Katika tamthilia ambayo mpaka Leo naiangalia na haichuji, Sex and the city in moja wapo?!
Kote kwenye Tamthilia na Movies
My favourite Actress ambae nikimkosa nanuna alikuwa ni
1. Samantha ~...
https://youtu.be/WcqK9Ls7Eos
From the Bible to the Quran
Revelation in Jerusalem
Shalom, salamalekoum
You can see Christians, Jews and Muslims
Living together and praying
Amen, let's gives...
Ninachotaka kusema ni kwamba hawajali kabisa kuhusu Sisi,
(Usijali watu wanasema nini, Kwa sababu tunaujua ukweli)
Ninachotaka kusema ni kwamba hawajali kabisa kutuhusu,
(Inatosha sasa, upuuzi...
Ziwe bongo flava, ziwe rnb, ziwe funk, ziwe rap, iwe rhumba, ziwe soul muhimu tu isiwe gospel au Kaswida.
1. Asante ya Sugu na Sele, kutoka kwenye album yake ya Muziki na Maisha. 'Chorus' yake...
https://youtu.be/UiIa2i29PZ4
R.I.P Father Nelly wa Xplastaz
Nimesikiliza hii nyimbo tangu nikiwa bwana mdogo mpaka leo nimekuwa broo!
Nafikiri tukubaliane sasa kwamba kwa Hip Hop hii ndio rap...
Zion train is coming our way
Zion train is coming our way
Oh people, get on-board (you better get on board)
Thank the Lord. (praise Fari)
I gotta catch this train
'Cause thee is no other station...
Ijumaa ya leo tarehe 18/08/2023 Msanii maarufu kwenye nyimbo zinazogusa maisha halisi ya Watanzania, Roma Mkatoliki ataachia wimbo wake uuitwao “Tupeni Chetu.”
Wimbo huu utagusia suala zima la...
Hello Jamii People. Been a while lakini yote heri au siyo. The messages that I receive mostly zinaniulizia kuhusu more stories. So nikaamua walau kila wiki niwe naandika something. Naanza na hii...
Baadhi yetu tunaamini kusikiliza muziki ni tiba ya bure kabisa (therapy) kitu ambacho kwa namna flani kina ukweli ndani yake, kila mtu ana aina ya mziki anaoupenda, wengine hupendelea gospel...
Hawa vijana wapo moto sana, usiseme ushawahi kusikiliza mziki halafu hii ngoma huna, hii ngoma ni kali balaa ina fleva kali za na amapiano humo ndani inaitwa "Sina ubaya by watu fresh"...
HADITHI: KIFO CHA MWANDISHI
SEHEMU YA KWANZA
Mtunzi: More
Mawasiliano: 0756320219
Hadi nafika nusu ya safari yangu bado nilikuwa nikijiuliza kama uamuzi wa kuwa na safari hii ulikuwa sahihi. Kila...
Nyimbo tulizojufunza majeshini mafunzoni na kwenye mchakamchaka.
1. Baku babakubaba siitikii.
2. Inkalankala inka.
3. Nasoro unantafuta.
4. Impiizaaa.
Ongezea nyingine
SEHEMU YA KWANZA
Ushuhuda huu una sehemu 13, sehemu zote utazipata humu humu jamii forumu kila siku, tutakuwa na sehemu moja mpaka tutakapoumaliza ushuhuda hu
Karibuni Sana!
Marafiki wapendwa...
Huyu mwanadada Libianca ni mwanamuziki wa Cameroon, na mwaka huu ametoa wimbo uitwao PEOPLE. Binafsi nimeusikiliza mara kadhaa na kutambua kwamba huyu dada ana kipaji kikubwa mno cha uandishi na...
Shalom Shalom wapendwa.
Ninamaandalizi ya tamasha la uzinduzi wa Albam ya video Mpya.
Tamasha linafanyika Mkoani Tabora
Nawakaribisha sana kusapoti maandalizi poa karibuni sana ndugu zangu 24...
Aron Mvembezi Ft Yohana Anthony - Yupo Mungu wa kweli.
Ni wimbo wenye matokeo makubwa ya nguvu ya Mungu. Ukisikiliza Nikama umefanya maombi ama imeombwa.
Kama huamini hemu utazame na usikilize.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.