Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Nyimbo hii inanikosha mashairi yake yana kwenda kama hivi "Tulikuwa na Salum mpaka kaenda Ahera wala hatukutukanana, Aah, alipoingia yeye aliyoleta si miziki bali ni matusi, Mji wa Morogoro...
0 Reactions
2 Replies
525 Views
Unajua fika nimefunga naye pingu,, vipi uitamani mvua tena bila wingu// Maskani ukiunga ukiunga nakusapoti sana,, na sikikakati kiganja coz wee ni mwana// Nyanyuka kwanza uvae boksa,, siwezi...
1 Reactions
2 Replies
166 Views
HARD BLASTERS CREW FT. LB GENIUS ( TUKO NYUMA) Chorus. Tuko nyuma kimaendeleo Sababu ya Rushwa , ubadhilifu na upendeleo Tuko nyuma Tuko nyuma Tu na kichocheo Mambo ni ovyo hatuna Dira...
1 Reactions
3 Replies
139 Views
Wakuu ifuatayo ni orodha ya ma rappers wa kike bora kuwahi kutokea walioendesha mapambano ya mziki wetu huu Nick minaj Miss Elliott Lil Kim Queen Latifah Lauryn hill Hamna ubishi hapa...
1 Reactions
18 Replies
704 Views
Mpendwa msomaji. Kama ulisoma mkasa[emoji116] (Nilivyo Okoa Maisha Ya Watalii toka Finland). Huu ni mkasa kamili wa kisa kile. Nilielezea visa vichache kwa ufupi, lengo lilikuw kuonyesha msaada...
38 Reactions
3K Replies
273K Views
Naombeni muongozo wa namna ya kuwa monetized youtube kwa kupost na kucreate content ,nahitaji muongozo kidogo
0 Reactions
2 Replies
131 Views
  • Poll Poll
⚔️ TRAVIS MATUPA — MBEBA MWENGE WA MWISHO --- 🌑 Asili yake Travis Matupa hakuzaliwa kama shujaa. Alizaliwa katika kijiji kidogo kilichokuwa kandokando ya Msitu wa Nyota. Tangu akiwa mtoto...
0 Reactions
0 Replies
149 Views
Katika pita pita zangu huko jamii ya watu wa Facebook nimekutana na hii comment kutoka katika Page rasmi ya MASTER JAY
0 Reactions
1 Replies
100 Views
Wadau hamjamboni nyote? Niwe muwazi mimi ni muumini wa Kanisa la Waadvetista wasabato ila napenda sana kusiliza nyimbo za kwaya za Kanisa Katoliki Hivyo siku ya leo kwa heshima kubwa naomba...
2 Reactions
8 Replies
2K Views
Madrassa Vingunguti - Yatima Albayana Nur Fauqa Ya Nour Kiumbe Acha Ubaya Kuna Qasida ilikua inatumika kama Soundtrack (Background) ya Kipindi cha Safina , Radio Sauti ya Quran miaka ya 2009-2010 hivi
0 Reactions
9 Replies
127 Views
STORY: JUMBA JEUSI MWANDISHI: FEBIANI BABUYA Storyteller: Bux the story teller WhatsApp: 0621567672 Email: thomasibabuya@gmail.com AGE: 18+ UTANGULIZI..... EPISODE 1. BANZOKA Pembezoni mwa...
3 Reactions
73 Replies
14K Views
Kwenye pita pita zangu mtandaoni, Mjanja M1 nikakutana na post hii kutoka kwa 50 cent akiipigia chapuo Movie aliyoigiza na Mel Gibson. Mjanja M1 nikawasha Smart Tv yangu na kui-play online...
2 Reactions
54 Replies
1K Views
Mimi kama mpenzi wa movie huwa sichagui genre. Naangalia zote kuanzia Action, Romance, Horror, Thriller, Drama za aina zote hadi za High School. Huwa naangalia movie za USA (Hollywood) na za...
3 Reactions
32 Replies
563 Views
Afichaye dhambi zake
0 Reactions
1 Replies
155 Views
Mpo salama! Huyu jamaa kwa mara ya Kwanza niliangalia picha yake ya Kwanza Miaka ya 2009/2010 huko katika Series Moja iitwayi IRIS. Hapo ndio mwanzo wa kuzipenda na kuanza kufuatilia baadhi ya...
7 Reactions
32 Replies
2K Views
Nilienjoy hii movie. Icheki. Sema zile shaba zilikuwa zinatrigger PTSD.
4 Reactions
1 Replies
173 Views
R. Kelly anachunguzwa na mamlaka za shirikisho baada ya nambari ya simu ya mkuu wa gereza aliyestaafu kupatikana katika daftari lake katika gereza la North Carolina. Mwimbaji huyo wa R&B...
2 Reactions
3 Replies
262 Views
Tafadhali sana: 1. Bad Bakule akiwa na TamTam wimbo unaitwa Chande( kazi hutaki kufanyabkwa vile kaka ana mali.) 2. Mpende akupendaye - TOT plus
2 Reactions
8 Replies
193 Views
ni kawimbo kazuri naomba jina na mtuunzi A
0 Reactions
13 Replies
327 Views
MAKABURI YA WASIO NA HATIA (GRAVES OF THE INNOCENTS)- 1 JINA langu naitwa Togolai Mahimba, ni mtoto wa mwisho kati ya watoto saba wa baba yetu, Sinai Mahimba ambaye kwa sasa ni marehemu. Baba...
16 Reactions
314 Replies
94K Views
Back
Top Bottom