kadefeghe
JF-Expert Member
- Apr 21, 2012
- 446
- 629
Wadau kwema..wenzang wa miaka ya 2000 mtakua mnakumbuka zaman miaka hyo I'li ipate channel kwa Tv ilikua lazimaa upandishe antenna juu..kiwango cha upandishaj kinategemea uko wap..nakumbuka kwetu antenna ilikuaa.juuu Sanaa ndo unaipata ITV daah..tumetoka mbaaaali..
M mkoa nlokuepo those days ilikua I'li kupat radio one lazimaa eria..uiwekee juu kwa miti ndo inapatkan..daah
Sema zaman n zaman nakumbuka nshawah kuanguka wakati natega eria I'li kuipata kiss fm enzi izo kuanzia saa 12 jion hip hop n balaaa
@Ni kumbukumbuk wadau anaekumbuk chochote pitia apa
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
M mkoa nlokuepo those days ilikua I'li kupat radio one lazimaa eria..uiwekee juu kwa miti ndo inapatkan..daah
Sema zaman n zaman nakumbuka nshawah kuanguka wakati natega eria I'li kuipata kiss fm enzi izo kuanzia saa 12 jion hip hop n balaaa
@Ni kumbukumbuk wadau anaekumbuk chochote pitia apa
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app