Diamond Platnumz anunua ndinga mpya kama ya Ronaldo

Chachu Ombara

JF-Expert Member
Dec 11, 2012
5,897
10,358
Mwanamuziki namba moja Tanzania na Afrika Mashariki baada ya kushambuliwa sana na mitandao ya kijamii wiki jana na mwanzoni mwa wiki hii ameamua kujipoza na ndinga kali yenye hadhi ya kimataifa.

Diamond.jpg
 
Back
Top Bottom