this song is Goated 10/10
aliyeutunga Mungu abariki kalumu yake alete tena kitu kama hiki ...
na huyu jamaa wa kuitwa Tikiti kaumix vizuri sana aisee
wimbo gani unakubariki siku hii ambayo bwana...
Chiku alikuwa aenda hotelini jioni waonane ili Afande ampe zawadi kutoka kwashangazi yake Bongo.Chumbani kwa Akande Manyota Hotelini. Afande Manyota anamngojea Chiku kwa hamu. Chiku anabisha hodi...
Ningependa kujua ilipo bendi moja ya mchiriku ambayo ili-modernize muziki wa mchiriku (kwa kuweka vinanda na magitaa) mwanzoni mwa miaka ya 1990 ambayo iliitwa Hisani Musical Club ambyo ilitoa...
Ni wazi kwa sasa hawa ndo underground hiphop artists ambao kwenye upande wa mitindo huru ni wa moto sana
Tuone odds unampa nani ikitoka kweli pesa ikawekwa mezani
Yededede vs kadkitengo vs...
Nilishawahi kumuuliza mama swali, asubuhi moja kupindi bado mdogo, alikuwa anakanda unga wa ngano kwa ajili ya biashara yake ya chapati, muda mfupi kabla sijaenda shule.
Swali lilikuwa kuhusu...
Salam,
Huu mnanda marehemu Lupozi bwana katuachia moja kati ya sanaa/ngoma isiyochuja sababu inazungumzia hali halisi ya miaka yote katika nchi hii kutoka kwa watu wenye vipato duni.
"Maharage...
Wakuu nimeirudia tena series ya Prison Break.
Kwenye season 2 anaibuka Special Agent wa FBI, Alexander Mahone kusaidia zoezi la kuwakamata wafungwa 8 waliotoroka gereza la Fox River.
Jamaa...
Maisha magumu nimeona niingie kwenye game la Music. Kionjo cha wimbo wangu hapa, mnipe rate kati ya 1 hadi 5!
Nimemshirikisha ndugu yetu mpendwa Google Gemini 😆
Habari wadau. Nilikuwa natumia hii moviebox ..... Sasa naona hakuna option ya kufownload yaani ni shida. Msaada tafadhali app nzuri... Isiyotumia torrents.... Asante.
Mwandishi: Murrah.
Inapopatikana: Kahawa Time application ya simulizi inapatikana playstore kwa watumiaji wa android na app store kwa watumiaji wote wa (Iphone)
Hii Hadithi imekamilika tayari...
Ndugu wanajamii,
Leo nimekuja na mada inayoweza kuzua mjadala lakini yenye umuhimu mkubwa katika historia ya muziki wetu wa Rumba kutoka Kongo. Tunapozungumzia Rumba, mara nyingi tunawaona...
Wakuu nimetazama hii series mwanzo mwisho kupitia simu yangu. Ukiona Hilo jina utasema inahusu wanyama labda,
Kwa kweli ni series nzuri Sana inayo husu madawa ya kulevya mitifuano ya kufa mtu...
Kwenye swala la muziki ,wera namuelewa sana toka bcbg kitambo tu.
Wera yuko vizuri sana kwenye utunzi, pilika za jukwaani hawezi, nakumbuka bcbg adolph domingez na Emilia walikua wanamtoa...
Kuna Bileku mpasi
Tutu Caludji,
Obrigado,
Kerosene
Chameleone
Amigos Adios
Vwala,
Hapa kwetu kuna Kitokololo Sauti ya Simba,
Mau santiago
toto ze bingwa,Nguza jr, ni Diouf tu na Banza na kalala...
Usiku ulikuwa mzito kuliko kawaida. Mvua ilinyesha polepole kana kwamba anga linafikiria kabla ya kuangusha kila tone. Kijana mmoja aitwaye Baraka alisimama dirishani akitazama taa za mbali za...
As a music lover, I believe I could name you many. What comes to my mind now & as an answer to your precise question is:
“I belong to you”, by Jacob Lee.
Enjoy!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.