Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Alimgeuka business partner wake wa muda mrefu dame dash na akahakikisha anafirisika ili asiwe tena mshindani wake. Alianza kudate na beyonce tangu akiwa na miaka na 16, alidate na aliyah akiwa na...
5 Reactions
56 Replies
909 Views
Msanii wa muziki wa Bongo Flava, Rayvanny, amezungumzia umuhimu wa wasanii wa Tanzania kushiriki katika majukwaa makubwa ya kimataifa, akieleza kuwa hatua hiyo inachangia kukuza tasnia ya muziki...
0 Reactions
1 Replies
247 Views
Leo tuusikilize na kuujadili wimbo KIPEPEO https://www.youtube.com/watch?v=lUyLae6jWLY&list=RDlUyLae6jWLY&start_radio=1 Sikumoja itafika, nitafanikiwa mafikara na mawazo siku hiyo yatakwisha...
2 Reactions
3 Replies
104 Views
Nimekutana na huu wimbo umenikumbusha mbali sana, wote wenye mapenzi na mama zao sikilizeni huu wimbo. sauti nzuri za Kyanga Songa na Kasaloo Kyanga wa Tancut Almasi wimbo Mama, pata...
0 Reactions
54 Replies
21K Views
Leo Mei 28, 2026 tunakumbuka miaka 13 tangu tasnia ya muziki wa Tanzania ilipopoteza kipaji cha kipekee—Albert Mangwair, msanii aliyekuwa na sauti ya kipekee na ubunifu uliovuka mipaka ya kawaida...
6 Reactions
13 Replies
297 Views
Je, kuna wapenzi wa mixed martial arts humu?
1 Reactions
37 Replies
3K Views
Wakuu samahani Kuna wimbo WA Rhumba wa "Franco Luomba unaitwa Eli Kazho" Mwenye audio au video yake au anayeweza kunisaidia jinsi ya kuupata naomba msaada tafadhali maana nimetafuta sehemu...
3 Reactions
23 Replies
314 Views
Riwaya. Mtunzi: Roisa. Number: 0694840213. Sehemu ya 2. Nikakumbuka wimbo wa lady jaydee na professor Jay ulitamba kipindi hicho unaitwa Bongo dar es Salaam. Ama kweli nilijionea ndani ya...
2 Reactions
2 Replies
1K Views
Civilian-Coin introduces new production branch, "C-C Digital Pro", is a comprehensive digital media agency. They specialize in high-quality motion graphics for video, still picture production, and...
1 Reactions
2 Replies
118 Views
Wakuu Baada ya kuangalia perfomance ya The Mother na Malkia wa Majukwaa ya Kombe la Dunia 'Shakira', The African Giant 'Burna Boy', Tyla kwenye ufunguzi wa michuano hiyo mikubwa ulimwenguni...
1 Reactions
6 Replies
264 Views
MAHABA YASIYOKOMA. Mimi binafsi huwa ni mpenzi wa tungo mbalimbali za sanaa ya kiswahili. Tangu utotoni, nimekuwa nikipendelea sana kusoma vitabu na machapisho mbalimbali yaliyoletwa nyumbani...
0 Reactions
1 Replies
141 Views
SEASON 1 SEHEMU YA KWANZA MTUNZI : PATRICK.CK Ni saa sita za usiku sasa bado jaji Elibariki chukuswa yuko sebuleni akiendelea kupitia kitabu chake cha sheria .Katika meza ndogo kulikuwa na vitabu...
86 Reactions
4K Replies
3M Views
Wakuu habari zenu, natumai mko poa. Nimekuwa mpenzi wa vitabu kwa muda mrefu, pia nimewahi kusoma vitabu vingi, ila niseme tu hichi kitabu sikuwahi kukimaliza nadhani wakati kinatoka sikuwa...
1 Reactions
49 Replies
10K Views
Habari wakuu, Leo naomba tuelezane diss track ambayo unaikubali kutoka kwa wasanii wetu wa Tanzania kutoka katika aina yoyote ya mziki kuanzia bongo fleva, taarabu, zouk, hip hop, dansi, singeli...
12 Reactions
177 Replies
35K Views
Filamu ya kutisha Ya Sinister imeongoza katika orodha ya filamu za kutisha Kwa Mujibu wa utafiti wa kisayansi. Katika nafasi ya pili ni The Ring, ikifuatiwa na Skinamarink. Katika List hii...
2 Reactions
6 Replies
231 Views
]https://youtu.be/2RwbfaJVfTk?si=BITVvSXrnCXZF6hN
0 Reactions
6 Replies
120 Views
SURA YA KWANZA ASUBUHI YA HEKA HEKA Utangulizi. Richard Dawson, mrakibu mwandamizi wa jeshi la polisikanda maalum ya Dar es salaam, miaka mitano tu tangu ajiungena jeshi hilo, lenye jukumu la...
1 Reactions
111 Replies
32K Views
East Africa Radio Tatizo ni nini, mnakwama wapi? Na Mwl Sylvester, George Wambura (PG) East Africa Radio, ikiwa ni miongoni mwa stesheni ya Radio iliyopata kuwa na watangazaji wenye vipaji pamoja...
6 Reactions
17 Replies
5K Views
Nimeachia wimbo mpya unaomzungumzia Tundu Lissu kwa style ya kipekee. Nimeuweka kwenye website yangu mpya ya http://sosybrown.vercel.app Ukisign up utaweza kuusikiliza pamoja na kuona project...
3 Reactions
5 Replies
173 Views
Mpendwa msomaji. Kama ulisoma mkasa[emoji116] (Nilivyo Okoa Maisha Ya Watalii toka Finland). Huu ni mkasa kamili wa kisa kile. Nilielezea visa vichache kwa ufupi, lengo lilikuw kuonyesha msaada...
38 Reactions
3K Replies
283K Views
Back
Top Bottom