nikamkuta mzee Toboatobo anasoma kitabu. "Baba mimi naenda kazini" niliaga.

"Unakwenda kazini, sio?"

"Ee, tena leo tuna kazi kubwa sana, tunakwenda kuzindua ukumbi," nilisema.

Kazi zenu siku hizi nyinyi vijana ni ngumu sana. Sisi zamani mambo kama hayo hayakuwepo. Kamá mtu unajenga ukumbi wako unaufungua tu mambo yanaanza sio kama nyinyi sasa hivi mpaka ifanyike sherehe na fujo kibao," mzee Toboatobo alisema huku akitabasamu.

Niliishia kucheka tu, kisha tukaagana. Nikatoka na kuingia mitaani kuelekea katika kambi ya bendi zetu; tayari kuungana na wenzangu kuingizana kwenye huo ukumbi mpya.

Wakati napita mtaani hapa nilipohamia, watu walishangaa kama kuna kitu cha ajabu kilichokuwa kikitembea. Kitendo cha kunitazama hivyo nilikiona. Walikuwa wakitazamana mtazamo wa kunishangaa.

Mara nyingine mitaa yetu ya huku mjini inakuwa na mambo ya kishamba sana! Nimevaa mavazi ya kawaida na wanashangaa, Je, wakiniona nikiwa jukwaani, itakuwaje! Nikahisi pengine wananishangaa kwa kuwa ni mpangaji mgeni wa mtaa wao!

Hilo tu kwamba mimi ni mgeni mtaani kwao ndiyo wanishangae hivyo? Hilo tu? Mitaa mingapi nishahamia na haikuwa hivi? Suala hili lilibaki kuwa swali linalojirudiarudia kichwani mwangu!

Kwa nini wanishangae vile?

Lazima kuna jambo.

****

Tuliingia ukumbini majira ya saa moja za usiku. Pamoja na kwamba tulishakuwa ważoefu wa kuziona kumbi za burudani, lakini ukumbi huu ulitutoa ushamba! Ulikuwa mzuri mno ingawa haukuwa mkubwa sana kama tulivyokuwa tumedhania. Ulikuwa nadhifu na sehemu kubwa ilizibwa juu tu kujikinga na mvua; na sehemu zilizobakia ulikuwa wazi ukiacha upepo uingie na kuburudisha wateja.

Palipandwa miti mbalimbali iliyosaidia kuleta kivuli kwa yale maeneo ambayo lile paa halikufika. Hali ya hewa ya hapo ilikuwa nzuri sana kwa vile lilikuwa ni eneo la wazi na upepo ulikuja bila kizuizi.

Ukumbi ulishona mamia ya watu ambao walikusanyika kwa wingi kiasi mpaka ukaonekana mdogo maradufu. Watu wengi walikosa mahali pa kukaa kwa sababu viti vilionekana vichache kuliko idadi iliyokadiriwa.

Bendi yetu, Beat Sound ilianza kutumbuiza kwenye ukumbi huo saa tatu za usiku. Sisi wacheza shoo tulikuwa tumevalia zile kaptula za vitambaa vyepesi zinazobana sana maarufu kwa jina la 'skintaiti;' na juu tulivaa vitopu vya kitambaa kimoja na 'skintaiti' zetu.

Sijifagilii, lakini nataka niwaambie kwamba siku hiyo mimi ndiye mnenguaji aliyeng'aa kuliko wanenguaji wote. Nasema hivyo kwa sababu katika wanenguaji wote mimi ndiye niliyetunzwa fedha nyingi sana.

Uzinduzi huo ulikamika saa saba na nusu usiku.

****

Pombe zilinisababishia kizunguzungu. Nilikuwa niliyumbayumba kutokana na kulewa sana. Wakati huo Tom, mpenzi wangu, ambaye ni mwimbaji wa bendi ninayo fanya kazi alikuwa amenibana ukutani kwenye kichochoro chenye giza akinisukasuka na kuning'atang'ata kwa mahaba.

Mapenzi yangu na Tom yalikuwa kama ya Jennifer Lopez na dansa wake, Chriss Judd; yaani mastaa watupu ndio tuliopendana! Yeye mwimbaji mimi mcheza shoo!

Mapenzi yetu haya yalianza siku nyingi zilizopita. Mwanzoni tuliyafanya kwa siri watu wengine wasijue. Lakini nani alisema mapenzi yana siri? Sote tukashindwa kujizuia, hisia zetu zikaonekana mbele ya watu wengine. Na tena baadae nikagundua kwamba siri tuliyokuwa tunajaribu kuitunza ingeweza kuwa sababu ya kutosha ya kuvunjika kwamapenzi yetu.

Kuna siri moja nataka niwaambie. Mwanamke ukiona mwanaume wako ameanza vijimkutano visivyoeleweka na wanawake wengine katika eneo la kazi, hata kama vijimkutano hivyo anavifanya na wafanyakazi wenzio wanawake, anza kuwa mwanagalifu na ikibidi watambulishe wote kuwa huyo mwanaume mmiliki ni wewe. Usipofanya hivyo na kuamua kuendelea kudumisha siri, basi mambo yatakwenda hivyohivyo, mwisho wake ataibuka mwenzio; atamlegezea macho, jamaa atachanganyikiwa ataingia line! kisha yeye ndiyo atakuja kujitambulisha kwenu. Wewe ukijaribu kujitambulisha utaonekana umechelewa!

Nilipohisi dalili za wanenguaji wenzangu kutaka kunichukulia ziko wazi, sasa ikabidi niwe wazi kuwajulisha wajue kwamba Tom alikuwa wangu.

Jambo moja ambalo liko wazi, Tom ni mzuri mno! Alikuwa ni mrefu mwenye mwili wa saizi ya kati. Hakuwa mrefu sana wala mwembamba. Sura yake ilijaa upole na ukarimu. Ukiondoa sifa zake nyingine mbaya za kupenda kulewa na kufanya fujo, sifa nzuri nyingi zilizizidi hizi mbili nmbaya. Ingawa ni ukweli kwamba nilikuwa na wanaume mbalimbali niliokuwa nikifanya nao mapenzi, lakini hata siku moja sikutaka kumpoteza huyu. Tom alinitosha zaidi, alinifikisha na alinigusa sehemu ambazo wengine hawakuwa wakifika!

****

Siku ya kuwapasha, nilivizia watu wote, kuanzia wanamuziki mpaka wacheza shoo wenzangu, wako pamoja mazoezini. Nikamdaka Tom, nikampa denda la kimakusudi nbele yao. Wakiwa wamepigwa butwaa kidogo, walijikuta wakipiga makofi na kushangilia, lakini baadhi yao; hasa wacheza shoo wenzangu, walichomwa sindano ya ganzi!

Kwa hiyo, tangu siku hiyo mambo yote yakawa bayana kwamba mimi na Tom tulikuwa ni wapenzi.

Tom aliendelca kunibana kwenye ukuta kwa mtindo ambao ulinisisimua. Viganja vya mikono yake miwili vilikuwa vilinitomasatomasa kiunoni na mara nyingine vilipanda na kushuka taratibu.

Mikono hiyo ilipanda na kuyafumbata matiti, ikiyasukasuka. Kinywa chake alikielekeza shingoni mwangu akaning'ata taratibu.

Nilihisi nikizungusha mikono yangu shingoni mwake huku pumzi zikinitoka kwa fujo na nikajikuta nikinua mguu juu katika namna iliyoonyesha kwamba nilikuwa tayari kwa chochote. Sketi niliyoivaa ilikuwa fupi sana, tena nyepesi. Kitambaa kilichotengenezwa sketi hii ndiyo kilekile kinachotumika kutengenezea magagulo. Hata kama tungepitisha uamuzi wa kumaliza hamu zetu palepale kusingekuwa na usumbufu wowote. Kazi yenyewe ingekuwa ni kuisogeza sketi juu kidogo tu halafu mambo yanakuwa mambo!!!

Wakati sote tukianza kuzidiwa, na shauku huku yeye akionekana kuchanganyikiwa zaidi yangu; tulisikia muungurumo wa gari la bendi linalobeba vyombo na kuwasambaza wanamuziki majumbani. Tukakurupuka kulikimbilia kwa kuhofia kuachwa.

Sikurudi tena ukumbini kufuata mizigo yangu, niliagiza tu kwamba nitunziwe nitaifuata siku inayofuata.

Nikaondoa mimi na nguo nilizovaa siku hiyo tu.

Nilipofika nyumbani na kuteremshwa, nilianza kugonga mlango wa mbele. Hiyo ilikuwa ni saa nane za usiku. Eneo lenyewe lilikuwa na giza kama makaburini. Siku mbili tatu hizo ilipita katakata umeme na nyumba nyingi zikakatiwa.

Ilikuwa ni wazi kwanba kama akitokea mtu yeyote mwenye dhamira mbaya na mimi ama mbakaji ingekuwa kazi ndogo sana kutekeleza azma hayo bila upinzani kutoka kwa wananchi wengine! kwani nilikuwa peke yangu, kama jini!

Ghafla pombe zilinitoka nilipokumbuka kwamba nimevaa nguo nyekundu! Na huo ni usiku wa siku ya Ijumaa, siku ambayo baba mwenyenyumba alinionya nisiwe navaa nguo nyekundu kwa mbali nilisikia mtu akija kwa kukimbia! Nilishtuka na kutaka kukimbia, lakini sikujua nikimbilie upande gani, maana hata vishindo hivyo vya miguu vilinichanganya. Sikujua kama vinatokea kushoto kwangu au kulia. Kadhalika, miguu yangu ilikuwa kama iliyofungwa minyororo. Nikajikuta nimesimama, nikitetemeka kwa hofu; nikimwangalia mtu aliyekuwa akija mbio katikati ya giza nene.

Dakika hiyo hiyo nilianza kuhisi baridi! Mwili ulitetemeka kwa nguvu. Nikasimama kusubiri kitakachotokea.

Ghafla, zile sauti za vishindo vya miguu zikapotea. Hii ilinitisha zaidi maana nguo fupi nilizovaa zingeweza kumrahisisha mbakaji yeyote kufanya kazi yake bila upinzani mkubwa. Wasiwasi wangu ulizidi wakati bado akili yangu ikiwa ikonjia panda. Sikujua kama niendelee kugonga mlango, niache au nikimbie.

Sikuwa namjua vizuri baba mwenye nyumba wangu, Toboatobo, au labda kama ningekuwa naelewa maana ya masharti aliyonipa ningeweza kumpuuza, lakini sikuwa najua chochote mbumbumbu mzungu wa reli!

Kukiuka kile alichonikataza. Bila shaka mimi ndiye ningeliathirika zaidi. Kwanza, kumsaliti mwenye nyumba kungehatarisha usalama wangu kwenye nyumba yake ambayo bado ndio kwanza nimehamia. Angeweza kunifukuza wakati wowote kwa kumwonyesha ukaidi wa kiasi hicho. Jambo lingine, masharti yake hayakuwa ya kawaida na, kwa vyovyote, kuna nguvu fulani iliyomlazimisha kuweka masharti kama hayo. Kwa hiyo, mimi kukataa kuyatimiza wakati nilikubali mwenyewe, pengine ningeweza kupata madhara makubwa sana.

Ghafla, nikasikia sauti kutoka ndani ya nyumba. Zilikuwa ni sauti za watu watatu waliokuwa kwenye mzozo mkali wa maneno. Niliposikiliza kwa makini nikagundua sauti moja ilikuwa ya mzee Toboatobo. Zile sauti nyingine mbili sikuzijua ni za nani lakini zilikuwa za wanawake.

Nilishangaa.

Nilivyokuwa nikijua katika nyumba hiyo, nikiondoka mimi kwenda kwenye shughuli zangu mzee Toboatobo alikuwa anabaki peke yake ndani ya nyumba na hata jioni nilipoondoka bado nilimwacha peke yake, au mke wake amerudi? Mbona hakunijulisha ili tushirikiane katika mapokezi? Au hakutaka nijue na, hata kama amerudi ina maana amerudi, usiku wa manane kama huo kiasi bado wanendelea kuzungumza? Kama alirudi mchana hawakupata muda wa kujadiliana na hata kufikia kuzozana mpaka wangoje usiku mzito? Na kwa nini wazozane wakati watu hawajaonana siku nyingi?

Nikatega sikio kusikiliza kwa makini zaidi lakini sikuelewa hata neno moja, pengine kwa kuwa walikuwa wakiongea kwa sauti za chini sana. Lakini ni dhahiri walikuwa wakizozana na katika kúzozana huko sauti za watu kama za vikongwe wawili zilikuwa zikimshambulia Mzee Toboatobo alikuwa kama mtu anayejitetea hivi!

Ghafla ukimya mzito ukatanda.

Kisha sauti ya mtu, kama bibi kizee, ikakohoa, na kikafuatia kicheko kikali mpaka nikaogopa. Nilianza kupatwa na wasiwasi. Pamoja na kuwa nilihisi mke wa mzee Toboatobo amerudi na mtu mwingine na wanaongea, lakini kicheko na kukohoa kwa bibi kizee huyo kulifanya mishipa yangu ya kichwa kugonga kwa alama ya hadhari.

Nilihisi nywele zimesimama.

Mara sauti za mtu aliyevaa kiatu kirefu zikagonga sakafuni kuelekea uwani. Nikaanza kujiuliza: hivi mke wa mzee Toboatobo ni msichana kiasi cha kuvaa viatu virefu? Punde nikasikia mlango wa uwani ukifunguliwa na kufungwa. Ungeweza kufikiri kwamba watu hao wamekwenda uwani, kumbe haikuwa hivyo! bado sauti za kuongea ziliendelea palepale ukumbini zikiambatana na vicheko. Kwa muda, nikawa nimejisahau kwamba niko nje; nimesimama peke yangu!

Niliporudisha mawazo hapo niliposimama, vile vishindo vya mtu aliyekuwa anakuja barabarani vilianza tena! Na sasa niliweza kuona taswira ya mtu katikati ya barabara ikija upande wangu. Nikajikuta nagonga mlango wanyumba kwa nguvu kutokana na hofu ya kumwogopa huyu aliyekuwa anakuja kutokea katikati ya barabara. Wala sikujali tena kama nimevaa nguo nyekundu ambayo, bila shaka itamuudhi mzee Toboatobo.

Kutokana na vishindo vya kugonga mlango, zile sauti za watu kuongea na kucheka zilikoma ghafla, kama umeme uliozimika!

Kufumba na kufumbua, huyu aliyekuwa anakuja barabarani alishafika. Akasimama mbele yangu. Nikapigwa na butwaa!

Alikuwa Tom!

Moyo wangu ulipoa kwa faraja ingawa mapigo yalikuwa yakiendelea kutokana na wasiwasi niliokuwa nao awali.

"Tom, mbona unanitisha hivi! umekuja kufanya nini?" nilijikuta nikimuuliza huku mkono nimeuweka kwenye kifua changu kujaribu kutuliza mapigo ya moyo.

"Aisee, uzalendo umenishinda, nimeshindwa kustahamili.

Nimewaambia wanishushe nije kukuchukua twende zetu tukalale nyumbani. Tangu tulipoachana akili yangu haifanyi kazi kabisaa, siwezi kulala peke yangu." Aliposema hivi alinishika mkono na kunivuta moja kwa moja. Nikakubali kwa vile tayari nilikuwa na wasiwasi wa kukutana na mzee Toboatobo nikiwa na nguo nyekundu usiku huo wa pili tangu nihamie nyumbani kwake Tom alikodi taksi tukaenda nyumbani kwake.

****

Kulipokucha niliamua kurudi nyumbani haraka sana. Kwa vile kitendo cha kulala nje bila ya kumwarifu mzee Toboatobo kilinipa wasiwasi. Asubuhi hiyo nilitinga viwalo vya Tom; jeans na fulana. Wakati narudi njiani nilikutana na Zuwena, shoga yangu wa siku nyingi, ambaye tulipoteana kipindi kirefu.

Tukasalimiana kwa furaha. Dakika chache tulizosimamna hao barabarani zilitosha kukumbushana mambo mengi ya zamani. Akaniambia pia kwamba siku hizi anaishi mtaa wa Takadiri, Kinondoni.

"Nasikia na wewe kule ulihama uko wapi sasa?" aliniuliza.

Kwa kuwa nyumba ya mzee Toboatobo ilikuwa inaonekana kutoka hapo tuliposimama nikamwonyesha.

"Eh, unakaa pale!"

"Eee, mbona unashangaa?

"Ile nyumba ya mzee wa Busara?"

"Mzee wa busara? Mbona simjui?"

"Ile si nyumba ya mzee Toboatobo!"

"Ndiyo hiyo hiyo!"

"Mi nasikia tu watu wanaiita nyumba ya mzee wa Busara. Ni mtu mzuri sana, pengine ndio maana wanamwita hivyo"

Zuwena aliguna, kisha maongezi hayo yakakatika; tukaendelea na maongezi mengine kidogo halafu tukaagana. Nikarudi nyumbani.

Jicho la mzee Toboatobo lilikuwa limeiva kwa wekundu. Wakati ananifungulia mlango nilimwona amechukia. Nikajua hivo imetokana na kitendo changu cha kulala nje. Lakini pia niliiuliza kama hakubaliani na mambo kama hayo mbona aliniambia nikifanya mapenzi na mwanaume yeyote nisitandike shuka nyekundu? Hiyo maana yake si ile ile, anajua mimi nina wapenzi? Sasa anakasirika nini mimi kulala nje?

Kwa kuwa usiku nilimsikia akionge na watu wawili, nikaona ni vema kwanza nikutane na wageni hao, nisalimiane nao. Nikamuuliza, "Mama amerudi ee??"

"Mama?! Yupi?" akaonyesha mshangao.

"mke wako."

"Hajarudi."

"Kumbe kuna wageni wako walikuja jana?"

Nikamwona akinitazama kwa jicho kali, mpaka nikaogopa. Hakuna wageni humu, si nilikwambia naishi peke yangu,kama kungekuwa na mpango wa wageni si ningekwambia?"

Nikapigwa na butwaa.

Kumbe wale waliokuwa wanamfokea usiku walikuwa ni akina nani?au wale waliokuwa wanafungua na kuufunga mlango wa uwani walikuwa akina nani? Au yule aliyekuwa anatembea na vishindo vya miguu yake vikifanana na mtu mwenye viatu virefu alikuwa nani?

"Zinduna, hebu kaa hapo tuongee," aliniambia katika namna ya mtu aliye.... Nikakaa kwenye sofa pale sebuleni yeye akakaa kwenye sofa linalotazamana na lile nililokaa mimi. Alikosa raha kabisa.

ITAENDELEA...
 
SURA YA 01

NILIGONGA mlango wa nyumba hii nikiwa na matumaini makubwa ya kufanikiwa jambo lililonipeleka. Hii ni kwa sababu mtu aliyenielekeza hapa alinipa uhakika wa mia kwa mia kwamba chumba cha kupanga kinapatikana.

Aliponieleza mara ya kwanza sikumwamini kwa sababu nyumba hiyo ilikuwa ni miongoni mwa nyumba bomba sana mtaani hapo. Kamwe nyumba hiyo haikuonekana kuwa na hadhi ya kupangishwa. Nyumba ya kishefa kama hiyo huwa ni vigumu sana kupangishwa, tena kwa mpangaji mmojammoja! Tulizoea kuona watu wakipanga nyumba nzuri, pengine kuliko hata hiyo; lakini si kwa mtindo kama huo, mara nyingi watu wenye fedha zao hupangishwa nyumba nzima.

Si hivyo tu! Mimi sina mwanaume mmoja. Kitendo cha kucheza shoo kwenye bendi na kumbi za muziki wa dansi kilinifanya nipapatikiwe sana na majibaba ya aina tofauti yanayosisimkwa na jinsi kiuno changu kinavyozunguka nikiwa kwenye steji.

Si unajua kuwa kumeng'enyua viuno hadharani tena ukiwa umevaa nguo laini, nyepesi zinazoonesha makalio kwa nafasi inayoridhisha kunavyowatia mshawasha wanaume? Basi, na kwangu ilikuwa hivyohivyo.

Sasa ukichanganya hayo yote nilikuwa na sifa nyingine za ziada. Kwanza, nilikuwa bomba niliyejaaliwa nywele ndefu, zile zinazokaribia kufika kwenye makalio. Nilikuwa na macho yanayoita, macho ambayo nikipiga kilevi chochote, hasa kungumanga, lazima nichukue mume wa mtu, atake asitake.

Pua ni ile ya kisomali, midomo minene yenye mvuto; kifua kipana na matiti ya kutosha yaliyojaa na ambayo hajanyonyesha mtoto bado. Kiuno kilikuwa chembamba kama cha nyigu.

Huku chini sisemi sana zaidi ya kukudokeza kwamba tafuta picha ya yule mwanamuziki hodari wa mamtoni, Jennifer Lopez uiangalie kwa makini kutoka nyongani kushuka chini, utakuwa umepata jibu kwamba ni yuleyule!

Wakati huo nilipokuwa nagonga mlango nilikuwa nimepiga kitopu f'lani chepesi chenye rangi ya pinki ambacho kiliishia juu kidogo ya kitovu na kuacha maeneo ya kitovu yakiwa huru!

Nilipiga na jeans safi ya rangi ya kibuluu iliyokolea. Ilikuwa ni jeans mpya ambayo nilinunuliwa na shefa moja la kìmombasa nilililoliokota wakati niliposafiri na bendi kwenda Zanzibar.

Hapa mlangoni niliposimama waume za watu walikuwa wanachanganyikiwa. Kila mwanaume aliyepita karibu na niliposimama hakuacha kunisabahi! Nami nilisimama kwa pozi zakuwazingua zaidi! Sikwambii nilisimamamaje, lakini niliamini pozi hilo latosha kumdondosha mtu mate!

Kwamapigo niliyopiga nilijua wanaume watakaoniona kwa nyuma jasho litawatoka! Kimya kilitanda kwa karibu dakika mbili hakutoka mtu, wala sikuisikika sauti yoyote ndani ya nyumba hii. Nilipokaribia kukata tamaa ndipo niliposikia kandambili zikiburuza ukumbini. Mlango ukafunguliwa na kidingi kimoja kilichovaa nadhifu kikajitokeza. Sura yake ilionekana kujaa hekima na uadilifu. Alivalia msuli na fulana nyepesi ya ndani. Alinitazama kwa kunikagua kidogo kisha akanikaribisha huku akitabasamu. “Mtoto mzuri......karibu ndani"

Nikaingia.

Nilikaribishwa sebuleni. Siwezi kusema sana kuhusu nyumba hii, lakini kwa ufupi tu ilikuwa ni nyumba yenye hadhi inayostahili kuishi watu wenye pesa zao. Nikashangaa kwa nini inapangishwa kwa watu wa kawaida!

Baada ya kusalimiana, maswali yakaanza."'Kwanza, jina lako nani?"

"Naitwa Zinduna Maliyatabu"

"Vema. Je, nikusaidie nini?"

"Ninatafuta chumba cha kupanga."

Akanitazama kwa nukta kadhaa huku akionekana kama aliyevutiwa na umbile langu. Sikushangaa kwa sababu ni kawaida kwa mwanaume yeyote anayekutana nami kwa mara ya kwanza kupata taabu kidogo.

Mnajua ngojeni niwaambie kitu. Mimi ninawajua wanaume wanapochachawa. Japokuwa hiki kilikuwa ni kipindi cha nguvu lakini kila aliponisemesha alikuwa akitazama maeneo ya matiti ya kìfuani kushuka chini! Hivyo, ikatosha kunipa ile alama ninayoijua kwamba amenizimikia.

"Chumba kipo na unaweza kupanga umekuja na pesa?"

"Ndiyo," nilimjibu kwa haraka kwa sababu sikutarajia kupewa jibu kwa urahisi kiasi kile.

"Lakini kwanza naomba nikuulize maswali machache ya msingi sana."

"Sawa baba, niulize tu."

"Unafanya kazi gani?"

Nikasita. Mara nyingi huwa naogopa kuwaambia watu nafanya kazi gani kwa sababu wengi hawajaelimika, huchukulia kazi kama yangu kuwa ni ya kihuni! Lakini nafsi ikanituma kusema ukweli, maana kama nikimdanganya kisha siku moja akaja kugundua, nadhani itakuwa mbaya zaidi! Dakika hiyohiyo nikaamua kujibu, poteleambali kama atanidharau ama ataniona mie mhuni; shauri yake ili mradi nimesema ukweli.

"Ninacheza shoo kwenye bendi ya muziki."

Niliona nyusi za macho yake zikipanda na kushuka kama mtu aliyeshtuka kidogo. Hilo nililishtukia lakini sikujali. Baada ya kusita kidogo baadae akaendelea, Una mtoto au mume?

"Sina mtoto wala sina mume baba."

"Vizuri, kwa hiyo, unajitegemea; siyo?"

"Ndiyo"

"Sawa, kwenye nyumba hii chumba ninacho. Tena ni kizuri tu lakini nataka nikupe maelezo kidogo kuhusu nyumba hii. Humu ndani naishi na mke wangu. Kwa sasa hayupo, amekwenda kusalimia ndugu zake. Lakini kuna masharti ambayo lazima uyatekeleze kama kweli una dhamira ya kupanga hapa.

Nikakaa tayari kumsikiliza.

"Sharti la kwanza, kupika chakula ambacho utatumia kitunguu saumu ni marufuku humu ndani kwangu, ishia hukohuko nje. Sharti la pili, usithubutu kutoka kwenda chooni saa za usiku mzito, hasa kuanzia saa 8 hadi saa 10 alfajiri. Sharti la tatu, usivae nguo za rangi nyekundu siku ya ijumaa. Sharti la nne utakapofanya mapenzi na wanaume yoyote usithubutu kutandika shuka nyekundu! Niambie utaweza masharti hayo?"

Nilipandisha pumzi na kuzishusha! Sio siri, masharti yalinishtua! Tena yalinishtua kwa kiwango ambacho hata yeye aligundua! Sikuelewa haraka ni kwa sababu gani mzee huyu anipe masharti ya ajabu ajabu, tena yenye mwelekeo wa kishirikina kama yale. Lakini kwa kuwa nyumba za kupanga zina kawaida ya kuwa na masharti hata kama ni ya kijinga, nilipiga moyo konde! Sikutilia maanani sana. Kwa hiyo, nikamkubalia.

Baada ya hapo mzee huyu aliniambia nimkabidhi pesa nilizokuja nazo. Nilipompatia akazipokea bila hata ya kuzihesabu, Kubwa zaidi, akaniambia nihamie kesho yake! Hili likanishangaza kidogo.

Baada ya kumkabidhi kodi yake hatukuwa na la zaidi la kuongea, Wakati nilipokuwa natoka mlangoni. Nikaona nisiondoke bila kuuliza, "Samahani, eti jina lako nani; baba?"

Naitwa Toboatobo!" Nikashtuka tena!

****

Ni saa 12:45 jioni. Nilikuwa mbele ya kioo ndani ya chumba changu kipya nilichohamia katika nyumba hii ya mzee Toboatobo nikijipodoa kama ilivyo kawaida ya kazi yangu. Nilikuwa najiandaa kwenda kwenye uzinduzi wa ukumbi mpya wa burudani uliojengwa maeneo ya Yombo, jijini Dar es Salaam.

Huo ulikuwa ni ukumbi wa kisasa uliojengwa na mfanyabiashara ambaye alikuwa hataki kujulikana mapema kwa jina. Ingawa sisi wacheza shoo huwa ni rahisi kumfahamu mmiliki wa baa yoyote hata kama mwenyewe hataki, lakini kwa baa hiyo tulichemsha. Mpaka siku hiyo tuliyokwenda kuzindua kati yetu hakuna aliyekuwa akimfahamu huyo mtu.

Wiki nzima mimi na wenzangu tulikuwa na kazi ngumu ya kubuni au kuiga mitindo inayopendwa na watu wengi pamoja na mitindo mipya ili kuhakikisha kwamba siku hiyo ya uzinduzi tunamridhisha karibu kila mtu atakaye fika kuanzia wanaopenda viuno vya Kikongo hadi vya Kimakonde.

Hivyo basi wakati wote ambapo tulikesha usiku na mchana kujinoa kwa mtindo mikali ya kukata viuno, bendi yetu ya Beat Sound ilikuwa inapiga dansi bila sisi kuwepo, japokuwa jambo hilo lilifanya wateja kulalamika.

Nilipomaliza kujipodoa nilichukua nguo za kazi, nikaziweka kwenye kibegi changu. Ili kuingia mitaani nikavaa nguo za heshima kidogo. Kutokana na jinsi nilivyojazajaza maranyingi sikupendelea kuvaa mavazi ya hasara-hasara kama yale ninayocheza nayo jukwaani, kwa kuogopa kushikwashikwa au kushangiliwa na wahuni mitaani pale mambo-mambo yangu huku nyuma yanavyotikisika! Vilevile baba mwenye nyumba wangu, mzee Toboatobo, alikuwa na dalili zote za kujiheshimu. Kwa hiyo, sidhani kama pamba za namna hiyo zingemfurahisha.,

Hata hivyo, kila nilipokuwa nalikumbuka jina lake Toboatobo, na ile ndoto ya kutisha niliyoota siku moja kabla sijahamia nilipata mashaka kidogo.

Japokuwa mimi ni mmoja wa watu wanaoamini kwamba ndoto si kitu cha kutilia maanani, lakini ndoto niliyoiota ilinisumbua sana akilini mwangu.

Nilitoka chumbani kwangu. Nikamkuta mzee Toboatobo anasoma kitabu. "Baba mimi naenda kazini" niliaga.

"Unakwenda kazini, sio?"

"Ee, tena leo tuna kazi kubwa sana, tunakwenda kuzindua ukumbi," nilisema.

Kazi zenu siku hizi nyinyi vijana ni ngumu sana. Sisi zamani mambo kama hayo hayakuwepo. Kamá mtu unajenga ukumbi wako unaufungua tu mambo yanaanza sio kama nyinyi sasa hivi mpaka ifanyike sherehe na fujo kibao," mzee Toboatobo alisema huku akitabasamu.

Niliishia kucheka tu, kisha tukaagana. Nikatoka na kuingia mitaani kuelekea katika kambi ya bendi zetu; tayari kuungana na wenzangu kuingizana kwenye huo ukumbi mpya.

Wakati napita mtaani hapa nilipohamia, watu walishangaa kama kuna kitu cha ajabu kilichokuwa kikitembea. Kitendo cha kunitazama hivyo nilikiona. Walikuwa wakitazamana mtazamo wa kunishangaa.

Mara nyingine mitaa yetu ya huku mjini inakuwa na mambo ya kishamba sana! Nimevaa mavazi ya kawaida na wanashangaa, Je, wakiniona nikiwa jukwaani, itakuwaje! Nikahisi pengine wananishangaa kwa kuwa ni mpangaji mgeni wa mtaa wao!

Hilo tu kwamba mimi ni mgeni mtaani kwao ndiyo wanishangae hivyo? Hilo tu? Mitaa mingapi nishahamia na haikuwa hivi? Suala hili lilibaki kuwa swali linalojirudiarudia kichwani mwangu!

Kwa nini wanishangae vile?

Lazima kuna jambo.

****

Tuliingia ukumbini majira ya saa moja za usiku. Pamoja na kwamba tulishakuwa ważoefu wa kuziona kumbi za burudani, lakini ukumbi huu ulitutoa ushamba! Ulikuwa mzuri mno ingawa haukuwa mkubwa sana kama tulivyokuwa tumedhania. Ulikuwa nadhifu na sehemu kubwa ilizibwa juu tu kujikinga na mvua; na sehemu zilizobakia ulikuwa wazi ukiacha upepo uingie na kuburudisha wateja.

Palipandwa miti mbalimbali iliyosaidia kuleta kivuli kwa yale maeneo ambayo lile paa halikufika. Hali ya hewa ya hapo ilikuwa nzuri sana kwa vile lilikuwa ni eneo la wazi na upepo ulikuja bila kizuizi.

Ukumbi ulishona mamia ya watu ambao walikusanyika kwa wingi kiasi mpaka ukaonekana mdogo maradufu. Watu wengi walikosa mahali pa kukaa kwa sababu viti vilionekana vichache kuliko idadi iliyokadiriwa.

Bendi yetu, Beat Sound ilianza kutumbuiza kwenye ukumbi huo saa tatu za usiku. Sisi wacheza shoo tulikuwa tumevalia zile kaptula za vitambaa vyepesi zinazobana sana maarufu kwa jina la 'skintaiti;' na juu tulivaa vitopu vya kitambaa kimoja na 'skintaiti' zetu.

Sijifagilii, lakini nataka niwaambie kwamba siku hiyo mimi ndiye mnenguaji aliyeng'aa kuliko wanenguaji wote. Nasema hivyo kwa sababu katika wanenguaji wote mimi ndiye niliyetunzwa fedha nyingi sana.

Uzinduzi huo ulikamika saa saba na nusu usiku.

****

Pombe zilinisababishia kizunguzungu. Nilikuwa niliyumbayumba kutokana na kulewa sana. Wakati huo Tom, mpenzi wangu, ambaye ni mwimbaji wa bendi ninayo fanya kazi alikuwa amenibana ukutani kwenye kichochoro chenye giza akinisukasuka na kuning'atang'ata kwa mahaba.

Mapenzi yangu na Tom yalikuwa kama ya Jennifer Lopez na dansa wake, Chriss Judd; yaani mastaa watupu ndio tuliopendana! Yeye mwimbaji mimi mcheza shoo!

Mapenzi yetu haya yalianza siku nyingi zilizopita. Mwanzoni tuliyafanya kwa siri watu wengine wasijue. Lakini nani alisema mapenzi yana siri? Sote tukashindwa kujizuia, hisia zetu zikaonekana mbele ya watu wengine. Na tena baadae nikagundua kwamba siri tuliyokuwa tunajaribu kuitunza ingeweza kuwa sababu ya kutosha ya kuvunjika kwamapenzi yetu.

Kuna siri moja nataka niwaambie. Mwanamke ukiona mwanaume wako ameanza vijimkutano visivyoeleweka na wanawake wengine katika eneo la kazi, hata kama vijimkutano hivyo anavifanya na wafanyakazi wenzio wanawake, anza kuwa mwanagalifu na ikibidi watambulishe wote kuwa huyo mwanaume mmiliki ni wewe. Usipofanya hivyo na kuamua kuendelea kudumisha siri, basi mambo yatakwenda hivyohivyo, mwisho wake ataibuka mwenzio; atamlegezea macho, jamaa atachanganyikiwa ataingia line! kisha yeye ndiyo atakuja kujitambulisha kwenu. Wewe ukijaribu kujitambulisha utaonekana umechelewa!

Nilipohisi dalili za wanenguaji wenzangu kutaka kunichukulia ziko wazi, sasa ikabidi niwe wazi kuwajulisha wajue kwamba Tom alikuwa wangu.

Jambo moja ambalo liko wazi, Tom ni mzuri mno! Alikuwa ni mrefu mwenye mwili wa saizi ya kati. Hakuwa mrefu sana wala mwembamba. Sura yake ilijaa upole na ukarimu. Ukiondoa sifa zake nyingine mbaya za kupenda kulewa na kufanya fujo, sifa nzuri nyingi zilizizidi hizi mbili nmbaya. Ingawa ni ukweli kwamba nilikuwa na wanaume mbalimbali niliokuwa nikifanya nao mapenzi, lakini hata siku moja sikutaka kumpoteza huyu. Tom alinitosha zaidi, alinifikisha na alinigusa sehemu ambazo wengine hawakuwa wakifika!

****

Siku ya kuwapasha, nilivizia watu wote, kuanzia wanamuziki mpaka wacheza shoo wenzangu, wako pamoja mazoezini. Nikamdaka Tom, nikampa denda la kimakusudi nbele yao. Wakiwa wamepigwa butwaa kidogo, walijikuta wakipiga makofi na kushangilia, lakini baadhi yao; hasa wacheza shoo wenzangu, walichomwa sindano ya ganzi!

Kwa hiyo, tangu siku hiyo mambo yote yakawa bayana kwamba mimi na Tom tulikuwa ni wapenzi.

Tom aliendelca kunibana kwenye ukuta kwa mtindo ambao ulinisisimua. Viganja vya mikono yake miwili vilikuwa vilinitomasatomasa kiunoni na mara nyingine vilipanda na kushuka taratibu.

Mikono hiyo ilipanda na kuyafumbata matiti, ikiyasukasuka. Kinywa chake alikielekeza shingoni mwangu akaning'ata taratibu.

Nilihisi nikizungusha mikono yangu shingoni mwake huku pumzi zikinitoka kwa fujo na nikajikuta nikinua mguu juu katika namna iliyoonyesha kwamba nilikuwa tayari kwa chochote. Sketi niliyoivaa ilikuwa fupi sana, tena nyepesi. Kitambaa kilichotengenezwa sketi hii ndiyo kilekile kinachotumika kutengenezea magagulo. Hata kama tungepitisha uamuzi wa kumaliza hamu zetu palepale kusingekuwa na usumbufu wowote. Kazi yenyewe ingekuwa ni kuisogeza sketi juu kidogo tu halafu mambo yanakuwa mambo!!!

Wakati sote tukianza kuzidiwa, na shauku huku yeye akionekana kuchanganyikiwa zaidi yangu; tulisikia muungurumo wa gari la bendi linalobeba vyombo na kuwasambaza wanamuziki majumbani. Tukakurupuka kulikimbilia kwa kuhofia kuachwa.

Sikurudi tena ukumbini kufuata mizigo yangu, niliagiza tu kwamba nitunziwe nitaifuata siku inayofuata.

Nikaondoa mimi na nguo nilizovaa siku hiyo tu.

Nilipofika nyumbani na kuteremshwa, nilianza kugonga mlango wa mbele. Hiyo ilikuwa ni saa nane za usiku. Eneo lenyewe lilikuwa na giza kama makaburini. Siku mbili tatu hizo ilipita katakata umeme na nyumba nyingi zikakatiwa.

Ilikuwa ni wazi kwanba kama akitokea mtu yeyote mwenye dhamira mbaya na mimi ama mbakaji ingekuwa kazi ndogo sana kutekeleza azma hayo bila upinzani kutoka kwa wananchi wengine! kwani nilikuwa peke yangu, kama jini!

Ghafla pombe zilinitoka nilipokumbuka kwamba nimevaa nguo nyekundu! Na huo ni usiku wa siku ya Ijumaa, siku ambayo baba mwenyenyumba alinionya nisiwe navaa nguo nyekundu kwa mbali nilisikia mtu akija kwa kukimbia! Nilishtuka na kutaka kukimbia, lakini sikujua nikimbilie upande gani, maana hata vishindo hivyo vya miguu vilinichanganya. Sikujua kama vinatokea kushoto kwangu au kulia. Kadhalika, miguu yangu ilikuwa kama iliyofungwa minyororo. Nikajikuta nimesimama, nikitetemeka kwa hofu; nikimwangalia mtu aliyekuwa akija mbio katikati ya giza nene.

Dakika hiyo hiyo nilianza kuhisi baridi! Mwili ulitetemeka kwa nguvu. Nikasimama kusubiri kitakachotokea.

Ghafla, zile sauti za vishindo vya miguu zikapotea. Hii ilinitisha zaidi maana nguo fupi nilizovaa zingeweza kumrahisisha mbakaji yeyote kufanya kazi yake bila upinzani mkubwa. Wasiwasi wangu ulizidi wakati bado akili yangu ikiwa ikonjia panda. Sikujua kama niendelee kugonga mlango, niache au nikimbie.

Sikuwa namjua vizuri baba mwenye nyumba wangu, Toboatobo, au labda kama ningekuwa naelewa maana ya masharti aliyonipa ningeweza kumpuuza, lakini sikuwa najua chochote mbumbumbu mzungu wa reli!

Kukiuka kile alichonikataza. Bila shaka mimi ndiye ningeliathirika zaidi. Kwanza, kumsaliti mwenye nyumba kungehatarisha usalama wangu kwenye nyumba yake ambayo bado ndio kwanza nimehamia. Angeweza kunifukuza wakati wowote kwa kumwonyesha ukaidi wa kiasi hicho. Jambo lingine, masharti yake hayakuwa ya kawaida na, kwa vyovyote, kuna nguvu fulani iliyomlazimisha kuweka masharti kama hayo. Kwa hiyo, mimi kukataa kuyatimiza wakati nilikubali mwenyewe, pengine ningeweza kupata madhara makubwa sana.

Ghafla, nikasikia sauti kutoka ndani ya nyumba. Zilikuwa ni sauti za watu watatu waliokuwa kwenye mzozo mkali wa maneno. Niliposikiliza kwa makini nikagundua sauti moja ilikuwa ya mzee Toboatobo. Zile sauti nyingine mbili sikuzijua ni za nani lakini zilikuwa za wanawake.

Nilishangaa.

Nilivyokuwa nikijua katika nyumba hiyo, nikiondoka mimi kwenda kwenye shughuli zangu mzee Toboatobo alikuwa anabaki peke yake ndani ya nyumba na hata jioni nilipoondoka bado nilimwacha peke yake, au mke wake amerudi? Mbona hakunijulisha ili tushirikiane katika mapokezi? Au hakutaka nijue na, hata kama amerudi ina maana amerudi, usiku wa manane kama huo kiasi bado wanendelea kuzungumza? Kama alirudi mchana hawakupata muda wa kujadiliana na hata kufikia kuzozana mpaka wangoje usiku mzito? Na kwa nini wazozane wakati watu hawajaonana siku nyingi?

Nikatega sikio kusikiliza kwa makini zaidi lakini sikuelewa hata neno moja, pengine kwa kuwa walikuwa wakiongea kwa sauti za chini sana. Lakini ni dhahiri walikuwa wakizozana na katika kúzozana huko sauti za watu kama za vikongwe wawili zilikuwa zikimshambulia Mzee Toboatobo alikuwa kama mtu anayejitetea hivi!

Ghafla ukimya mzito ukatanda.

Kisha sauti ya mtu, kama bibi kizee, ikakohoa, na kikafuatia kicheko kikali mpaka nikaogopa. Nilianza kupatwa na wasiwasi. Pamoja na kuwa nilihisi mke wa mzee Toboatobo amerudi na mtu mwingine na wanaongea, lakini kicheko na kukohoa kwa bibi kizee huyo kulifanya mishipa yangu ya kichwa kugonga kwa alama ya hadhari.

Nilihisi nywele zimesimama.

Mara sauti za mtu aliyevaa kiatu kirefu zikagonga sakafuni kuelekea uwani. Nikaanza kujiuliza: hivi mke wa mzee Toboatobo ni msichana kiasi cha kuvaa viatu virefu? Punde nikasikia mlango wa uwani ukifunguliwa na kufungwa. Ungeweza kufikiri kwamba watu hao wamekwenda uwani, kumbe haikuwa hivyo! bado sauti za kuongea ziliendelea palepale ukumbini zikiambatana na vicheko. Kwa muda, nikawa nimejisahau kwamba niko nje; nimesimama peke yangu!

Niliporudisha mawazo hapo niliposimama, vile vishindo vya mtu aliyekuwa anakuja barabarani vilianza tena! Na sasa niliweza kuona taswira ya mtu katikati ya barabara ikija upande wangu. Nikajikuta nagonga mlango wanyumba kwa nguvu kutokana na hofu ya kumwogopa huyu aliyekuwa anakuja kutokea katikati ya barabara. Wala sikujali tena kama nimevaa nguo nyekundu ambayo, bila shaka itamuudhi mzee Toboatobo.

Kutokana na vishindo vya kugonga mlango, zile sauti za watu kuongea na kucheka zilikoma ghafla, kama umeme uliozimika!

Kufumba na kufumbua, huyu aliyekuwa anakuja barabarani alishafika. Akasimama mbele yangu. Nikapigwa na butwaa!

Alikuwa Tom!

Moyo wangu ulipoa kwa faraja ingawa mapigo yalikuwa yakiendelea kutokana na wasiwasi niliokuwa nao awali.

"Tom, mbona unanitisha hivi! umekuja kufanya nini?" nilijikuta nikimuuliza huku mkono nimeuweka kwenye kifua changu kujaribu kutuliza mapigo ya moyo.

"Aisee, uzalendo umenishinda, nimeshindwa kustahamili.

Nimewaambia wanishushe nije kukuchukua twende zetu tukalale nyumbani. Tangu tulipoachana akili yangu haifanyi kazi kabisaa, siwezi kulala peke yangu." Aliposema hivi alinishika mkono na kunivuta moja kwa moja. Nikakubali kwa vile tayari nilikuwa na wasiwasi wa kukutana na mzee Toboatobo nikiwa na nguo nyekundu usiku huo wa pili tangu nihamie nyumbani kwake Tom alikodi taksi tukaenda nyumbani kwake.

****

Kulipokucha niliamua kurudi nyumbani haraka sana. Kwa vile kitendo cha kulala nje bila ya kumwarifu mzee Toboatobo kilinipa wasiwasi. Asubuhi hiyo nilitinga viwalo vya Tom; jeans na fulana. Wakati narudi njiani nilikutana na Zuwena, shoga yangu wa siku nyingi, ambaye tulipoteana kipindi kirefu.

Tukasalimiana kwa furaha. Dakika chache tulizosimamna hao barabarani zilitosha kukumbushana mambo mengi ya zamani. Akaniambia pia kwamba siku hizi anaishi mtaa wa Takadiri, Kinondoni.

"Nasikia na wewe kule ulihama uko wapi sasa?" aliniuliza.

Kwa kuwa nyumba ya mzee Toboatobo ilikuwa inaonekana kutoka hapo tuliposimama nikamwonyesha.

"Eh, unakaa pale!"

"Eee, mbona unashangaa?

"Ile nyumba ya mzee wa Busara?"

"Mzee wa busara? Mbona simjui?"

"Ile si nyumba ya mzee Toboatobo!"

"Ndiyo hiyo hiyo!"

"Mi nasikia tu watu wanaiita nyumba ya mzee wa Busara. Ni mtu mzuri sana, pengine ndio maana wanamwita hivyo"

Zuwena aliguna, kisha maongezi hayo yakakatika; tukaendelea na maongezi mengine kidogo halafu tukaagana. Nikarudi nyumbani.

Jicho la mzee Toboatobo lilikuwa limeiva kwa wekundu. Wakati ananifungulia mlango nilimwona amechukia. Nikajua hivo imetokana na kitendo changu cha kulala nje. Lakini pia niliiuliza kama hakubaliani na mambo kama hayo mbona aliniambia nikifanya mapenzi na mwanaume yeyote nisitandike shuka nyekundu? Hiyo maana yake si ile ile, anajua mimi nina wapenzi? Sasa anakasirika nini mimi kulala nje?

Kwa kuwa usiku nilimsikia akionge na watu wawili, nikaona ni vema kwanza nikutane na wageni hao, nisalimiane nao. Nikamuuliza, "Mama amerudi ee??"

"Mama?! Yupi?" akaonyesha mshangao.

"mke wako."

"Hajarudi."

"Kumbe kuna wageni wako walikuja jana?"

Nikamwona akinitazama kwa jicho kali, mpaka nikaogopa. Hakuna wageni humu, si nilikwambia naishi peke yangu,kama kungekuwa na mpango wa wageni si ningekwambia?"

Nikapigwa na butwaa.

Kumbe wale waliokuwa wanamfokea usiku walikuwa ni akina nani?au wale waliokuwa wanafungua na kuufunga mlango wa uwani walikuwa akina nani? Au yule aliyekuwa anatembea na vishindo vya miguu yake vikifanana na mtu mwenye viatu virefu alikuwa nani?

"Zinduna, hebu kaa hapo tuongee," aliniambia katika namna ya mtu aliye.... Nikakaa kwenye sofa pale sebuleni yeye akakaa kwenye sofa linalotazamana na lile nililokaa mimi. Alikosa raha kabisa.

ITAENDELEA...
Bando limekata
 
SURA YA 01

NILIGONGA mlango wa nyumba hii nikiwa na matumaini makubwa ya kufanikiwa jambo lililonipeleka. Hii ni kwa sababu mtu aliyenielekeza hapa alinipa uhakika wa mia kwa mia kwamba chumba cha kupanga kinapatikana.

Aliponieleza mara ya kwanza sikumwamini kwa sababu nyumba hiyo ilikuwa ni miongoni mwa nyumba bomba sana mtaani hapo. Kamwe nyumba hiyo haikuonekana kuwa na hadhi ya kupangishwa. Nyumba ya kishefa kama hiyo huwa ni vigumu sana kupangishwa, tena kwa mpangaji mmojammoja! Tulizoea kuona watu wakipanga nyumba nzuri, pengine kuliko hata hiyo; lakini si kwa mtindo kama huo, mara nyingi watu wenye fedha zao hupangishwa nyumba nzima.

Si hivyo tu! Mimi sina mwanaume mmoja. Kitendo cha kucheza shoo kwenye bendi na kumbi za muziki wa dansi kilinifanya nipapatikiwe sana na majibaba ya aina tofauti yanayosisimkwa na jinsi kiuno changu kinavyozunguka nikiwa kwenye steji.

Si unajua kuwa kumeng'enyua viuno hadharani tena ukiwa umevaa nguo laini, nyepesi zinazoonesha makalio kwa nafasi inayoridhisha kunavyowatia mshawasha wanaume? Basi, na kwangu ilikuwa hivyohivyo.

Sasa ukichanganya hayo yote nilikuwa na sifa nyingine za ziada. Kwanza, nilikuwa bomba niliyejaaliwa nywele ndefu, zile zinazokaribia kufika kwenye makalio. Nilikuwa na macho yanayoita, macho ambayo nikipiga kilevi chochote, hasa kungumanga, lazima nichukue mume wa mtu, atake asitake.

Pua ni ile ya kisomali, midomo minene yenye mvuto; kifua kipana na matiti ya kutosha yaliyojaa na ambayo hajanyonyesha mtoto bado. Kiuno kilikuwa chembamba kama cha nyigu.

Huku chini sisemi sana zaidi ya kukudokeza kwamba tafuta picha ya yule mwanamuziki hodari wa mamtoni, Jennifer Lopez uiangalie kwa makini kutoka nyongani kushuka chini, utakuwa umepata jibu kwamba ni yuleyule!

Wakati huo nilipokuwa nagonga mlango nilikuwa nimepiga kitopu f'lani chepesi chenye rangi ya pinki ambacho kiliishia juu kidogo ya kitovu na kuacha maeneo ya kitovu yakiwa huru!

Nilipiga na jeans safi ya rangi ya kibuluu iliyokolea. Ilikuwa ni jeans mpya ambayo nilinunuliwa na shefa moja la kìmombasa nilililoliokota wakati niliposafiri na bendi kwenda Zanzibar.

Hapa mlangoni niliposimama waume za watu walikuwa wanachanganyikiwa. Kila mwanaume aliyepita karibu na niliposimama hakuacha kunisabahi! Nami nilisimama kwa pozi zakuwazingua zaidi! Sikwambii nilisimamamaje, lakini niliamini pozi hilo latosha kumdondosha mtu mate!

Kwamapigo niliyopiga nilijua wanaume watakaoniona kwa nyuma jasho litawatoka! Kimya kilitanda kwa karibu dakika mbili hakutoka mtu, wala sikuisikika sauti yoyote ndani ya nyumba hii. Nilipokaribia kukata tamaa ndipo niliposikia kandambili zikiburuza ukumbini. Mlango ukafunguliwa na kidingi kimoja kilichovaa nadhifu kikajitokeza. Sura yake ilionekana kujaa hekima na uadilifu. Alivalia msuli na fulana nyepesi ya ndani. Alinitazama kwa kunikagua kidogo kisha akanikaribisha huku akitabasamu. “Mtoto mzuri......karibu ndani"

Nikaingia.

Nilikaribishwa sebuleni. Siwezi kusema sana kuhusu nyumba hii, lakini kwa ufupi tu ilikuwa ni nyumba yenye hadhi inayostahili kuishi watu wenye pesa zao. Nikashangaa kwa nini inapangishwa kwa watu wa kawaida!

Baada ya kusalimiana, maswali yakaanza."'Kwanza, jina lako nani?"

"Naitwa Zinduna Maliyatabu"

"Vema. Je, nikusaidie nini?"

"Ninatafuta chumba cha kupanga."

Akanitazama kwa nukta kadhaa huku akionekana kama aliyevutiwa na umbile langu. Sikushangaa kwa sababu ni kawaida kwa mwanaume yeyote anayekutana nami kwa mara ya kwanza kupata taabu kidogo.

Mnajua ngojeni niwaambie kitu. Mimi ninawajua wanaume wanapochachawa. Japokuwa hiki kilikuwa ni kipindi cha nguvu lakini kila aliponisemesha alikuwa akitazama maeneo ya matiti ya kìfuani kushuka chini! Hivyo, ikatosha kunipa ile alama ninayoijua kwamba amenizimikia.

"Chumba kipo na unaweza kupanga umekuja na pesa?"

"Ndiyo," nilimjibu kwa haraka kwa sababu sikutarajia kupewa jibu kwa urahisi kiasi kile.

"Lakini kwanza naomba nikuulize maswali machache ya msingi sana."

"Sawa baba, niulize tu."

"Unafanya kazi gani?"

Nikasita. Mara nyingi huwa naogopa kuwaambia watu nafanya kazi gani kwa sababu wengi hawajaelimika, huchukulia kazi kama yangu kuwa ni ya kihuni! Lakini nafsi ikanituma kusema ukweli, maana kama nikimdanganya kisha siku moja akaja kugundua, nadhani itakuwa mbaya zaidi! Dakika hiyohiyo nikaamua kujibu, poteleambali kama atanidharau ama ataniona mie mhuni; shauri yake ili mradi nimesema ukweli.

"Ninacheza shoo kwenye bendi ya muziki."

Niliona nyusi za macho yake zikipanda na kushuka kama mtu aliyeshtuka kidogo. Hilo nililishtukia lakini sikujali. Baada ya kusita kidogo baadae akaendelea, Una mtoto au mume?

"Sina mtoto wala sina mume baba."

"Vizuri, kwa hiyo, unajitegemea; siyo?"

"Ndiyo"

"Sawa, kwenye nyumba hii chumba ninacho. Tena ni kizuri tu lakini nataka nikupe maelezo kidogo kuhusu nyumba hii. Humu ndani naishi na mke wangu. Kwa sasa hayupo, amekwenda kusalimia ndugu zake. Lakini kuna masharti ambayo lazima uyatekeleze kama kweli una dhamira ya kupanga hapa.

Nikakaa tayari kumsikiliza.

"Sharti la kwanza, kupika chakula ambacho utatumia kitunguu saumu ni marufuku humu ndani kwangu, ishia hukohuko nje. Sharti la pili, usithubutu kutoka kwenda chooni saa za usiku mzito, hasa kuanzia saa 8 hadi saa 10 alfajiri. Sharti la tatu, usivae nguo za rangi nyekundu siku ya ijumaa. Sharti la nne utakapofanya mapenzi na wanaume yoyote usithubutu kutandika shuka nyekundu! Niambie utaweza masharti hayo?"

Nilipandisha pumzi na kuzishusha! Sio siri, masharti yalinishtua! Tena yalinishtua kwa kiwango ambacho hata yeye aligundua! Sikuelewa haraka ni kwa sababu gani mzee huyu anipe masharti ya ajabu ajabu, tena yenye mwelekeo wa kishirikina kama yale. Lakini kwa kuwa nyumba za kupanga zina kawaida ya kuwa na masharti hata kama ni ya kijinga, nilipiga moyo konde! Sikutilia maanani sana. Kwa hiyo, nikamkubalia.

Baada ya hapo mzee huyu aliniambia nimkabidhi pesa nilizokuja nazo. Nilipompatia akazipokea bila hata ya kuzihesabu, Kubwa zaidi, akaniambia nihamie kesho yake! Hili likanishangaza kidogo.

Baada ya kumkabidhi kodi yake hatukuwa na la zaidi la kuongea, Wakati nilipokuwa natoka mlangoni. Nikaona nisiondoke bila kuuliza, "Samahani, eti jina lako nani; baba?"

Naitwa Toboatobo!" Nikashtuka tena!

****

Ni saa 12:45 jioni. Nilikuwa mbele ya kioo ndani ya chumba changu kipya nilichohamia katika nyumba hii ya mzee Toboatobo nikijipodoa kama ilivyo kawaida ya kazi yangu. Nilikuwa najiandaa kwenda kwenye uzinduzi wa ukumbi mpya wa burudani uliojengwa maeneo ya Yombo, jijini Dar es Salaam.

Huo ulikuwa ni ukumbi wa kisasa uliojengwa na mfanyabiashara ambaye alikuwa hataki kujulikana mapema kwa jina. Ingawa sisi wacheza shoo huwa ni rahisi kumfahamu mmiliki wa baa yoyote hata kama mwenyewe hataki, lakini kwa baa hiyo tulichemsha. Mpaka siku hiyo tuliyokwenda kuzindua kati yetu hakuna aliyekuwa akimfahamu huyo mtu.

Wiki nzima mimi na wenzangu tulikuwa na kazi ngumu ya kubuni au kuiga mitindo inayopendwa na watu wengi pamoja na mitindo mipya ili kuhakikisha kwamba siku hiyo ya uzinduzi tunamridhisha karibu kila mtu atakaye fika kuanzia wanaopenda viuno vya Kikongo hadi vya Kimakonde.

Hivyo basi wakati wote ambapo tulikesha usiku na mchana kujinoa kwa mtindo mikali ya kukata viuno, bendi yetu ya Beat Sound ilikuwa inapiga dansi bila sisi kuwepo, japokuwa jambo hilo lilifanya wateja kulalamika.

Nilipomaliza kujipodoa nilichukua nguo za kazi, nikaziweka kwenye kibegi changu. Ili kuingia mitaani nikavaa nguo za heshima kidogo. Kutokana na jinsi nilivyojazajaza maranyingi sikupendelea kuvaa mavazi ya hasara-hasara kama yale ninayocheza nayo jukwaani, kwa kuogopa kushikwashikwa au kushangiliwa na wahuni mitaani pale mambo-mambo yangu huku nyuma yanavyotikisika! Vilevile baba mwenye nyumba wangu, mzee Toboatobo, alikuwa na dalili zote za kujiheshimu. Kwa hiyo, sidhani kama pamba za namna hiyo zingemfurahisha.,

Hata hivyo, kila nilipokuwa nalikumbuka jina lake Toboatobo, na ile ndoto ya kutisha niliyoota siku moja kabla sijahamia nilipata mashaka kidogo.

Japokuwa mimi ni mmoja wa watu wanaoamini kwamba ndoto si kitu cha kutilia maanani, lakini ndoto niliyoiota ilinisumbua sana akilini mwangu.

Nilitoka chumbani kwangu. Nikamkuta mzee Toboatobo anasoma kitabu. "Baba mimi naenda kazini" niliaga.

"Unakwenda kazini, sio?"

"Ee, tena leo tuna kazi kubwa sana, tunakwenda kuzindua ukumbi," nilisema.

Kazi zenu siku hizi nyinyi vijana ni ngumu sana. Sisi zamani mambo kama hayo hayakuwepo. Kamá mtu unajenga ukumbi wako unaufungua tu mambo yanaanza sio kama nyinyi sasa hivi mpaka ifanyike sherehe na fujo kibao," mzee Toboatobo alisema huku akitabasamu.

Niliishia kucheka tu, kisha tukaagana. Nikatoka na kuingia mitaani kuelekea katika kambi ya bendi zetu; tayari kuungana na wenzangu kuingizana kwenye huo ukumbi mpya.

Wakati napita mtaani hapa nilipohamia, watu walishangaa kama kuna kitu cha ajabu kilichokuwa kikitembea. Kitendo cha kunitazama hivyo nilikiona. Walikuwa wakitazamana mtazamo wa kunishangaa.

Mara nyingine mitaa yetu ya huku mjini inakuwa na mambo ya kishamba sana! Nimevaa mavazi ya kawaida na wanashangaa, Je, wakiniona nikiwa jukwaani, itakuwaje! Nikahisi pengine wananishangaa kwa kuwa ni mpangaji mgeni wa mtaa wao!

Hilo tu kwamba mimi ni mgeni mtaani kwao ndiyo wanishangae hivyo? Hilo tu? Mitaa mingapi nishahamia na haikuwa hivi? Suala hili lilibaki kuwa swali linalojirudiarudia kichwani mwangu!

Kwa nini wanishangae vile?

Lazima kuna jambo.

****

Tuliingia ukumbini majira ya saa moja za usiku. Pamoja na kwamba tulishakuwa ważoefu wa kuziona kumbi za burudani, lakini ukumbi huu ulitutoa ushamba! Ulikuwa mzuri mno ingawa haukuwa mkubwa sana kama tulivyokuwa tumedhania. Ulikuwa nadhifu na sehemu kubwa ilizibwa juu tu kujikinga na mvua; na sehemu zilizobakia ulikuwa wazi ukiacha upepo uingie na kuburudisha wateja.

Palipandwa miti mbalimbali iliyosaidia kuleta kivuli kwa yale maeneo ambayo lile paa halikufika. Hali ya hewa ya hapo ilikuwa nzuri sana kwa vile lilikuwa ni eneo la wazi na upepo ulikuja bila kizuizi.

Ukumbi ulishona mamia ya watu ambao walikusanyika kwa wingi kiasi mpaka ukaonekana mdogo maradufu. Watu wengi walikosa mahali pa kukaa kwa sababu viti vilionekana vichache kuliko idadi iliyokadiriwa.

Bendi yetu, Beat Sound ilianza kutumbuiza kwenye ukumbi huo saa tatu za usiku. Sisi wacheza shoo tulikuwa tumevalia zile kaptula za vitambaa vyepesi zinazobana sana maarufu kwa jina la 'skintaiti;' na juu tulivaa vitopu vya kitambaa kimoja na 'skintaiti' zetu.

Sijifagilii, lakini nataka niwaambie kwamba siku hiyo mimi ndiye mnenguaji aliyeng'aa kuliko wanenguaji wote. Nasema hivyo kwa sababu katika wanenguaji wote mimi ndiye niliyetunzwa fedha nyingi sana.

Uzinduzi huo ulikamika saa saba na nusu usiku.

****

Pombe zilinisababishia kizunguzungu. Nilikuwa niliyumbayumba kutokana na kulewa sana. Wakati huo Tom, mpenzi wangu, ambaye ni mwimbaji wa bendi ninayo fanya kazi alikuwa amenibana ukutani kwenye kichochoro chenye giza akinisukasuka na kuning'atang'ata kwa mahaba.

Mapenzi yangu na Tom yalikuwa kama ya Jennifer Lopez na dansa wake, Chriss Judd; yaani mastaa watupu ndio tuliopendana! Yeye mwimbaji mimi mcheza shoo!

Mapenzi yetu haya yalianza siku nyingi zilizopita. Mwanzoni tuliyafanya kwa siri watu wengine wasijue. Lakini nani alisema mapenzi yana siri? Sote tukashindwa kujizuia, hisia zetu zikaonekana mbele ya watu wengine. Na tena baadae nikagundua kwamba siri tuliyokuwa tunajaribu kuitunza ingeweza kuwa sababu ya kutosha ya kuvunjika kwamapenzi yetu.

Kuna siri moja nataka niwaambie. Mwanamke ukiona mwanaume wako ameanza vijimkutano visivyoeleweka na wanawake wengine katika eneo la kazi, hata kama vijimkutano hivyo anavifanya na wafanyakazi wenzio wanawake, anza kuwa mwanagalifu na ikibidi watambulishe wote kuwa huyo mwanaume mmiliki ni wewe. Usipofanya hivyo na kuamua kuendelea kudumisha siri, basi mambo yatakwenda hivyohivyo, mwisho wake ataibuka mwenzio; atamlegezea macho, jamaa atachanganyikiwa ataingia line! kisha yeye ndiyo atakuja kujitambulisha kwenu. Wewe ukijaribu kujitambulisha utaonekana umechelewa!

Nilipohisi dalili za wanenguaji wenzangu kutaka kunichukulia ziko wazi, sasa ikabidi niwe wazi kuwajulisha wajue kwamba Tom alikuwa wangu.

Jambo moja ambalo liko wazi, Tom ni mzuri mno! Alikuwa ni mrefu mwenye mwili wa saizi ya kati. Hakuwa mrefu sana wala mwembamba. Sura yake ilijaa upole na ukarimu. Ukiondoa sifa zake nyingine mbaya za kupenda kulewa na kufanya fujo, sifa nzuri nyingi zilizizidi hizi mbili nmbaya. Ingawa ni ukweli kwamba nilikuwa na wanaume mbalimbali niliokuwa nikifanya nao mapenzi, lakini hata siku moja sikutaka kumpoteza huyu. Tom alinitosha zaidi, alinifikisha na alinigusa sehemu ambazo wengine hawakuwa wakifika!

****

Siku ya kuwapasha, nilivizia watu wote, kuanzia wanamuziki mpaka wacheza shoo wenzangu, wako pamoja mazoezini. Nikamdaka Tom, nikampa denda la kimakusudi nbele yao. Wakiwa wamepigwa butwaa kidogo, walijikuta wakipiga makofi na kushangilia, lakini baadhi yao; hasa wacheza shoo wenzangu, walichomwa sindano ya ganzi!

Kwa hiyo, tangu siku hiyo mambo yote yakawa bayana kwamba mimi na Tom tulikuwa ni wapenzi.

Tom aliendelca kunibana kwenye ukuta kwa mtindo ambao ulinisisimua. Viganja vya mikono yake miwili vilikuwa vilinitomasatomasa kiunoni na mara nyingine vilipanda na kushuka taratibu.

Mikono hiyo ilipanda na kuyafumbata matiti, ikiyasukasuka. Kinywa chake alikielekeza shingoni mwangu akaning'ata taratibu.

Nilihisi nikizungusha mikono yangu shingoni mwake huku pumzi zikinitoka kwa fujo na nikajikuta nikinua mguu juu katika namna iliyoonyesha kwamba nilikuwa tayari kwa chochote. Sketi niliyoivaa ilikuwa fupi sana, tena nyepesi. Kitambaa kilichotengenezwa sketi hii ndiyo kilekile kinachotumika kutengenezea magagulo. Hata kama tungepitisha uamuzi wa kumaliza hamu zetu palepale kusingekuwa na usumbufu wowote. Kazi yenyewe ingekuwa ni kuisogeza sketi juu kidogo tu halafu mambo yanakuwa mambo!!!

Wakati sote tukianza kuzidiwa, na shauku huku yeye akionekana kuchanganyikiwa zaidi yangu; tulisikia muungurumo wa gari la bendi linalobeba vyombo na kuwasambaza wanamuziki majumbani. Tukakurupuka kulikimbilia kwa kuhofia kuachwa.

Sikurudi tena ukumbini kufuata mizigo yangu, niliagiza tu kwamba nitunziwe nitaifuata siku inayofuata.

Nikaondoa mimi na nguo nilizovaa siku hiyo tu.

Nilipofika nyumbani na kuteremshwa, nilianza kugonga mlango wa mbele. Hiyo ilikuwa ni saa nane za usiku. Eneo lenyewe lilikuwa na giza kama makaburini. Siku mbili tatu hizo ilipita katakata umeme na nyumba nyingi zikakatiwa.

Ilikuwa ni wazi kwanba kama akitokea mtu yeyote mwenye dhamira mbaya na mimi ama mbakaji ingekuwa kazi ndogo sana kutekeleza azma hayo bila upinzani kutoka kwa wananchi wengine! kwani nilikuwa peke yangu, kama jini!

Ghafla pombe zilinitoka nilipokumbuka kwamba nimevaa nguo nyekundu! Na huo ni usiku wa siku ya Ijumaa, siku ambayo baba mwenyenyumba alinionya nisiwe navaa nguo nyekundu kwa mbali nilisikia mtu akija kwa kukimbia! Nilishtuka na kutaka kukimbia, lakini sikujua nikimbilie upande gani, maana hata vishindo hivyo vya miguu vilinichanganya. Sikujua kama vinatokea kushoto kwangu au kulia. Kadhalika, miguu yangu ilikuwa kama iliyofungwa minyororo. Nikajikuta nimesimama, nikitetemeka kwa hofu; nikimwangalia mtu aliyekuwa akija mbio katikati ya giza nene.

Dakika hiyo hiyo nilianza kuhisi baridi! Mwili ulitetemeka kwa nguvu. Nikasimama kusubiri kitakachotokea.

Ghafla, zile sauti za vishindo vya miguu zikapotea. Hii ilinitisha zaidi maana nguo fupi nilizovaa zingeweza kumrahisisha mbakaji yeyote kufanya kazi yake bila upinzani mkubwa. Wasiwasi wangu ulizidi wakati bado akili yangu ikiwa ikonjia panda. Sikujua kama niendelee kugonga mlango, niache au nikimbie.

Sikuwa namjua vizuri baba mwenye nyumba wangu, Toboatobo, au labda kama ningekuwa naelewa maana ya masharti aliyonipa ningeweza kumpuuza, lakini sikuwa najua chochote mbumbumbu mzungu wa reli!

Kukiuka kile alichonikataza. Bila shaka mimi ndiye ningeliathirika zaidi. Kwanza, kumsaliti mwenye nyumba kungehatarisha usalama wangu kwenye nyumba yake ambayo bado ndio kwanza nimehamia. Angeweza kunifukuza wakati wowote kwa kumwonyesha ukaidi wa kiasi hicho. Jambo lingine, masharti yake hayakuwa ya kawaida na, kwa vyovyote, kuna nguvu fulani iliyomlazimisha kuweka masharti kama hayo. Kwa hiyo, mimi kukataa kuyatimiza wakati nilikubali mwenyewe, pengine ningeweza kupata madhara makubwa sana.

Ghafla, nikasikia sauti kutoka ndani ya nyumba. Zilikuwa ni sauti za watu watatu waliokuwa kwenye mzozo mkali wa maneno. Niliposikiliza kwa makini nikagundua sauti moja ilikuwa ya mzee Toboatobo. Zile sauti nyingine mbili sikuzijua ni za nani lakini zilikuwa za wanawake.

Nilishangaa.

Nilivyokuwa nikijua katika nyumba hiyo, nikiondoka mimi kwenda kwenye shughuli zangu mzee Toboatobo alikuwa anabaki peke yake ndani ya nyumba na hata jioni nilipoondoka bado nilimwacha peke yake, au mke wake amerudi? Mbona hakunijulisha ili tushirikiane katika mapokezi? Au hakutaka nijue na, hata kama amerudi ina maana amerudi, usiku wa manane kama huo kiasi bado wanendelea kuzungumza? Kama alirudi mchana hawakupata muda wa kujadiliana na hata kufikia kuzozana mpaka wangoje usiku mzito? Na kwa nini wazozane wakati watu hawajaonana siku nyingi?

Nikatega sikio kusikiliza kwa makini zaidi lakini sikuelewa hata neno moja, pengine kwa kuwa walikuwa wakiongea kwa sauti za chini sana. Lakini ni dhahiri walikuwa wakizozana na katika kúzozana huko sauti za watu kama za vikongwe wawili zilikuwa zikimshambulia Mzee Toboatobo alikuwa kama mtu anayejitetea hivi!

Ghafla ukimya mzito ukatanda.

Kisha sauti ya mtu, kama bibi kizee, ikakohoa, na kikafuatia kicheko kikali mpaka nikaogopa. Nilianza kupatwa na wasiwasi. Pamoja na kuwa nilihisi mke wa mzee Toboatobo amerudi na mtu mwingine na wanaongea, lakini kicheko na kukohoa kwa bibi kizee huyo kulifanya mishipa yangu ya kichwa kugonga kwa alama ya hadhari.

Nilihisi nywele zimesimama.

Mara sauti za mtu aliyevaa kiatu kirefu zikagonga sakafuni kuelekea uwani. Nikaanza kujiuliza: hivi mke wa mzee Toboatobo ni msichana kiasi cha kuvaa viatu virefu? Punde nikasikia mlango wa uwani ukifunguliwa na kufungwa. Ungeweza kufikiri kwamba watu hao wamekwenda uwani, kumbe haikuwa hivyo! bado sauti za kuongea ziliendelea palepale ukumbini zikiambatana na vicheko. Kwa muda, nikawa nimejisahau kwamba niko nje; nimesimama peke yangu!

Niliporudisha mawazo hapo niliposimama, vile vishindo vya mtu aliyekuwa anakuja barabarani vilianza tena! Na sasa niliweza kuona taswira ya mtu katikati ya barabara ikija upande wangu. Nikajikuta nagonga mlango wanyumba kwa nguvu kutokana na hofu ya kumwogopa huyu aliyekuwa anakuja kutokea katikati ya barabara. Wala sikujali tena kama nimevaa nguo nyekundu ambayo, bila shaka itamuudhi mzee Toboatobo.

Kutokana na vishindo vya kugonga mlango, zile sauti za watu kuongea na kucheka zilikoma ghafla, kama umeme uliozimika!

Kufumba na kufumbua, huyu aliyekuwa anakuja barabarani alishafika. Akasimama mbele yangu. Nikapigwa na butwaa!

Alikuwa Tom!

Moyo wangu ulipoa kwa faraja ingawa mapigo yalikuwa yakiendelea kutokana na wasiwasi niliokuwa nao awali.

"Tom, mbona unanitisha hivi! umekuja kufanya nini?" nilijikuta nikimuuliza huku mkono nimeuweka kwenye kifua changu kujaribu kutuliza mapigo ya moyo.

"Aisee, uzalendo umenishinda, nimeshindwa kustahamili.

Nimewaambia wanishushe nije kukuchukua twende zetu tukalale nyumbani. Tangu tulipoachana akili yangu haifanyi kazi kabisaa, siwezi kulala peke yangu." Aliposema hivi alinishika mkono na kunivuta moja kwa moja. Nikakubali kwa vile tayari nilikuwa na wasiwasi wa kukutana na mzee Toboatobo nikiwa na nguo nyekundu usiku huo wa pili tangu nihamie nyumbani kwake Tom alikodi taksi tukaenda nyumbani kwake.

****

Kulipokucha niliamua kurudi nyumbani haraka sana. Kwa vile kitendo cha kulala nje bila ya kumwarifu mzee Toboatobo kilinipa wasiwasi. Asubuhi hiyo nilitinga viwalo vya Tom; jeans na fulana. Wakati narudi njiani nilikutana na Zuwena, shoga yangu wa siku nyingi, ambaye tulipoteana kipindi kirefu.

Tukasalimiana kwa furaha. Dakika chache tulizosimamna hao barabarani zilitosha kukumbushana mambo mengi ya zamani. Akaniambia pia kwamba siku hizi anaishi mtaa wa Takadiri, Kinondoni.

"Nasikia na wewe kule ulihama uko wapi sasa?" aliniuliza.

Kwa kuwa nyumba ya mzee Toboatobo ilikuwa inaonekana kutoka hapo tuliposimama nikamwonyesha.

"Eh, unakaa pale!"

"Eee, mbona unashangaa?

"Ile nyumba ya mzee wa Busara?"

"Mzee wa busara? Mbona simjui?"

"Ile si nyumba ya mzee Toboatobo!"

"Ndiyo hiyo hiyo!"

"Mi nasikia tu watu wanaiita nyumba ya mzee wa Busara. Ni mtu mzuri sana, pengine ndio maana wanamwita hivyo"

Zuwena aliguna, kisha maongezi hayo yakakatika; tukaendelea na maongezi mengine kidogo halafu tukaagana. Nikarudi nyumbani.

Jicho la mzee Toboatobo lilikuwa limeiva kwa wekundu. Wakati ananifungulia mlango nilimwona amechukia. Nikajua hivo imetokana na kitendo changu cha kulala nje. Lakini pia niliiuliza kama hakubaliani na mambo kama hayo mbona aliniambia nikifanya mapenzi na mwanaume yeyote nisitandike shuka nyekundu? Hiyo maana yake si ile ile, anajua mimi nina wapenzi? Sasa anakasirika nini mimi kulala nje?

Kwa kuwa usiku nilimsikia akionge na watu wawili, nikaona ni vema kwanza nikutane na wageni hao, nisalimiane nao. Nikamuuliza, "Mama amerudi ee??"

"Mama?! Yupi?" akaonyesha mshangao.

"mke wako."

"Hajarudi."

"Kumbe kuna wageni wako walikuja jana?"

Nikamwona akinitazama kwa jicho kali, mpaka nikaogopa. Hakuna wageni humu, si nilikwambia naishi peke yangu,kama kungekuwa na mpango wa wageni si ningekwambia?"

Nikapigwa na butwaa.

Kumbe wale waliokuwa wanamfokea usiku walikuwa ni akina nani?au wale waliokuwa wanafungua na kuufunga mlango wa uwani walikuwa akina nani? Au yule aliyekuwa anatembea na vishindo vya miguu yake vikifanana na mtu mwenye viatu virefu alikuwa nani?

"Zinduna, hebu kaa hapo tuongee," aliniambia katika namna ya mtu aliye.... Nikakaa kwenye sofa pale sebuleni yeye akakaa kwenye sofa linalotazamana na lile nililokaa mimi. Alikosa raha kabisa.

ITAENDELEA...
Mkuu endelea hadithi ni nzuri sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom