Habari jukwaani kwa wawafatiliaji wa movie za aliens sizani kama Kuna movie Bora kuizidi invasion ambayo iko season two episode ya 7 week hii ubora wake ni
1. kwanza Aliens hawajavamia america tu...
Original version ilifanywa na Zac Efron na Zendaya mwaka 2017 kwa ajiri ya movies ikienda kwa jina la The Greatest Showman.
Baadaye James Arthur na Anne-Marie walifanya cover yake.Mimi kila...
Kuna jambo la ubunifu wa hali ya juu unafanyika katika matamasha ya wasafi 2023 lichavya kuonekana wasanii wakiongozwa na diamond platnumz kama wanatumia mamilioni ya pesa ila kuna kitu kipta...
Yes kama kawa kama kawaidas Denzel Washington ndani ya nyumba [emoji91]
Huyu mzee ni balaa haswa mara ya kwanza nilipomuona kwenye The book of Eli nikasema Huyu jamaa fundi alafu anajua na anajua...
Hii inamaanisha ngoma zilizopigwa zaidi kwenye events, night pubs tiktok na sherehe mbalimbali.
5. Ameyatimba
Whozu ft Billnas
4. Sele
Mbosso
3. Shu
Diamond Platnumz
2. Enjoy
Jux ft Diamond...
Habari wakuu,
Huu ni Uzi maalum Kwa ajili ya Tamthiliya pendwa ya kituruki inayojulikana kama Sadakatsız (unfaithful) inayorushwa katika luninga ya Azam Two kuanzia jumatatu Hadi Ijumaa majira ya...
Tuvute pumzi kidogo wakati tunaisubiria 'The Godfather'....
Baada ya kuhitimu chuo kila mtu alikua na matarajio yake, wapo waliojindaa kuyafikia hayo matarajio hata kabla hawajatoka chuo, wapo...
SHIRIKA la Utamaduni la Maendeleo Afrika Mashariki (CDEA) linaendesha mradi wa mafunzo maalum kwa Vijana wanamuziki wanaochipukia wa Mkoa wa Dar es Salaam, kwa ufadhili Braid Arts and Culture...
Mtunzi Juma Hiza
Sehemu ya 01.
Nilizaliwa Julai 27, 1982 katika hospitali ya Bombo mkoani Tanga, nikiwa mtoto wa pekee katika familia ya wazazi wangu.
Maisha yangu baada ya kuzaliwa...
Mtunzi ally Katalambula
Sehemu ya 01
Kwanza namshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuniacha hai mpaka leo hii kwa niliyoyafanya naamini sikufaa kuwa hai mpaka leo hii. Nina imani alifanya hivi ili niweze...
Hili jitu la miraba minne toka kule jamhuri ya Aradese bingwa la miondoko ya rhumba na soukous akiwa na rapa mahiri enzi hizo Bileku Mpasi akiwa stageshow wake mahiri emolo na jollybabe walitoa...
Mtunzi Juma hiza
Sehemu ya 01.
Naitwa Abdul Mensah, ni mzaliwa wa Mabawa, Tanga mjini. Nilipomaliza shule ya msingi mwaka 1992 sikubahatika kuendelea na masomo ya sekondari hivyo nilikuja jijini...
The series dramatizes the history of "Easy" Company, 2nd Battalion, 506th Parachute Infantry Regiment of the 101st Airborne Division, from jump training in the United States through its...
Hongereni sana watani kwa kuvunja mwiko wa miaka 25 na kutinga makundi ya Klabu bingwa Afrika kwa mara ya kwanza tangu mwaka 1998. Ni jambo kubwa sana kwa wana Uto wote. Mnastahili pongezi. Japo...
Sikumbuki jina la choir. Ila wanaimba
"Mimi ni kitu gani Bwana uniokoe
Ninapojitazama mimi sistahili
Ninazo dhambi tele
Shetani kanisonga
Yesu uniokoe
Unishike mkono bwana
Ni moja ya choir za...
Hawa jamaa mwaka huu wapo kimya,
Kwa kawaida harakati zamsimu wao wa fiesta huanza mwezi wa saba mpaka sada tumeifikia october ambapo huwa fiesta inakua inakaribia kuhitimishwa
Bila shaka huenda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.