Kuna pindi Tu inatokea wimbo Fulani ukaupenda Sana yaani unaweza Ku repeat hata mara 100 na usione shida hasa kwenye safari mfano kwenye bus umevaa zako earphones
Mimi kwa sasa.. nitaamini...
Mkasa : MKUKI KWA NGURUWE
Mwandishi: MSUYA M MSUYA (EMUTHREE)
Imeletwa kwenu na: BURE SERIES
SEHEMU YA 1
Ni kisa na mkasa, chenye mafunzo ndani yake, kinachotokana na ushauri wa kirafiki kati...
Chombezo………….BAO TATU ZA MGENI!
Umri…………………..18+
Sehemu ya 1
Ngurumo na radi vilitawala,huku wingu zito likitanda,ilikuwa ni dalili kuwa muda wowote mvua itanyesha,tena siyo ya rasharasha...
Kuzaliwa: 10 Aprili 2003 (Miaka 23)
Utaifa: Cameroonian
Urefu: 193Cm
Kwa sasa huyu dogo anatisha sana UFC. Wanamuogopa kama ukoma maana dogo ana "Ngumi Jiwe" haswa...
Naam huu wimbo ulikuwa unapigwa sana WAPO Radio Dar el Salaam Miaka ya 2013 na 2012 mwishoni...,,
Una mahadhi ya kama nyimbo za South vilee....
MANENO YAKE
Baba nipe Roho wako...
Nimefungua thread hii maalum kwa ajili wapenzi wa nyimbo za oldskool, miaka ya '90s kurudi nyuma. Unaruhusuwa kuomba wimbo wowote wa oldskool wa nje (sio bongo fleva), na tutaweka hapa. Hii ni...
Uzi huu nimeuanzisha kwa ajili ya kukumbushana misemo mbali mbali ambayo ilizuka na kupotea katika Generation mbalimbali ambazo tumepitia , mpaka leo hii
Lengo ni kucapture kumbukumbu ya baadhi...
Kwema wakuu.
NYIMBO ZENYE MIDUNDO ya huzuni huwa zina madhara gani?
Kuna kipindi fulani nilikuwa nazisikiliza sana, mtu akanambia achana na hizo nyimbo kwa usalama wako.
Nyimbo hizi zina madhara...
Today marks 8 years since Popular Uganda Muscian Mowzey Radio passed on.
But Eight years down the road, his music still sounds like newly released songs and even better than most popular artists...
HEKAYA ZA ABUNUWASI
KISA CHA ABUNUWASI NA MFALME
SIKU moja alfajiri, wakati wananchi wa mji wenye wakazi wengi walipokwenda kuchota maji mtoni, walishangazwa kuuona mkono wa mtu ukiwa katikati...
A man tried to kill a snake without realizing how large and dangerous it was. Situations like this can turn fatal within seconds.
Venomous and even non-venomous snakes can strike faster than...
Sioni kama ni vyema mashabiki zetu kuwa na chuki na sisi wasanii wenu,wasanii wa mataifa mengine wameendelea kwa sababu mashabiki wa Nchini kwao wanawasapoti kwa moyo mmoja"Amesema Jux
Baada ya kushindikana kwenye shule moja ya jeshi iliyo mkoani. Brother akanipa second chance nikahamia shule moja binafsi mjini Dar. Nililazimika kurudia form 3 maana mwaka uliopita nilisoma miezi...
GT
Hawa watu hawana dogo. Huko insta na tiktok hali si hali. Hawaongei kiswahili ni kisukuma tu mwanzo meisho.
Sijajua kama huko tiktok kuna kabila jingine lina contents creators wengi kama hawa...
Yaani bongo muvi ni ufuska mtupu umejaa tu pale hakuna kitu mule
Ni ajabu ya kiwango cha lami serikali kupiga marufuku media za ngono halafu ikaruhusu bongo movie iendelee
KABURI LA MSOMI.
Karibuni sana wapenzi wa simulizi, leo naitambulisha kwenu simulizi hii iitwayo KABURI LA MSOMI. Ndani ya simulizi hii utakutana na visa, mikasa na matukio ya maisha kwa ujumla...
Through this visual direction, XG continues its fascination with the unknown, reframing it through darker, submerged imagery that mirrors the song’s entrancing mood.
MP3 XG HYPNOTIZE...
Wakuu…
Mimi sio mpenzi sana wa haya matamthilia ya nyumbani. Ila hii Kombolela ni moto mwingine.
Nimejikuta naifatilia na kuipa muda. Mtunzi apewe maua yake. Wahusika wameua sana hasa Kobisi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.