paartey
Member
- Jun 26, 2023
- 39
- 53
MKE WA PILI
MTUNZI: PATRICIA ANTONY
SEHEMU YA: 01
WHATSAPP: 0676604830
KAWAIDA: 0783642467
ANZA NAYO.........
Siku ya ijuma ya tarehe 22/08...... ilikuwa siku ngumu sana na yenye machungu ndani yake baada ya kuamka tu na kukutana na taarifa mbaya kwenye mitandao ya kijamii ikinihusisha mimi Mr Deo na kampuni yangu niliyokuwa nafanya kulikuwa na upotevu wa pesa nyingi sana kwenye kampuni niliyokuwa nikifanya kazi kama muhasibu mkuu na shtuma zote ziliangukia kwangu nilistahili haya kwani cheki zote zilikuwa kwangu na sijui Nani aliweza kutoa pesa kwa kutumia Saini yangu.
Jambo lolilonishangaza kwanini nipostiwe mitandaoni kama mwizi tena nikitajwa kuwa mwizi kabisa mkubwa kabisa na sizani kama ni utaratibu wa kampuni kifanya hivyo, nilizima simu na kuoga ili kupeleka binti yangu shuleni lakini pia kwenda ofisini kwaajili ta kuzungumza na boss maana waannichafua kwa kitu ambacho sikahusika kabisa na mpaka muda huo kess ilikuwa ikiendelea kufanyiwa upelelezi.
SONGA NAYO...
Nilimaliza kujiandaa na kutaka kuondoka sasa
"Ni aibu kiasi gani mashoga zangu wote wananicheka na kunidharau kwaajili ya mambo yako "
Alizungumza mke wangu Martina akiwa amekaa kitandani
"Ndo utaamini kuwa hauna mashoga kipindi ambacho mambo yalikuwa sawa kila mtu alikuwa akikupenda lakini sasa hivi wanakubeza "
"Ila wewe ndo umesababisha kila kitu "
"Martina usiniambie kuwa unaamini kuwa nahusika na upotevu wa pesa hizo na kama nimehusika nimepeleka wapi hizo pesa mimi "
"Sasa unaniuliza mimi, nyie wanaume mnakuwaga na mambo ya hovyo sana usikute umeonga uko "
"Asubuhi yangu imeharibika nikafikili wewe ndio utakuwa wa kwanza kuniliwaza lakini ndio kwanza unanizidishia mawazo "
"Nitokee hapa "
Mke wangu alijiandaa na kuondoka kazini kwani na yeye pia ni muajiliwa, nilimpeleka binti yangu shuleni na kutaka kwenda kazini lakini nilipigiwa simu na kuambiwa kuwa naitajika nyumbani.
Niliwai nyumbani na kukuta mapolice lakini pia na boss wangu
"Sir....."
Nilizoea kumuita hivyo boss wangu
"Hakuna cha sir, kuanzia sasa na muda huu, haitatakiwa kitumia chochote kile kilichopo chini ya uangalizi wa kampuni namaanisha gari, nyumba na account zako za bank ambazo zimeshafungiwa mpaka pale upelelezi utakapotimia"
Alizungumza boss wangu ambaye alikuwa rafiki yangu sana lakini kwa muda huo hakujua kabisa kama mimi ni rafiki yake
"Lakini sir....."
"Nimemaliza una masaa 24 ya kutoka kwenye hii nyumba "
Alizungumza hivyo lisha akaondoka machozi yalinitoka mtoto wa kiume nilikaa chini kabisa na kwakuwa nilikuwa ndani kwangu nilianguka kabisa kile kilio cha sauti ya juu sikutaka kujikaza nililia mno.
Katika vitu ambavyo najutia katila maisha yangu ni kutokujenga au kununua nyumba au gari, gari na nyumba ya ofisi vilinifanya nione kuwa Nina kila kitu na siku hiyo ndio nilikuwa nadhalilika sasa.
Nilijiangalia mfukoni nilikuwa kama nina laki 2 na nusu tu ambayo sizani kama ingetosha chochote kile, binti yangu alikuwa akisoma shule ya kulipia, nilikuwa nikihusika na kila kitu.
Martina sawa alikuwa akifanya kazi lakini alikuwa ni mtu wa starehe hakuwai kutoa hata mia yake sio chakula wala kumfurahisha mtoto wake kila kitu alifanya kuwa ni jumumu langu, alitumia pesa zake na marafiki zake na sio familia yake na hii iliniumiza zaidi niliwaza kama anaweza akafanya kitu kwaajili ya mwanangu au mimi.
Majila ya jioni mwanangu na mke wangu walishawasili nyumbani walikuta nikiwa nimeshaandaa chakula cha jioni nilitenga mezani lakini mke wangu hakula alionekana kuwa na hasira Sana
"Kwaajili yako ofisi nzima naoneshewa vidole "
Alizungumza mke wangu muda huo nilikuwa nimekaa sebuleni nikimsaidia binti yangu ambaye alikuwa anafanya maswali ya hesabu ya kidato cha kwanza
"Tutaongea baadae acha nimsaidie mtoto kwanza "
"Unamsaidia kitu gani umemwambia mwanao kuwa hapa tumefukuzwa au ??"
Hapo binti yangu aliinuka na kuniangalia mimi na kumgeukia mama yake Kisha akauliza
"Tumefukuzwa wapi ??"
"Baba yako boga boga mwili mkubwa akili amna hii nyumba sio yake na hapa tumefukuzwa hana chochote "
Alifoka mke wangu alitoa maneno makali snaa ambayo mtoto hakustahili kuyasikia
"Kwahiyo baba tutaenda wapi ??"
Aliuliza Triner ambaye ni binti yangu
"Usijali nitafanya kitu "
Nilimshika mke wangu mkono na kumpeleka mpaka chumbani
Siku iliyofuata nilidamka asubuhi Sana na kumpeleka Triner shuleni kisha nikaingia mtaani kutafuta chumba, nilipata chumba cha kawaida kabisa ambapo kwa mwezi ilikuwa ni sh. Elfu 40 yaani kutoka kwenye maisha ya geti na kila kitu mpaka kwenye nyumba ya nje ambayo haikuwa hata na sakafu nzuri tandabui kila kona na hakuna hata singibodi lakini nililizika tu ili mimi.na familia yangu tupate pa kulala na kuamkia
Majila ya saa 10 jioni nilirudi nyumbani nilikuta nyumba ikiwa imeshafungwa na mabegi ya nguo yalikuwa nje yaani hawakusubili hata nifike nilikaa nje ya geti nikiwa na mizigo yangu nikisubili mke wangu na mtoto warudi
"Aibu gani hii "
Yaani mke wangu alikuwa na mdomo sana na ndio kwanza kafika
"Bajaji inakuja sasa hivi tunaenda nimepata chumba mahali ,"
"Chumba au nyumba.?"
Sikutaka kumjibu maaana aoni hata aibu ya kuongea na mimi kwa kunidharau lakini pia hakumuogopa mtoto.
Tulifika kwenye nyumba niliyopanga na mke wangu aligoma ata kushuka kwenye bajaji
"You can't be serious baby hii nayo ni nyumba ? Yaani me siwezi ingia umo ndani na kusema kwamba naishi sijui nafanyaje yaani umu analala mtu kweli ??"
Kiukweli sijui mke wangu alipatwa na nini hakuwai kua hivi miaka yote niliyomjua au kumfahamu kama mke wangu hakuwai kuwa na dharau wala kunijibu majibu ya hovyo, kitu ninachojua kuhusu Martina ni kwamba alikuwa mvivu sana sio kazi za ndani wala chochote, mara nyingi mimi ndio nilikuwa nikifanya usafi sana sana, muda mwingine tunasaidiana kwa mapenzi mazito tunainjoy lakini hii tabia ya sasa hivi ni mpya sikuwai kuiona kabla.
Nilishuka na kumchukua binti yangu tukaingia ndani lakini mke wangu hakuthubutu kuleta ata miguu yake
"Kwahiyo baba tutakuwa tunakaa umu ??"
Aliuliza binti yangu
"Kwa muda tu na kila kitu kitakuwa sawa....."
"Lakini......."
"Naelewa kipenzi "
Nilimsogelea binti yangu na kupiga goti ili niweze kuzungumza nae vizuri
"Sijawai kukuficha kitu si ndio ? Kama nilivyokuambia jana basi ndo mambo yamekuwa hivyo ila nahaidi kuwa nitafanya kila kitu kiwe sawa nitatafuta kazi na kuhakikisha kuwa tunatoka kwenye hii nyumba, sasa hivi niko jobless na sina pakuanzia "
Binti yangu ni mtu ambaye ni muelewa sana na mara nyingi uwa naongea nae yaani kati ya mama yale na mimi mimi ndio nimekuwa rafiki yake kindaki ndaki
"Ila nina njaa sana sitaki kudanganya...."
Alizungumza hivyo nikaomba anisubili nilitoka nje lakini sikukuta ile bajaji wala mke wangu sikumkuta nilitoa simu na kumpigia lakini hakupokea zaidi niliingia mtaani na kumnunua mtoto wangu chipsi za elfu 1000 na maji ya mia 5 yaani HILL maji ambayo nayakubali sana kisha nikarudi nyumbani muda huo mfukoni nilibaki na sh. 1500 tu na sikuwa na pesa nyingine.
Siku hiyo mimi na mtoto wangu tulilala kwenye chumba kimoja tukiwa tumetandika nguo chini na hakukuwa hata na godoro, kutoka kwenye maisha ya luxury mpaka kwenye maisha ya chini.
Asubuhi na mapema kama kawaida niliamka na kumuandaa binti yangu yaani kumpangia madaftari, na kumfutia viatu vitu vingine vyote alikuwa akifanya mwenyewe kwani ni binti mkubwa tu ile tunatoka nje ili nimpeleke shuleni uso kwa uso na Martina (mke wangu) akiwa amekuja na gari nzuri ya kifahari pembeni alikuwa na mwanaume fulani hivi kajazia kifua kama nini, ni wazi alikuwa ni bodigad kwani nguo yake ya juu iliandikwa security nilibaki nikishangaa tu maana ile gari ilionekana kuwa mpya kabisa
"Ulikuwa wapi nimekutafuta sana lakini pia simu zangu haukupokea"
"Well, nimekuja kumchukua binti yangu, siwezi kumuacha akaishi kwenye dampo kama hili...."
"Like seriously??"
Nilimuuliza
"Sitanii, mumy njoo...."
Binti yangu akamsogelea mama yake
"Panda kwenye gari...."
"Tunaenda na baba...."
Alizungumza yaani huyu binti kila kitu ni mimi sawa mama yake alimzaa na kumnyonyesha ila mimi ndio nilikuwa mlezi wake aswaah lakini pia rafiki yake
"Okay panda twende...."
Alikubali mke wangu baada ua mwanangu kuomba sana niliingia ndani na kuchukua mabegi na safari ya kuondoka ikaanza.
ITAENDELEAMKE WA PILI
MTUNZI: PATRICIA ANTONY
SEHEMU YA: 02
WHATSAPP: 0676604830
KAWAIDA: 0783642467
SONGA NAYO.....
Safari ilianza na tulifika kwenye mtaa wa kishua sana sana jamani hata mwenyewe nilipapenda na kujikuta nikisema
"Waoooooh...."
"Naona umeanza kuwa king'ora sasa....."
Mke wangu alidakia kwa kunishushua, me sio mtu muongeaji mara nyingu uwa ni mkimya sana hivyo sikutaka malumbano zaidi nilikaa kimya
Gari ile iliingia kwenye nyumba nzuri sana ya kifahari, yenye kila sababu ya kuitwa hotel ndogo kiukweli inavutia sana sana nilibaki nikishangaa uku na uku garden nzuri, sehemu ya Parking iko poa yaani kiufupi ilikuwa nyumba kali sana.
"Mama tutakuwa tunaishi hapa ??"
Aliuliza Triner (binti yangu) uku akiwa anatabasamu tu
"Yes and this is my house that means ni nyumba yako pia....."
Mwanangu na Mama yake waliendelea kufurahia wenyewe kwa kukumbatiana pale mimi nilibaki nikiwa nashangaa tu
"Hadi mabegi pia nikuambie shusha....."
Aliniuliza mke wangu, sikujibu nilichofanya ni kuanza kushusha mabegi tu yaani nilimpa majibu ya vitendo
Tuliingia ndani na nyumba ilikuw kali sana
"Chumba chetu ni kipi na cha mtoto ni kipi ??"
"Chetu na nani ??, well chumba cha Triner ni... aaah twende baby nikuoneshe..."
Alizungumza mke wangu kisha wakapanda ngazi na kwenda juu nilibaki pale sebuleni nikishangaa tu baada ya muda alikuja
"Kwahiyo hadi nikuambie leta nguo za mtoto ??"
Nilivuta begi la binti yangu mpaka kwenye chumba cha juu alichokuwa ameandaliwa na mama yake na mwanangu alikuwa akimpenda sana barbie hivyo mama yake alikotengeneza vilivyo picha za barbie kama zote lakini pia rangi ya pink ilitawala
"And you nifuate....."
Alizungumza hivyo nikamfuta tulishuka ngazi mpka chini tukarudi sebuleni
"And chumba chako ni hiki karibu na jikoni "
"Unataka nilale jikoni ??"
Nilimuuliza
"Sijasema jikoni nimesema karibu najikoni lakini kwani kuna ubaya gani ? Kama umeweza lala kwenye dampo kule utashindwa lala hapa "
"Lakini mimi na wewe tunatakiwa kushare room "
"Utachagua kuingia umu au kutoka kabisa nje ya nyumba hii...."
Sikuwa na budi niliingia kwenye chumba iko ambacho kilikuwa na kitanda tu na meza moja na kochi la mtu mmoja hakikuwa kibaya, niliingia na kukaa kuna muda niliwaza nini kimempata mke wangu lakini kuna muda nilikuwa nasema ananipima uvumilivu wangu aone mimi ni mume aina gani au anataka nini ??
Nilikuwa na maswali mengi ambayo hayana majibu kabisa, majila ya usiku kama kawaida niliandaa chakula tukaka mezani na kuanza kula
"Eeeh Triner unaionaje nyumbani ya mama ??"
"Nzuri sana...."
Mke wangu alimuuliza mtoto wetu naye akajibu kwa haraka
"Nimenunua kwa pesa mingi sana, unajua mama yako nilikuwa nafanya kazi kwa malengo na leo malengo yametimia, angalia nyumba yetu angalia gari yetu, lakini pia nimekulipia school bus, watakuwa wanakufata hapa kila siku na kukurudisha "
"Thanks mumy...."
Muda wote huo nilikaa kimya tulipomaliza kula nilimwambia Triner akalale ili nipate muda wa kuongea na mama yake
"Unataka nini nawe nimekuwa na siku ndefu sana naitaji kupumzika..."
Alizungumza mke wangu baada tu ya mimi kumuomba tuzungumze
"Aaah niseme tu asante sana kwa kunileta nyumbani kwako na umefanya jambo jema sana kununua nyumba maana leo tungekuaa tunadhalilika "
"Unadhalilika na nani ??, Deo ungedhalilika wewe ila sio mimi"
Alidakia mke wangu na kwa mara ya kwanza aliniita kwa jina langu mara nyingi amekuwa akiniita mume au my love lakini leo hii ameniita kaa jina langu.
"Martina umebadilika sana..."
"Ebu nambie nimekuwa na rangi gani pink, blue au dawa nilikuwa mweusi najua na nimeanza kujichubua mda tuaka mitatu sasa wananiita Martina de white sasa sijui unaongea kuhusu nini "
"Tuachane na hayo, umpata wapi pesa za kufanya vyote hivi ??"
"Usiku mwema deo...."
Alizungumza mke wangu na kuondoka
Usiku ulikuwa mzito Sana kwangu nilibaki nikiwaza na kuwazua na kuwazua juu ya tabia mpya za mke wangu.
Siku iliyofuata asubuhi niliamka na kuandaa kifungua kinywa kwani kila kitu kilikuwako kwenye fliji hivyo haikuwa tatizo kwangu kwenye kuandaa kila kitu, Triner alijiandaa kwaajili ya kwenda shule na school bus alikuchelewa kuja kumchukua walimchukua muda muafaka kabisa
"Martina....."
Nilimuita mke wangu ambaye alikuwa anatoka akielekea kazini
"Unasemaje deo nimechelewa mno "
"Oooh ouk tutaongea baadae....."
Niliona nimuache aondoke tu, nilishinda siku nzima nyumbani nikiwa Sina cha kufanya yaani maisha ya kukaa tu nyumbani bila kufanya kitu yalionekana kuwa magumu Sana kwa upande wangu, nilijitaidi lakini yalishindikana.
Jilijitaidi kuapply kazi lakini pia sikufanikiwa kutokana na skendo kubwa ya wizi iliyozagaa kwaajili yangu
Ilikuwa siku ya jumamos ambapo mke wangu aliandaa party pale nyumbani hata sikuwa najua ni kwaajili ya nini lakini ndo hivyo mwenye nyumba aliamua hivyo sikuwa na kipingamizi
"Kule chooni una uhakika tishu umeweka ??"
Aliuliza mke wangu
"Kila kitu kiko Sawa....."
Marafiki zake walianza kuingia na wengi nilikuwa nikiwafahamu, kwanza mavazi waliyokuwa wamevaa sikupendezwa nayo kabisa kabisa, ukiangalia na vijana wa kiume walikuwa wameingia wengine nilikuwa nawajua ila hao wengine sikuwa nikiwajua kabisa
"Hey, tunaitaji ice hapa....."
Alizungumza kijana mdogo Sana yaani kwa kumuangalia nilikuwa nimempita miaka zaidi ya 5 muda huo alikuwa ananiagiza mimi na siku hiyo nilikuwa muhudumua kwani mke wangu alitaka iwe hivyo nimeamini sio kila mtu ataruhusu utumie chake kwa uhuru na hiki ndicho nakiona kwa mke wangu sasa.
ITAENDELEA
MTUNZI: PATRICIA ANTONY
SEHEMU YA: 01
WHATSAPP: 0676604830
KAWAIDA: 0783642467
ANZA NAYO.........
Siku ya ijuma ya tarehe 22/08...... ilikuwa siku ngumu sana na yenye machungu ndani yake baada ya kuamka tu na kukutana na taarifa mbaya kwenye mitandao ya kijamii ikinihusisha mimi Mr Deo na kampuni yangu niliyokuwa nafanya kulikuwa na upotevu wa pesa nyingi sana kwenye kampuni niliyokuwa nikifanya kazi kama muhasibu mkuu na shtuma zote ziliangukia kwangu nilistahili haya kwani cheki zote zilikuwa kwangu na sijui Nani aliweza kutoa pesa kwa kutumia Saini yangu.
Jambo lolilonishangaza kwanini nipostiwe mitandaoni kama mwizi tena nikitajwa kuwa mwizi kabisa mkubwa kabisa na sizani kama ni utaratibu wa kampuni kifanya hivyo, nilizima simu na kuoga ili kupeleka binti yangu shuleni lakini pia kwenda ofisini kwaajili ta kuzungumza na boss maana waannichafua kwa kitu ambacho sikahusika kabisa na mpaka muda huo kess ilikuwa ikiendelea kufanyiwa upelelezi.
SONGA NAYO...
Nilimaliza kujiandaa na kutaka kuondoka sasa
"Ni aibu kiasi gani mashoga zangu wote wananicheka na kunidharau kwaajili ya mambo yako "
Alizungumza mke wangu Martina akiwa amekaa kitandani
"Ndo utaamini kuwa hauna mashoga kipindi ambacho mambo yalikuwa sawa kila mtu alikuwa akikupenda lakini sasa hivi wanakubeza "
"Ila wewe ndo umesababisha kila kitu "
"Martina usiniambie kuwa unaamini kuwa nahusika na upotevu wa pesa hizo na kama nimehusika nimepeleka wapi hizo pesa mimi "
"Sasa unaniuliza mimi, nyie wanaume mnakuwaga na mambo ya hovyo sana usikute umeonga uko "
"Asubuhi yangu imeharibika nikafikili wewe ndio utakuwa wa kwanza kuniliwaza lakini ndio kwanza unanizidishia mawazo "
"Nitokee hapa "
Mke wangu alijiandaa na kuondoka kazini kwani na yeye pia ni muajiliwa, nilimpeleka binti yangu shuleni na kutaka kwenda kazini lakini nilipigiwa simu na kuambiwa kuwa naitajika nyumbani.
Niliwai nyumbani na kukuta mapolice lakini pia na boss wangu
"Sir....."
Nilizoea kumuita hivyo boss wangu
"Hakuna cha sir, kuanzia sasa na muda huu, haitatakiwa kitumia chochote kile kilichopo chini ya uangalizi wa kampuni namaanisha gari, nyumba na account zako za bank ambazo zimeshafungiwa mpaka pale upelelezi utakapotimia"
Alizungumza boss wangu ambaye alikuwa rafiki yangu sana lakini kwa muda huo hakujua kabisa kama mimi ni rafiki yake
"Lakini sir....."
"Nimemaliza una masaa 24 ya kutoka kwenye hii nyumba "
Alizungumza hivyo lisha akaondoka machozi yalinitoka mtoto wa kiume nilikaa chini kabisa na kwakuwa nilikuwa ndani kwangu nilianguka kabisa kile kilio cha sauti ya juu sikutaka kujikaza nililia mno.
Katika vitu ambavyo najutia katila maisha yangu ni kutokujenga au kununua nyumba au gari, gari na nyumba ya ofisi vilinifanya nione kuwa Nina kila kitu na siku hiyo ndio nilikuwa nadhalilika sasa.
Nilijiangalia mfukoni nilikuwa kama nina laki 2 na nusu tu ambayo sizani kama ingetosha chochote kile, binti yangu alikuwa akisoma shule ya kulipia, nilikuwa nikihusika na kila kitu.
Martina sawa alikuwa akifanya kazi lakini alikuwa ni mtu wa starehe hakuwai kutoa hata mia yake sio chakula wala kumfurahisha mtoto wake kila kitu alifanya kuwa ni jumumu langu, alitumia pesa zake na marafiki zake na sio familia yake na hii iliniumiza zaidi niliwaza kama anaweza akafanya kitu kwaajili ya mwanangu au mimi.
Majila ya jioni mwanangu na mke wangu walishawasili nyumbani walikuta nikiwa nimeshaandaa chakula cha jioni nilitenga mezani lakini mke wangu hakula alionekana kuwa na hasira Sana
"Kwaajili yako ofisi nzima naoneshewa vidole "
Alizungumza mke wangu muda huo nilikuwa nimekaa sebuleni nikimsaidia binti yangu ambaye alikuwa anafanya maswali ya hesabu ya kidato cha kwanza
"Tutaongea baadae acha nimsaidie mtoto kwanza "
"Unamsaidia kitu gani umemwambia mwanao kuwa hapa tumefukuzwa au ??"
Hapo binti yangu aliinuka na kuniangalia mimi na kumgeukia mama yake Kisha akauliza
"Tumefukuzwa wapi ??"
"Baba yako boga boga mwili mkubwa akili amna hii nyumba sio yake na hapa tumefukuzwa hana chochote "
Alifoka mke wangu alitoa maneno makali snaa ambayo mtoto hakustahili kuyasikia
"Kwahiyo baba tutaenda wapi ??"
Aliuliza Triner ambaye ni binti yangu
"Usijali nitafanya kitu "
Nilimshika mke wangu mkono na kumpeleka mpaka chumbani
Siku iliyofuata nilidamka asubuhi Sana na kumpeleka Triner shuleni kisha nikaingia mtaani kutafuta chumba, nilipata chumba cha kawaida kabisa ambapo kwa mwezi ilikuwa ni sh. Elfu 40 yaani kutoka kwenye maisha ya geti na kila kitu mpaka kwenye nyumba ya nje ambayo haikuwa hata na sakafu nzuri tandabui kila kona na hakuna hata singibodi lakini nililizika tu ili mimi.na familia yangu tupate pa kulala na kuamkia
Majila ya saa 10 jioni nilirudi nyumbani nilikuta nyumba ikiwa imeshafungwa na mabegi ya nguo yalikuwa nje yaani hawakusubili hata nifike nilikaa nje ya geti nikiwa na mizigo yangu nikisubili mke wangu na mtoto warudi
"Aibu gani hii "
Yaani mke wangu alikuwa na mdomo sana na ndio kwanza kafika
"Bajaji inakuja sasa hivi tunaenda nimepata chumba mahali ,"
"Chumba au nyumba.?"
Sikutaka kumjibu maaana aoni hata aibu ya kuongea na mimi kwa kunidharau lakini pia hakumuogopa mtoto.
Tulifika kwenye nyumba niliyopanga na mke wangu aligoma ata kushuka kwenye bajaji
"You can't be serious baby hii nayo ni nyumba ? Yaani me siwezi ingia umo ndani na kusema kwamba naishi sijui nafanyaje yaani umu analala mtu kweli ??"
Kiukweli sijui mke wangu alipatwa na nini hakuwai kua hivi miaka yote niliyomjua au kumfahamu kama mke wangu hakuwai kuwa na dharau wala kunijibu majibu ya hovyo, kitu ninachojua kuhusu Martina ni kwamba alikuwa mvivu sana sio kazi za ndani wala chochote, mara nyingi mimi ndio nilikuwa nikifanya usafi sana sana, muda mwingine tunasaidiana kwa mapenzi mazito tunainjoy lakini hii tabia ya sasa hivi ni mpya sikuwai kuiona kabla.
Nilishuka na kumchukua binti yangu tukaingia ndani lakini mke wangu hakuthubutu kuleta ata miguu yake
"Kwahiyo baba tutakuwa tunakaa umu ??"
Aliuliza binti yangu
"Kwa muda tu na kila kitu kitakuwa sawa....."
"Lakini......."
"Naelewa kipenzi "
Nilimsogelea binti yangu na kupiga goti ili niweze kuzungumza nae vizuri
"Sijawai kukuficha kitu si ndio ? Kama nilivyokuambia jana basi ndo mambo yamekuwa hivyo ila nahaidi kuwa nitafanya kila kitu kiwe sawa nitatafuta kazi na kuhakikisha kuwa tunatoka kwenye hii nyumba, sasa hivi niko jobless na sina pakuanzia "
Binti yangu ni mtu ambaye ni muelewa sana na mara nyingi uwa naongea nae yaani kati ya mama yale na mimi mimi ndio nimekuwa rafiki yake kindaki ndaki
"Ila nina njaa sana sitaki kudanganya...."
Alizungumza hivyo nikaomba anisubili nilitoka nje lakini sikukuta ile bajaji wala mke wangu sikumkuta nilitoa simu na kumpigia lakini hakupokea zaidi niliingia mtaani na kumnunua mtoto wangu chipsi za elfu 1000 na maji ya mia 5 yaani HILL maji ambayo nayakubali sana kisha nikarudi nyumbani muda huo mfukoni nilibaki na sh. 1500 tu na sikuwa na pesa nyingine.
Siku hiyo mimi na mtoto wangu tulilala kwenye chumba kimoja tukiwa tumetandika nguo chini na hakukuwa hata na godoro, kutoka kwenye maisha ya luxury mpaka kwenye maisha ya chini.
Asubuhi na mapema kama kawaida niliamka na kumuandaa binti yangu yaani kumpangia madaftari, na kumfutia viatu vitu vingine vyote alikuwa akifanya mwenyewe kwani ni binti mkubwa tu ile tunatoka nje ili nimpeleke shuleni uso kwa uso na Martina (mke wangu) akiwa amekuja na gari nzuri ya kifahari pembeni alikuwa na mwanaume fulani hivi kajazia kifua kama nini, ni wazi alikuwa ni bodigad kwani nguo yake ya juu iliandikwa security nilibaki nikishangaa tu maana ile gari ilionekana kuwa mpya kabisa
"Ulikuwa wapi nimekutafuta sana lakini pia simu zangu haukupokea"
"Well, nimekuja kumchukua binti yangu, siwezi kumuacha akaishi kwenye dampo kama hili...."
"Like seriously??"
Nilimuuliza
"Sitanii, mumy njoo...."
Binti yangu akamsogelea mama yake
"Panda kwenye gari...."
"Tunaenda na baba...."
Alizungumza yaani huyu binti kila kitu ni mimi sawa mama yake alimzaa na kumnyonyesha ila mimi ndio nilikuwa mlezi wake aswaah lakini pia rafiki yake
"Okay panda twende...."
Alikubali mke wangu baada ua mwanangu kuomba sana niliingia ndani na kuchukua mabegi na safari ya kuondoka ikaanza.
ITAENDELEAMKE WA PILI
MTUNZI: PATRICIA ANTONY
SEHEMU YA: 02
WHATSAPP: 0676604830
KAWAIDA: 0783642467
SONGA NAYO.....
Safari ilianza na tulifika kwenye mtaa wa kishua sana sana jamani hata mwenyewe nilipapenda na kujikuta nikisema
"Waoooooh...."
"Naona umeanza kuwa king'ora sasa....."
Mke wangu alidakia kwa kunishushua, me sio mtu muongeaji mara nyingu uwa ni mkimya sana hivyo sikutaka malumbano zaidi nilikaa kimya
Gari ile iliingia kwenye nyumba nzuri sana ya kifahari, yenye kila sababu ya kuitwa hotel ndogo kiukweli inavutia sana sana nilibaki nikishangaa uku na uku garden nzuri, sehemu ya Parking iko poa yaani kiufupi ilikuwa nyumba kali sana.
"Mama tutakuwa tunaishi hapa ??"
Aliuliza Triner (binti yangu) uku akiwa anatabasamu tu
"Yes and this is my house that means ni nyumba yako pia....."
Mwanangu na Mama yake waliendelea kufurahia wenyewe kwa kukumbatiana pale mimi nilibaki nikiwa nashangaa tu
"Hadi mabegi pia nikuambie shusha....."
Aliniuliza mke wangu, sikujibu nilichofanya ni kuanza kushusha mabegi tu yaani nilimpa majibu ya vitendo
Tuliingia ndani na nyumba ilikuw kali sana
"Chumba chetu ni kipi na cha mtoto ni kipi ??"
"Chetu na nani ??, well chumba cha Triner ni... aaah twende baby nikuoneshe..."
Alizungumza mke wangu kisha wakapanda ngazi na kwenda juu nilibaki pale sebuleni nikishangaa tu baada ya muda alikuja
"Kwahiyo hadi nikuambie leta nguo za mtoto ??"
Nilivuta begi la binti yangu mpaka kwenye chumba cha juu alichokuwa ameandaliwa na mama yake na mwanangu alikuwa akimpenda sana barbie hivyo mama yake alikotengeneza vilivyo picha za barbie kama zote lakini pia rangi ya pink ilitawala
"And you nifuate....."
Alizungumza hivyo nikamfuta tulishuka ngazi mpka chini tukarudi sebuleni
"And chumba chako ni hiki karibu na jikoni "
"Unataka nilale jikoni ??"
Nilimuuliza
"Sijasema jikoni nimesema karibu najikoni lakini kwani kuna ubaya gani ? Kama umeweza lala kwenye dampo kule utashindwa lala hapa "
"Lakini mimi na wewe tunatakiwa kushare room "
"Utachagua kuingia umu au kutoka kabisa nje ya nyumba hii...."
Sikuwa na budi niliingia kwenye chumba iko ambacho kilikuwa na kitanda tu na meza moja na kochi la mtu mmoja hakikuwa kibaya, niliingia na kukaa kuna muda niliwaza nini kimempata mke wangu lakini kuna muda nilikuwa nasema ananipima uvumilivu wangu aone mimi ni mume aina gani au anataka nini ??
Nilikuwa na maswali mengi ambayo hayana majibu kabisa, majila ya usiku kama kawaida niliandaa chakula tukaka mezani na kuanza kula
"Eeeh Triner unaionaje nyumbani ya mama ??"
"Nzuri sana...."
Mke wangu alimuuliza mtoto wetu naye akajibu kwa haraka
"Nimenunua kwa pesa mingi sana, unajua mama yako nilikuwa nafanya kazi kwa malengo na leo malengo yametimia, angalia nyumba yetu angalia gari yetu, lakini pia nimekulipia school bus, watakuwa wanakufata hapa kila siku na kukurudisha "
"Thanks mumy...."
Muda wote huo nilikaa kimya tulipomaliza kula nilimwambia Triner akalale ili nipate muda wa kuongea na mama yake
"Unataka nini nawe nimekuwa na siku ndefu sana naitaji kupumzika..."
Alizungumza mke wangu baada tu ya mimi kumuomba tuzungumze
"Aaah niseme tu asante sana kwa kunileta nyumbani kwako na umefanya jambo jema sana kununua nyumba maana leo tungekuaa tunadhalilika "
"Unadhalilika na nani ??, Deo ungedhalilika wewe ila sio mimi"
Alidakia mke wangu na kwa mara ya kwanza aliniita kwa jina langu mara nyingi amekuwa akiniita mume au my love lakini leo hii ameniita kaa jina langu.
"Martina umebadilika sana..."
"Ebu nambie nimekuwa na rangi gani pink, blue au dawa nilikuwa mweusi najua na nimeanza kujichubua mda tuaka mitatu sasa wananiita Martina de white sasa sijui unaongea kuhusu nini "
"Tuachane na hayo, umpata wapi pesa za kufanya vyote hivi ??"
"Usiku mwema deo...."
Alizungumza mke wangu na kuondoka
Usiku ulikuwa mzito Sana kwangu nilibaki nikiwaza na kuwazua na kuwazua juu ya tabia mpya za mke wangu.
Siku iliyofuata asubuhi niliamka na kuandaa kifungua kinywa kwani kila kitu kilikuwako kwenye fliji hivyo haikuwa tatizo kwangu kwenye kuandaa kila kitu, Triner alijiandaa kwaajili ya kwenda shule na school bus alikuchelewa kuja kumchukua walimchukua muda muafaka kabisa
"Martina....."
Nilimuita mke wangu ambaye alikuwa anatoka akielekea kazini
"Unasemaje deo nimechelewa mno "
"Oooh ouk tutaongea baadae....."
Niliona nimuache aondoke tu, nilishinda siku nzima nyumbani nikiwa Sina cha kufanya yaani maisha ya kukaa tu nyumbani bila kufanya kitu yalionekana kuwa magumu Sana kwa upande wangu, nilijitaidi lakini yalishindikana.
Jilijitaidi kuapply kazi lakini pia sikufanikiwa kutokana na skendo kubwa ya wizi iliyozagaa kwaajili yangu
Ilikuwa siku ya jumamos ambapo mke wangu aliandaa party pale nyumbani hata sikuwa najua ni kwaajili ya nini lakini ndo hivyo mwenye nyumba aliamua hivyo sikuwa na kipingamizi
"Kule chooni una uhakika tishu umeweka ??"
Aliuliza mke wangu
"Kila kitu kiko Sawa....."
Marafiki zake walianza kuingia na wengi nilikuwa nikiwafahamu, kwanza mavazi waliyokuwa wamevaa sikupendezwa nayo kabisa kabisa, ukiangalia na vijana wa kiume walikuwa wameingia wengine nilikuwa nawajua ila hao wengine sikuwa nikiwajua kabisa
"Hey, tunaitaji ice hapa....."
Alizungumza kijana mdogo Sana yaani kwa kumuangalia nilikuwa nimempita miaka zaidi ya 5 muda huo alikuwa ananiagiza mimi na siku hiyo nilikuwa muhudumua kwani mke wangu alitaka iwe hivyo nimeamini sio kila mtu ataruhusu utumie chake kwa uhuru na hiki ndicho nakiona kwa mke wangu sasa.
ITAENDELEA