Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Tha De-Plow-Matz (mara nyingi hufupishwa kwa: DPT) lilikuwa kundi la muziki wa hip hop lililotamba sana katika miaka ya tisini . NI Kundi linaundwa na Saigon (jina halisi Saleeh Mzee), Dolasoul...
0 Reactions
4 Replies
736 Views
ZAHARANI - MAISHA NA MASHAIRI. Verse..1. Hizi mbio sio za Baiskeri , Haiwezi kabiri Kasi/ Tahadhari usije Ukaferi , Mbuzi Amzindi Farasi/ Usiwambie Watu watakucheka/ 😄 🤣 "hahaha " Wengi...
1 Reactions
3 Replies
212 Views
JOE MAKINI - CHANGANYA LADHA. Namshukuru Mungu Leo Me Niko hapa , Number One Hip hop star sio Tu Raper/ The "Mcee" kwenye Em - cee , Wanakubali kwa hiyari sio kwamba Na force/ J.O.H M.K.A Ena...
0 Reactions
0 Replies
136 Views
Fif: 1: in da club 2: candy shop 3: p.i.m.p 4: i get money 5: ayo technology Tip: 1: whatever you like 2: dead n gone 3: live your life 4: swagger like us 5: no mediocre YUPI ANAMPIGA MWENZAKE...
3 Reactions
32 Replies
420 Views
Point ngapi unazo mdau...
2 Reactions
10 Replies
153 Views
Sijui ata nini kimewakuta hawa jamaa tokea COVID-19. Yaani tokea Avengers: Endgame ya 2019 kusema kweli sijaona movie kali tena. Movies zao baada ya Endgame: Movies: Spider-Man: Far From Home...
5 Reactions
52 Replies
2K Views
Alka Yagnik na Kumar Sanu ni waimbaji wawili maarufu wa India waliotawala muziki wa filamu za Kihindi (Bollywood) hasa katika miaka ya 1990 hadi 2000. Sauti zao zenye hisia na ushirikiano wao na...
1 Reactions
1 Replies
476 Views
Story ya movie ya The Dutchman (2025) kuna namna fulani km imenigusa. Jinsi ilivyoanzia mpaka ilivyoishia. Kuacha maelezo mengi km umeiangalia hii movie kuna kitu inasimulia kwa wale watu...
1 Reactions
4 Replies
184 Views
Kuanzia miaka yaa 1990 hadi 2010 ndio ulikuwa mwisho wa mziki mzuri, mziki mtamu, mziki ulioenda shule, mziki wenye burudani elimu na tafakuri, mziki unaotia hamasa ya kufanya kazi kwa bidii na...
3 Reactions
8 Replies
136 Views
Ni miaka mingi kama 15 iliyopita, mimi, dada zangu 2 na waume zao na kaka zangu 3 na wake zao,tulienda zanzibar kwa mwaliko wa rafiki wetu wa familia,ni mtu mkubwa serikalini hivyo siwezi kumtaja...
2 Reactions
7 Replies
172 Views
Kampuni ya Universal Music Group East Africa imetangaza rasmi ushirikiano wake na Mwimbaji Staa wa muziki wa Afrika Mashariki, Lady Jaydee ambaye anatambulika kama mmoja wa sauti zenye ushawishi...
0 Reactions
3 Replies
155 Views
Ni vizuri wale wana ojua chimbuko la muziku wakatupatia historia yake fupi. Pia naiona ni kama modern zouk hivi (zouk iliyochangamka) Kwa wale wasiojua style ya kompa kibongo bongo wasikie wimbo...
0 Reactions
3 Replies
868 Views
Kama wewe ni dj au mdau wa muziki.hapa unaweza kusikiliza na kudownload nyimbo zilizotengenezwa na madj. Yaan mixing au nonstop mix kutoka djs mbalimbali PIA UNAWEZA TEMBELEA CHANEL YANGU YA...
47 Reactions
1K Replies
124K Views
https://youtu.be/wcK3l4KHXY4?si=siBxITGpZlXWmDha Humu kuna Chid, Cannibal Kichwa Kibovu, Jones mwenyewe, Belle 9, Stamina na Jay More Nani amefunika wengine? Kwangu naona Cannibal kachana vibaya...
2 Reactions
8 Replies
198 Views
Ipi ina vibe unapoisikiliza hapo kitaa ulipo?
2 Reactions
4 Replies
81 Views
https://youtu.be/on0XIvFqJV4?si=_zK9Ex1gcfPCnxtQ Solo Thang kamchana vibaya vibaya Shangazi Kaja. Kafukua kila kona ya aliyofanya Shangazi Kaja. Huyu Shangazi ni nani?
2 Reactions
2 Replies
133 Views
Uganda’s Kikomeko Owen Rawlings has put on a historic performance, delivering an incredible 28 hours and 5 minutes of continuous beatboxing in Kampala. The performance has drawn widespread...
0 Reactions
0 Replies
111 Views
Video imegoma
2 Reactions
2 Replies
220 Views
Alhaji Taikuni Ally a.k.a mchizi Mox Mambo vipi..? Mambo vip..? Sharo Tina Tina Verse.. 1 "Watu wangu wa Bongo mambo Vip.? Poa..!! Watu wangu wa Ng'ambo mambo vipi..? Poa..!! Haina shobo...
2 Reactions
3 Replies
508 Views
Katika kinyang'anyiro kikali cha kuwania tuzo ya Muigizaji Bora wa Kiume (Best Actor), staa wa filamu ya Sinners, Michael B. Jordan, ameibuka kidedea kwenye Tuzo za 98 za Academy (Oscars)...
0 Reactions
1 Replies
210 Views
Back
Top Bottom