Tha De-Plow-Matz (mara nyingi hufupishwa kwa: DPT) lilikuwa kundi la muziki wa hip hop lililotamba sana katika miaka ya tisini .
NI Kundi linaundwa na Saigon (jina halisi Saleeh Mzee), Dolasoul...
JOE MAKINI - CHANGANYA LADHA.
Namshukuru Mungu Leo Me Niko hapa , Number One Hip hop star sio Tu Raper/
The "Mcee" kwenye Em - cee , Wanakubali kwa hiyari sio kwamba Na force/
J.O.H M.K.A Ena...
Fif:
1: in da club
2: candy shop
3: p.i.m.p
4: i get money
5: ayo technology
Tip:
1: whatever you like
2: dead n gone
3: live your life
4: swagger like us
5: no mediocre
YUPI ANAMPIGA MWENZAKE...
Sijui ata nini kimewakuta hawa jamaa tokea COVID-19. Yaani tokea Avengers: Endgame ya 2019 kusema kweli sijaona movie kali tena.
Movies zao baada ya Endgame:
Movies:
Spider-Man: Far From Home...
Alka Yagnik na Kumar Sanu ni waimbaji wawili maarufu wa India waliotawala muziki wa filamu za Kihindi (Bollywood) hasa katika miaka ya 1990 hadi 2000. Sauti zao zenye hisia na ushirikiano wao na...
Story ya movie ya The Dutchman (2025) kuna namna fulani km imenigusa. Jinsi ilivyoanzia mpaka ilivyoishia.
Kuacha maelezo mengi km umeiangalia hii movie kuna kitu inasimulia kwa wale watu...
Kuanzia miaka yaa 1990 hadi 2010 ndio ulikuwa mwisho wa mziki mzuri, mziki mtamu, mziki ulioenda shule, mziki wenye burudani elimu na tafakuri, mziki unaotia hamasa ya kufanya kazi kwa bidii na...
Ni miaka mingi kama 15 iliyopita, mimi, dada zangu 2 na waume zao na kaka zangu 3 na wake zao,tulienda zanzibar kwa mwaliko wa rafiki wetu wa familia,ni mtu mkubwa serikalini hivyo siwezi kumtaja...
Kampuni ya Universal Music Group East Africa imetangaza rasmi ushirikiano wake na Mwimbaji Staa wa muziki wa Afrika Mashariki, Lady Jaydee ambaye anatambulika kama mmoja wa sauti zenye ushawishi...
Ni vizuri wale wana ojua chimbuko la muziku wakatupatia historia yake fupi.
Pia naiona ni kama modern zouk hivi (zouk iliyochangamka)
Kwa wale wasiojua style ya kompa kibongo bongo wasikie wimbo...
Kama wewe ni dj au mdau wa muziki.hapa unaweza kusikiliza na kudownload nyimbo zilizotengenezwa na madj. Yaan mixing au nonstop mix kutoka djs mbalimbali
PIA UNAWEZA TEMBELEA CHANEL YANGU YA...
https://youtu.be/wcK3l4KHXY4?si=siBxITGpZlXWmDha
Humu kuna Chid, Cannibal Kichwa Kibovu, Jones mwenyewe, Belle 9, Stamina na Jay More
Nani amefunika wengine? Kwangu naona Cannibal kachana vibaya...
https://youtu.be/on0XIvFqJV4?si=_zK9Ex1gcfPCnxtQ
Solo Thang kamchana vibaya vibaya Shangazi Kaja. Kafukua kila kona ya aliyofanya Shangazi Kaja.
Huyu Shangazi ni nani?
Uganda’s Kikomeko Owen Rawlings has put on a historic performance, delivering an incredible 28 hours and 5 minutes of continuous beatboxing in Kampala. The performance has drawn widespread...
Alhaji Taikuni Ally a.k.a mchizi Mox
Mambo vipi..?
Mambo vip..?
Sharo Tina Tina
Verse.. 1
"Watu wangu wa Bongo mambo Vip.?
Poa..!!
Watu wangu wa Ng'ambo mambo vipi..?
Poa..!!
Haina shobo...
Katika kinyang'anyiro kikali cha kuwania tuzo ya Muigizaji Bora wa Kiume (Best Actor), staa wa filamu ya Sinners, Michael B. Jordan, ameibuka kidedea kwenye Tuzo za 98 za Academy (Oscars)...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.