Prezzo amdhalilisha mtangazaji wa KTN katika Mahojiano ya Live

KAFA.cOm

JF-Expert Member
Jun 22, 2013
1,301
739
CMB Prezzo alijivunjia heshima wakati akifanyiwa mahojiano kwenye televisheni ya KTN, mara kwa mara akionekana kutokuwa makini kuyajibu maswali ya mtangazaji wa kike Betty Okari na badala yake akawa akimgusagusa huku pia akimkatiza alipokuwa akimhoji. SASA kinachomsumbua na kumhangaisha CMB Prezzo kimegundulika.

Jamaa yupo na stresi za muziki.

Tangu wikendi, jina lake limetawala mitandao ya kijamii kufutaia kile kisanga cha aibu alichokifanya akihojiwa kwenye runinga.

Prezzo alijivunjia heshima wakati akifanyiwa mahojiano kwenye televisheni ya KTN, mara kwa mara alionekana kutokuwa makini kuyajibu maswali ya mtangazaji wa kike Betty Okari na badala akawa akimgusa gusa huku pia akimkatiza alipokuwa akimhoji.

Kitendo hicho cha Prezzo kiliwakera mashabiki wengi na hata mume wa Betty, Dennis Okari ambaye naye alitumia Twitter kumkashifu.

“Inashangaza ni vipi msanii atakuja kwenye mahojiano ya runinga ya bure akiwa mlevi na hajielewi.

Ni fursa ya kipekee ambayo wasanii wengi hutamani ila hawapati. Inashangaza sana,” aliandika Okari.

Mama amwombea msamaha

Ingawaje baadaye mamake Prezzo, Bhoke Makini aliomba msamaha kwa niaba ya mwanawe, imebainika kuwa msanii huyo anasumbuliwa na mawazo ya namna ya kutoka tena kimuziki kitu kilichompelekea kuanza kutumia maunga na mdhahara yake yalionekana waziwazi.

“Wengi hawajui Prezzo ni mtumiaji maunga na sasa ndio mbaya zaidi kwa sababu anaumizwa na mawazo ya namna anavyoweza kutoka tena kumuziki. Yule Prezzo wa nyuma sio huyu wa sasa. Kuna ngoma amefanya ila ameshindwa kabisa kuisukuma, shoo nazo hapati. Kwa mfano Disemba alikosa shoo kabisa wenzake kama Cannibal wakipata. Hivi vyote vimemwathiri sana kiakili ukiongezea na matumizi yake ya maunga hivyo mimi kuona kile kisanga runingani, sikushtuka,” alifunguka promota mmoja ambaye ana ukaribu sana na Prezzo kutokana na heshima yao ya kufanya kazi pamoja hapo nyuma.

Link ya hayo mahojiano hii hapa

 
CMB Prezzo alijivunjia heshima wakati akifanyiwa mahojiano kwenye televisheni ya KTN, mara kwa mara akionekana kutokuwa makini kuyajibu maswali ya mtangazaji wa kike Betty Okari na badala yake akawa akimgusagusa huku pia akimkatiza alipokuwa akimhoji. SASA kinachomsumbua na kumhangaisha CMB Prezzo kimegundulika.

Jamaa yupo na stresi za muziki.

Tangu wikendi, jina lake limetawala mitandao ya kijamii kufutaia kile kisanga cha aibu alichokifanya akihojiwa kwenye runinga.

Prezzo alijivunjia heshima wakati akifanyiwa mahojiano kwenye televisheni ya KTN, mara kwa mara alionekana kutokuwa makini kuyajibu maswali ya mtangazaji wa kike Betty Okari na badala akawa akimgusa gusa huku pia akimkatiza alipokuwa akimhoji.

Kitendo hicho cha Prezzo kiliwakera mashabiki wengi na hata mume wa Betty, Dennis Okari ambaye naye alitumia Twitter kumkashifu.

“Inashangaza ni vipi msanii atakuja kwenye mahojiano ya runinga ya bure akiwa mlevi na hajielewi.

Ni fursa ya kipekee ambayo wasanii wengi hutamani ila hawapati. Inashangaza sana,” aliandika Okari.

Mama amwombea msamaha

Ingawaje baadaye mamake Prezzo, Bhoke Makini aliomba msamaha kwa niaba ya mwanawe, imebainika kuwa msanii huyo anasumbuliwa na mawazo ya namna ya kutoka tena kimuziki kitu kilichompelekea kuanza kutumia maunga na mdhahara yake yalionekana waziwazi.

“Wengi hawajui Prezzo ni mtumiaji maunga na sasa ndio mbaya zaidi kwa sababu anaumizwa na mawazo ya namna anavyoweza kutoka tena kumuziki. Yule Prezzo wa nyuma sio huyu wa sasa. Kuna ngoma amefanya ila ameshindwa kabisa kuisukuma, shoo nazo hapati. Kwa mfano Disemba alikosa shoo kabisa wenzake kama Cannibal wakipata. Hivi vyote vimemwathiri sana kiakili ukiongezea na matumizi yake ya maunga hivyo mimi kuona kile kisanga runingani, sikushtuka,” alifunguka promota mmoja ambaye ana ukaribu sana na Prezzo kutokana na heshima yao ya kufanya kazi pamoja hapo nyuma.

Link ya hayo mahojiano hii hapa


Heading ingekuwa basi Prezzo ajidhalilisha kwenye mahojiano ya TV! Huu ni mtazamo wangu tu lakini
 
Hapa ndio huwa nashindwa kuwaekewa wasanii wetu,kwa nn wanahusianisha kaz yao ya mziki na madawa? hasa hawa wa hip hop......idadi kubwa xn ya wasanii wanatumia mihadarati au ndio wiked music industry chini ya mwavuli wa Lucifer
 
“Wengi hawajui Prezzo ni mtumiaji maunga na sasa ndio mbaya zaidi kwa sababu anaumizwa na mawazo ya namna anavyoweza kutoka tena kumuziki.
Kama ndivyo, basi aache ubwege. Ni filamu tu ndio unayoweza kudumu nayo tangia utotoni hadi uzeeni. Wanamuziki wengi wakishafika 30's huanza kupotea taratibu. Huo unakuwa umri wa kufanya muziki kwa hobby na sio wa kushindana na walio sokoni... ukiambiwa uruke ruke, huwezi manake rojorojo miguuni zishakauka! Aanze tu kupiga twist, lazima atapata contract mahotelini Mombasa!
 
Heading ingekuwa basi Prezzo ajidhalilisha kwenye mahojiano ya TV! Huu ni mtazamo wangu tu lakini
Nimeweka heading hiyo baada ya kucheki hiyo video.....dada kashikwa shikwa na jamaa alikuwa anamsifia kila saa
 
Nimejaribu kuangalia hiyo video sijaona udhalilishaji ,hivi kumshika mtu mkono na hawa wadada wanaocheza uchi kwenye video za wasanii upi ni udhalilishaji ??? Nlijua prezzo kamshika tak* ,sema huyu jamaa kwa nyodo eti Jaguar hamjui
 
Nimejaribu kuangalia hiyo video sijaona udhalilishaji ,hivi kumshika mtu mkono na hawa wadada wanaocheza uchi kwenye video za wasanii upi ni udhalilishaji ??? Nlijua prezzo kamshika tak* ,sema huyu jamaa kwa nyodo eti Jaguar hamjui
UncleBen assume huo bettykyalo ndo mkeo alafu ndo anafanyiwa vile kazini kwake....alafu ile ilikuwa taarifa ya habari sio kipindi cha mkasi
 
UncleBen assume huo bettykyalo ndo mkeo alafu ndo anafanyiwa vile kazini kwake....alafu ile ilikuwa taarifa ya habari sio kipindi cha mkasi
Hahaha KAFA.com hujaona Alicia Keys analiwa mate kwenye empire na Jussie ??? Unafikiri swiss beats anajiskiaje ??! Hiyo ni kazi tu kama zingine na zina changamoto zake nlijua Prezzo hata kafanya kumbambia kumbe ni kumshika tu mikono
 
Back
Top Bottom