shadownet
Senior Member
- Aug 4, 2015
- 133
- 674
Kadri siku zinavozidi kwenda teknolojia inakua. Siku hizi hatujazi masongi kwenye memory card huko vibandani ni mwendo wa online streaming tu.
Basi katika pitapita zangu nimedownload app ya spotify inayokubalika duniani kwa asilimia kubwa na kuna wasanii wakubwa wengi tu. Ile nasearch 'Ali kiba' nothing, najaribu 'Ally kiba' nothing, nasearch nyimbo zake hamna kitu, ikawa shida kweli!
Nikaona nisearch na wasanii wanaokubalika Africa nzima kama kina Kcee, Diamond, Wizkid wamo bila tatizo.
Tatizo ni lipi hasa kwa msanii Kiba kutokujulikana nje ya mipaka?
Basi katika pitapita zangu nimedownload app ya spotify inayokubalika duniani kwa asilimia kubwa na kuna wasanii wakubwa wengi tu. Ile nasearch 'Ali kiba' nothing, najaribu 'Ally kiba' nothing, nasearch nyimbo zake hamna kitu, ikawa shida kweli!
Nikaona nisearch na wasanii wanaokubalika Africa nzima kama kina Kcee, Diamond, Wizkid wamo bila tatizo.
Tatizo ni lipi hasa kwa msanii Kiba kutokujulikana nje ya mipaka?