Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Sahizi kwenye magroup mengi ya Whatsapp kuna hii namba ya kihindi inatembea sana +91 72 99 899640 Ni ya kihindi kwa code zake na ukiuliza chochote kile wabakujibu within a second its like...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Hello, Cpwaa nadhan anajua mziki ila sahiv naona yuko kimya sana, anafanya ishu gani sahiv?? labda warumi waweza kuwa na jibu juu ya hili. Action, 6 in the morning etc... izo ngoma zake...
0 Reactions
23 Replies
6K Views
Wiki iliyopita rapper wa Kenya Jackson Ngechu Makini a.k.a Prezzo alipokuwa kwenye mahojiano na Betty Kyalo wa KTN ya Kenya, aliulizwa kuhusu msanii mwenzake Jaguar, swali ambalo liliamsha upya...
2 Reactions
13 Replies
4K Views
Habarini Jf Tanzania tukiwa katika hali sintofahamu kwa kilicho tokea Zanzibar tarehe 12/1/2016 kuhusu ubaguzi ambapo vijana wanao daiwa kuwa ni wa CCM kupita na bango lilowataka Machotara wa...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Kitabu kipya cha maisha ya Beyonce na Jay Z kimeingia mtaani. Ni kitabu kilichoandikwa kwa kina kuhusu maisha ya wanandoa hawa maarufu duniani. Kina kurasa 100, picha za kuvutia na historia zao...
0 Reactions
31 Replies
6K Views
Shilole,Eddy Kenzo wa Uganda penzi jipya. Kwa sasa ni dhahiri kabisa penzi la Shilole na Nuh Mziwanda limefika mwisho baada Shishi kumtambulisha mpenzi wake mpya msanii,Eddy Kenzo kutoka nchini...
0 Reactions
64 Replies
20K Views
Icon wa Bongo flava Naseeb ‘Diamond’ Abdul, amewashangaa wasanii wanaomtupia maneno kila kukicha kuwa anawabania wasanii wengine ‘connections’ za kung’ara kimataifa. Akizungumza na TBC juzi...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Akihojiwa na Savannah fm ya jijini Mwanza kwa njia ya simu katika kipindi cha "Bongo fleva na mbongo fleva wetu" aliulizwa kwanini ameweza kuwa kwenye mahusiano na staa bila penzi lake kuyumba...
4 Reactions
29 Replies
9K Views
New Music: Diamond Platnumz – Hello Diamond Platnumz - 'Hello' (Music Audio) New Music: Diamond Platnumz – Hello
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Nlikuwa namsikia tu sasa wakati na surf tweeter nikakutana na page yake na kuona ana follower kama 80 Million nlishtuka kidogo nlipoingia google nikampekua nikakuta ni mwanamziki basi nikaamua ku...
3 Reactions
33 Replies
5K Views
CMB Prezzo alijivunjia heshima wakati akifanyiwa mahojiano kwenye televisheni ya KTN, mara kwa mara akionekana kutokuwa makini kuyajibu maswali ya mtangazaji wa kike Betty Okari na badala yake...
3 Reactions
70 Replies
14K Views
Kadri siku zinavozidi kwenda teknolojia inakua. Siku hizi hatujazi masongi kwenye memory card huko vibandani ni mwendo wa online streaming tu. Basi katika pitapita zangu nimedownload app ya...
3 Reactions
26 Replies
4K Views
hakymungu Mopao ni noooma,sikiliza kuanzia dk ya 4.02...lol...waue baba
2 Reactions
8 Replies
3K Views
Kama alivyopata kusema Msanii Ben Paul kuwa Kiba anakuwa overrated halafu inamgharimu sana. Uwezo na upeo wa msanii yeyote utaupima pia katika mahojiano mbalimbali na media,huwezi kudanganya umma...
3 Reactions
83 Replies
21K Views
Hakyamungu huyu samatta ndiye wa kumuombea watanzania sio wale waliopiga push up kwenye kampeni baadaye wanakuja kulialia eti tuwaombee nyumba zimepigwa x embu angalia uongo wa Club african ya...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Jamani naomba mnisaidie kunifahamisha hivi wema na Idris ni wapenzi kweli? Au Kuna movie wanatarajia kuitoa hivyo wanaifanyia promo?
0 Reactions
163 Replies
43K Views
DIAMOND PLATNUMZ amechaguliwa kwenye Tuzo za #Maya Awards-2016 za nchini naijeria ambazo upigaji kura ushaanza na mwisho mwezi Februali,2016 katika kategori ya African Artist Act(Mtumbuizaji bora...
1 Reactions
24 Replies
8K Views
Baba na mama Sama goal wakimsbiri mtoto wao kwenye ngazi za uwanja wa ndege akitokea Nigeria alikoshinda tuzo ya wanasoka wa ndani Afrika
0 Reactions
31 Replies
5K Views
Ndugu wanajamii forum..leo nilipata nafasi nikaweza kusikiliza nyimbo za hawa wasanii wawili wakubwa wa Tanzania Alikiba pamoja na Diamond.Baada ya kusikiliza nyimbo nyingi za kila mmoja toka...
1 Reactions
37 Replies
13K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…