DungaMawe
JF-Expert Member
- Jul 31, 2022
- 1,461
- 4,409
Kwa upande wangu kwa mwaka 2023 hizi ndio nimeona ndio ngoma kali kutoka kwa hawa wasanii wakubwa nchini.
Single again ya konde boy ilitoka mwanzoni mwa mwaka huu, na niseme hii ndio ngoma kali kutoka kwa konde aliyomkimbiza nayo mondi, kuanzia alivyo itoa yeye mwenyewe na alikuja kuua zaidi alivyotoa remix na ruger. Hakika apa ata mashabiki wa mond waliuelewa huu mziki wenye hazi ya nyota tano.
Kwa upande wa mondi kipindi harmonize akitamba yeye alikua anaimba mziki wa fujo na kupiga mapiano ya maudhui hata hayana mpangilio (yani kwa upande wangu mpaka kama nikaanza kumkataa) lakini tulipo kuja kufika robo ya mwisho wa mwaka mond akaachia kichupa cha overdose.
Niwe mkweli hapa mondi alitoa ngoma yenye hazi ya kimataifa na kwa mtazamo wangu kama atapata remix na msaa mambele hakika litakua bonge la hit.
Na kwa ngoma zote wanalia kuteswa na mapenzi. Kwa wadau wa mziki ni ipi unaona ni ngoma kali kwa mwaka 2023.
Single again ya konde boy ilitoka mwanzoni mwa mwaka huu, na niseme hii ndio ngoma kali kutoka kwa konde aliyomkimbiza nayo mondi, kuanzia alivyo itoa yeye mwenyewe na alikuja kuua zaidi alivyotoa remix na ruger. Hakika apa ata mashabiki wa mond waliuelewa huu mziki wenye hazi ya nyota tano.
Kwa upande wa mondi kipindi harmonize akitamba yeye alikua anaimba mziki wa fujo na kupiga mapiano ya maudhui hata hayana mpangilio (yani kwa upande wangu mpaka kama nikaanza kumkataa) lakini tulipo kuja kufika robo ya mwisho wa mwaka mond akaachia kichupa cha overdose.
Niwe mkweli hapa mondi alitoa ngoma yenye hazi ya kimataifa na kwa mtazamo wangu kama atapata remix na msaa mambele hakika litakua bonge la hit.
Na kwa ngoma zote wanalia kuteswa na mapenzi. Kwa wadau wa mziki ni ipi unaona ni ngoma kali kwa mwaka 2023.