Financial Analyst
JF-Expert Member
- Nov 27, 2017
- 2,262
- 5,108
Hawa jamaa kutoka Kenya walikuwa na international flow, walikuwa ahead of time. Imepita miaka kama 13 tangu hawa jamaa waje kwenye game ya muziki na ghafla wakapotea.
Nafikiri kwa ile style yao ingekuwa favourable kwa soko la sasa kwa maana muziki umeonesha kuwalipa vijana vizuri.
I miss them.
Nafikiri kwa ile style yao ingekuwa favourable kwa soko la sasa kwa maana muziki umeonesha kuwalipa vijana vizuri.
I miss them.