Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Wakuu Baada ya kuangalia perfomance ya The Mother na Malkia wa Majukwaa ya Kombe la Dunia 'Shakira', The African Giant 'Burna Boy', Tyla kwenye ufunguzi wa michuano hiyo mikubwa ulimwenguni...
1 Reactions
6 Replies
264 Views
MAHABA YASIYOKOMA. Mimi binafsi huwa ni mpenzi wa tungo mbalimbali za sanaa ya kiswahili. Tangu utotoni, nimekuwa nikipendelea sana kusoma vitabu na machapisho mbalimbali yaliyoletwa nyumbani...
0 Reactions
1 Replies
141 Views
SEASON 1 SEHEMU YA KWANZA MTUNZI : PATRICK.CK Ni saa sita za usiku sasa bado jaji Elibariki chukuswa yuko sebuleni akiendelea kupitia kitabu chake cha sheria .Katika meza ndogo kulikuwa na vitabu...
86 Reactions
4K Replies
3M Views
Wakuu habari zenu, natumai mko poa. Nimekuwa mpenzi wa vitabu kwa muda mrefu, pia nimewahi kusoma vitabu vingi, ila niseme tu hichi kitabu sikuwahi kukimaliza nadhani wakati kinatoka sikuwa...
1 Reactions
49 Replies
10K Views
Habari wakuu, Leo naomba tuelezane diss track ambayo unaikubali kutoka kwa wasanii wetu wa Tanzania kutoka katika aina yoyote ya mziki kuanzia bongo fleva, taarabu, zouk, hip hop, dansi, singeli...
12 Reactions
177 Replies
35K Views
Filamu ya kutisha Ya Sinister imeongoza katika orodha ya filamu za kutisha Kwa Mujibu wa utafiti wa kisayansi. Katika nafasi ya pili ni The Ring, ikifuatiwa na Skinamarink. Katika List hii...
2 Reactions
6 Replies
231 Views
]https://youtu.be/2RwbfaJVfTk?si=BITVvSXrnCXZF6hN
0 Reactions
6 Replies
120 Views
SURA YA KWANZA ASUBUHI YA HEKA HEKA Utangulizi. Richard Dawson, mrakibu mwandamizi wa jeshi la polisikanda maalum ya Dar es salaam, miaka mitano tu tangu ajiungena jeshi hilo, lenye jukumu la...
1 Reactions
111 Replies
32K Views
East Africa Radio Tatizo ni nini, mnakwama wapi? Na Mwl Sylvester, George Wambura (PG) East Africa Radio, ikiwa ni miongoni mwa stesheni ya Radio iliyopata kuwa na watangazaji wenye vipaji pamoja...
6 Reactions
17 Replies
5K Views
Nimeachia wimbo mpya unaomzungumzia Tundu Lissu kwa style ya kipekee. Nimeuweka kwenye website yangu mpya ya http://sosybrown.vercel.app Ukisign up utaweza kuusikiliza pamoja na kuona project...
3 Reactions
5 Replies
173 Views
Mpendwa msomaji. Kama ulisoma mkasa[emoji116] (Nilivyo Okoa Maisha Ya Watalii toka Finland). Huu ni mkasa kamili wa kisa kile. Nilielezea visa vichache kwa ufupi, lengo lilikuw kuonyesha msaada...
38 Reactions
3K Replies
283K Views
Unajua nlikuwa naskiliza huu wimbo kwa machale sana, nikijisemea mhhh sasa anataka kusema nini? Manake huyu naye Kwa kuropoka tu hajambo. Ina maana atamtaja aliyemuua Nyerere ambaye watu wengi...
3 Reactions
39 Replies
6K Views
1. Franco luambo makiadi 2. Tabu Ley Rochereau 3. Papa wemba 4. Pepe kale List hii ni ya OG wa rhumba, wakina fally wanaimba Rhumba ya kimarekan
5 Reactions
139 Replies
4K Views
Unapenda wimbo gani? Karibu tushare na kuburudika pamoja. NB: Wimbo wowote uupendao iwe Gospel, Hip-hop, Rnb, Trap songs, Slow jam, Jazz, Bongo fleva etc etc. KARIBUNI[emoji4] jakitoo
18 Reactions
873 Replies
49K Views
Kwa yoyote anayekutana na Miziki ya Sebene na Rhumba (ya zamani na mipya) awe anatuwekea hapa ili Wadau Wengine tujue na tuifuatilie na hata tuwe nayo? Kama kuna Kitu GENTAMYCINE nakipenda na...
4 Reactions
14 Replies
2K Views
Umaarufu na kupendwa sana kwa muziki wa Congo(DRC) imetokana na nini wakati hata raia wa nchi hii hasa wapenzi wa huo muziki hata hawajui lugha za Kifaransa, Kikongo au Kilingala? Amapiano japo...
1 Reactions
14 Replies
965 Views
WIMBO: Dunia Iliyochanganyikiwa (yaani: Crazy World) MTUNZI: Lucky dube 1. Hadi sasa, mambo yapo vizuri, Kwa kuwa bado tunaishi, Lakini hatujui kesho italeta nini, Katika dunia hii...
0 Reactions
0 Replies
99 Views
https://www.youtube.com/watch?v=91T84O89JeA “Neema Yako” ni wimbo wa injili uliotolewa na mwimbaji wa nyimbo za Injili, Anna Maboya akimshirikisha Upendo Nkone. Wimbo huo umeachiwa kwenye Mtandao...
1 Reactions
2 Replies
143 Views
Uzi huu utakuwa mahususi kwa ajili ya kutuma simulizi hizi mbili kwa wapenzi wasomaji wangu. Simulizi hizo nazo ni: ANGA LA WASHENZI na JOANA ANAONA KITU USIKU mpaka vikomo vyake. Karibu tufurahie.
31 Reactions
4K Replies
1M Views
Mwana FA ft Jaydee - Hawajui Mlimbwende - One The Oncredible Fid Q ft Christan Bella - Roho Izo Busness ft Shaa - Kidawa Chande ft Diamond - Nashindwa Prof J ft H Blasters ( Big Will & Fanani...
4 Reactions
273 Replies
29K Views
Back
Top Bottom