Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Kuna series moja nzuri sana ambayo sasa ndio inashika vichwa vya habari duniani kote na hii series inaitwa Tom Clancy's Jack Ryan. Mfululizo wa Tom Clancy’s Jack Ryan unamuhusu mwamba mmoja wa...
2 Reactions
8 Replies
513 Views
Wapenzi wa kuangalia action movies na Blockbuster movies karibuni tuweke maoni yetu. Tuambie nani unamkubali sana uingizaji wake au uhusika wake kwenye movie zilizo fanya vizuri sana. Hapo chini...
2 Reactions
24 Replies
398 Views
NINI SIRI YA NAFSI ZILIZO TELEKEZWA? Inahusu nini, inamhusu nani, kipi kipo nyuma yake? Ungana nami kwenye mtiririko huu uweze kuelewa NAFSI ZILIZO TELEKEZWA inahusu nini. Mwaka 1991, ni mwaka...
6 Reactions
253 Replies
62K Views
Lyrics Siku ya kwanza kukutana naye alikuja kwetu usiku, alikuta nimechoka nimetoka ku record usiku, walikua kama wanne hivi ndani ya gari aina ya chaser, wamejaa hangover utazani jana yake...
3 Reactions
7 Replies
926 Views
UPEPO WA USIKU-1 BONIFACE BIRAGE Upepo upima mti nguvu na kuuona uhodari wake katika kujishikilia udongoni kwa kuimrisha mizizi iliyojikita.Ndiyo falsafa ya maisha na mikumbo yake hujikita katika...
2 Reactions
66 Replies
27K Views
We Bury The Dead (2025) movie A catastrophic event happens to Tasmania and they send volunteers there to help find and bury the dead. Problem is that same event has somehow made some of the...
0 Reactions
0 Replies
159 Views
Netflix ni propaganda ya mlengwa wa kushoto wa kuigeuza dunia katika suicidal empathy juu ya upinde, kama uongo kagua shows mule ndio utaamini
6 Reactions
17 Replies
310 Views
Uenda maendeleo ya teknolojia, uwingi wa Smartphones, Online media, Podcasts kwa namna moja ama nyingine kumeathiri Programms nyingi za Main Streams kwa kiasi kubwa, kuna idadi kubwa ya watu...
1 Reactions
15 Replies
432 Views
Baada ya miaka 44 ya kuiburudisha dunia, hatimae MTV imesalimu amri mbele ya YouTube na TikTok. Soma zaidi... https://www.instagram.com/p/DS-AHXHFF22/?igsh=a29rb2JwZHJqbHZ3
3 Reactions
3 Replies
177 Views
"Leo" by Harmonize featuring Mbosso, produced by Mafia, is a heartfelt Bongo Flava love anthem that captures the raw honesty of falling deeply for someone at the most unexpected time. Harmonize...
3 Reactions
32 Replies
636 Views
Filamu zangu za mwaka ni; 1. Superman(2025) Wamemuonesha superman kwa usahihi kama alivyo kwenye vitabu. Mpole, anayejali watu na ni ishara ya matumaini. 2. Mickey 17(2025) Inaelezea vizuri...
7 Reactions
38 Replies
1K Views
Aisee kuna hii nyimbo inaitwa; “Sasa ni lunch time tufunge makazi,” nikiisikia lazima nipate hamu ya kula! Plus kuna nyimbo za marehemu; Siri ya nini Sarafina Kachichi Hizi nyimbo hazinitoki.
5 Reactions
62 Replies
7K Views
Chombezo : Beki Tatu Mcharuko Sehemu Ya : Kwanza (1) “Shogaa yule mfanyakazi nimeshampata ni wewe tu uje kumchukua maana kadada kenyewe kamekaa kazungukazungu kasije kuniibia mume haka.” “Mhhh...
5 Reactions
25 Replies
36K Views
TAARIFA KWA UMMA KUANZA KWA UTEKELEZAJI WA MAJUKUMU YA KAMATI YA KITAIFA YA TUZO ZA MUZIKI TANZANIA (TMA) Baraza la Sanaa la Taifa linapenda kuufahamisha umma wa Watanzania na wadau wote wa...
1 Reactions
2 Replies
920 Views
Huyu hapa msanii kipenzi cha Gen Z, akitumbuiza goma lake pendwe la "mshike kende, bonyeza pembe, kende ndende ndendeee". show ilipigwa Maeneo ya Gaza kimara
0 Reactions
1 Replies
201 Views
https://jumpshare.com/s/BPRuo4CnmKJMIEkfPZe4
0 Reactions
0 Replies
111 Views
Kuanzia tarehe moja August taanza likizo ya mwezi mmoja, nimeplan kufanya road trip kuanzia Dar - Moshi - Arusha - Babati-Mara- mwanza-Geita-Kagera...
1 Reactions
8 Replies
426 Views
Wadau nataka kufahamu tu nani alikuwa nyuma ya kazi njema za huyu mrembo Ray c kama vile Na wewe milele, umenikataa n.k
3 Reactions
36 Replies
601 Views
THE JOURNALIST (TONE LA DAMU) AMANI KILONZO!!!!!... Ni jina ambalo lilikuwa alama ya ushindi, lilikuwa ni jina maarufu ambalo kila mwandishi wa habari pamoja na waandishi wote walikuwa...
3 Reactions
9 Replies
3K Views
Wana jamii wenzangu naombeni tafsiri ya ile T-shirt ya mwakinyo. Kwanini upande wa mbele na upande wa nyuma aweke picha tofauti.!?
1 Reactions
21 Replies
759 Views
Back
Top Bottom