Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Naona kwenye mitandao inasemekana kwamba tanzania kuna wasanii wanaofanya bongo movie wakitajwa utakuta kina ray kigosi, Steve Nyerere, Toni Muya, Niva super Marioo, Pastor Muyamba n.k lakini...
1 Reactions
8 Replies
188 Views
Call it love and devotion Call it the mom's adoration (foundation) A special bond of creation, hah For all the single moms out there Going through frustration Clean Bandit, Sean-Da-Paul...
4 Reactions
6 Replies
206 Views
Movie ya Michael inakuja 2026. Teaser ishatoka. Lions Gate wanasimamia show. Kama haitoshi, Jaafar Jackson ataigiza kama Michael himself.
1 Reactions
8 Replies
351 Views
Kama fan mkubwa sana wa movies, sometimes inabidi kuangalia genre nyingine out of my favorite genres Napenda action na horror ila sometimes naangalia genre nyingine na ninaenjoy just fine Kuna...
7 Reactions
32 Replies
674 Views
this song is Goated 10/10 aliyeutunga Mungu abariki kalumu yake alete tena kitu kama hiki ... na huyu jamaa wa kuitwa Tikiti kaumix vizuri sana aisee wimbo gani unakubariki siku hii ambayo bwana...
3 Reactions
16 Replies
212 Views
Chiku alikuwa aenda hotelini jioni waonane ili Afande ampe zawadi kutoka kwashangazi yake Bongo.Chumbani kwa Akande Manyota Hotelini. Afande Manyota anamngojea Chiku kwa hamu. Chiku anabisha hodi...
2 Reactions
10 Replies
381 Views
Ningependa kujua ilipo bendi moja ya mchiriku ambayo ili-modernize muziki wa mchiriku (kwa kuweka vinanda na magitaa) mwanzoni mwa miaka ya 1990 ambayo iliitwa Hisani Musical Club ambyo ilitoa...
6 Reactions
220 Replies
56K Views
  • Poll Poll
Ni wazi kwa sasa hawa ndo underground hiphop artists ambao kwenye upande wa mitindo huru ni wa moto sana Tuone odds unampa nani ikitoka kweli pesa ikawekwa mezani Yededede vs kadkitengo vs...
0 Reactions
0 Replies
61 Views
Nilishawahi kumuuliza mama swali, asubuhi moja kupindi bado mdogo, alikuwa anakanda unga wa ngano kwa ajili ya biashara yake ya chapati, muda mfupi kabla sijaenda shule. Swali lilikuwa kuhusu...
0 Reactions
0 Replies
359 Views
Salam, Huu mnanda marehemu Lupozi bwana katuachia moja kati ya sanaa/ngoma isiyochuja sababu inazungumzia hali halisi ya miaka yote katika nchi hii kutoka kwa watu wenye vipato duni. "Maharage...
0 Reactions
1 Replies
121 Views
Wakuu nimeirudia tena series ya Prison Break. Kwenye season 2 anaibuka Special Agent wa FBI, Alexander Mahone kusaidia zoezi la kuwakamata wafungwa 8 waliotoroka gereza la Fox River. Jamaa...
13 Reactions
78 Replies
3K Views
Maisha magumu nimeona niingie kwenye game la Music. Kionjo cha wimbo wangu hapa, mnipe rate kati ya 1 hadi 5! Nimemshirikisha ndugu yetu mpendwa Google Gemini 😆
17 Reactions
30 Replies
915 Views
Habari wadau. Nilikuwa natumia hii moviebox ..... Sasa naona hakuna option ya kufownload yaani ni shida. Msaada tafadhali app nzuri... Isiyotumia torrents.... Asante.
0 Reactions
0 Replies
140 Views
Mwandishi: Murrah. Inapopatikana: Kahawa Time application ya simulizi inapatikana playstore kwa watumiaji wa android na app store kwa watumiaji wote wa (Iphone) Hii Hadithi imekamilika tayari...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Ndugu wanajamii, Leo nimekuja na mada inayoweza kuzua mjadala lakini yenye umuhimu mkubwa katika historia ya muziki wetu wa Rumba kutoka Kongo. Tunapozungumzia Rumba, mara nyingi tunawaona...
3 Reactions
13 Replies
1K Views
Iwe dark humour, iwe action comedy, Iwe comedy drama, we angusha.
2 Reactions
36 Replies
549 Views
Wakuu nimetazama hii series mwanzo mwisho kupitia simu yangu. Ukiona Hilo jina utasema inahusu wanyama labda, Kwa kweli ni series nzuri Sana inayo husu madawa ya kulevya mitifuano ya kufa mtu...
2 Reactions
44 Replies
3K Views
Kwenye swala la muziki ,wera namuelewa sana toka bcbg kitambo tu. Wera yuko vizuri sana kwenye utunzi, pilika za jukwaani hawezi, nakumbuka bcbg adolph domingez na Emilia walikua wanamtoa...
1 Reactions
5 Replies
785 Views
Kuna Bileku mpasi Tutu Caludji, Obrigado, Kerosene Chameleone Amigos Adios Vwala, Hapa kwetu kuna Kitokololo Sauti ya Simba, Mau santiago toto ze bingwa,Nguza jr, ni Diouf tu na Banza na kalala...
0 Reactions
2 Replies
79 Views
Back
Top Bottom