Diamond angekaa kimya hata kwenye hili la Gwajima

galton

Member
Apr 8, 2017
80
126
Toka huyu jamaa Gwajima ajifanye anajua siri za watu na kuwaumbua kwenye kanisa lake fake, hakuna cha maana anachoongea kuhusu wabaya wake zaidi ya kuchukua udaku wa kwenye mitandao ya kijamii (kiporo) na kusambaza kwenye kanisa lake na kujifanya yeye ni moto wa kuotea mbali. Mfano kwenye sakata la Makonda, alijifanya anajua elimu ya Makonda kiundani na kuanza kumchambua mkuu wa mkoa huyo kitu ambacho kilishafanywa na baadhi ya maadui zake huko instagram. Yeye alichofanya ni ku copy paste then akabadilisha font type basi, hivyo kufanya taarifa zake kuhusu mkuu wa mkoa kukosa mashiko kwa kutoa info zilizochacha.

Sakata jipya la Diamond kuhusu wimbo wake mpya, mchungaji huyo aliahidi kumchambua msanii huyo, ambapo aliishia tu kuongelea issue ya Diamond kujiunga na freemason, scandal ambayo imechacha na haina mashiko.

Kwenye sakata hili nimemuona Diamond mjinga kufikia hatua ya kumuomba msamaha Gwajima kwa kuhofia kuchafuliwa kwa kashfa nzito. Hali hiyo ya anayejiita simba kufikia hatua hiyo imeongeza doubt kwa mashabiki zake huenda msanii huyo ana siri chafu na anaogopa kuumbuliwa.

Binafsi ningemshauri angekaa kimya tu kama alivyofanya Makonda ambapo alitukanwa na mchungaji huyo na akuthubutu kuomba msamaha wala kuongelea chochote kuhusu matusi hayo, hivyo kwangu Makonda ni shujaa na simba.
 
Toka huyu jamaa gwajima ajifanye anajua siri za watu na kuwaumbua kwenye kanisa lake fake ,hakuna cha maana anachoongea kuhusu wabaya wake zaidi ya kuchukua udaku wa kwenye mitandao ya kijamii (kiporo) na kusambaza kwenye kanisa lake na kujifanya yeye ni moto wa kuotea mbali, mfano kwenye sakata la makonda, alijifanya anajua elimu ya makonda kiundani na kuanza kumchambua mkuu wa mkoa huyo kitu ambacho kilishafanywa na baadhi ya maadui zake huko instagram, yeye alichofanya ni ku copy paste then akabadilisha font type basi ,hivyo kufanya taarifa zake kuhusu mkuu wa mkoa kukosa mashiko kwa kutoa info zilizochacha.

Sakata jipya la diamond kuhusu wimbo wake mpya, mchungaji huyo aliahidi kumchambua msanii huyo, ambapo aliishia tu kuongelea issue ya diamond kujiunga na freemason, scandal ambayo imechacha na haina mashiko

Kwenye sakata hili nimemuona diamond mjinga kufikia hatua ya kumuomba msamaha gwajima kwa kuhofia kuchafuliwa kwa kashfa nzito, hali hyo ya anayejiita simba kufikia hatua hiyo imeongeza doubt kwa mashabiki zake huenda msanii huyo ana siri chafu na anaogopa kuumbuliwa, binafsi ningemshauri angekaa kimya tu kama alivyofanya makonda ambapo alitukanwa na mchungaji huyo na akuthubutu kuomba msamaha wala kuongelea chochote kuhusu matusi hayo, hivyo kwangu makonda ni shujaa na simba
Bashite huyu jambazi?
 
Naona unalichokoza dude, unaweka mguu kwenye machine ya kusaga!!!! Unawasha moto huku huna zimamoto

Mwambie Bashite apeleke huu ujinga kule Lumumba
 
alisema anatuma jini kwa bashite sasa ni miezi hatuoni chochote hahahaaaaaaaa mjini ni ujanja ujanja, dai alimthihaki tu.
 
alisema anatuma jini kwa bashite sasa ni miezi hatuoni chochote hahahaaaaaaaa mjini ni ujanja ujanja, dai alimthihaki tu.
kweli umenikumbusha lile pepo lililokuwa linaenda kwa bashite lishafika au liko njiani? aiseee kweli haya maisha akili kumkichwa
 
Toka huyu jamaa Gwajima ajifanye anajua siri za watu na kuwaumbua kwenye kanisa lake fake, hakuna cha maana anachoongea kuhusu wabaya wake zaidi ya kuchukua udaku wa kwenye mitandao ya kijamii (kiporo) na kusambaza kwenye kanisa lake na kujifanya yeye ni moto wa kuotea mbali. Mfano kwenye sakata la Makonda, alijifanya anajua elimu ya Makonda kiundani na kuanza kumchambua mkuu wa mkoa huyo kitu ambacho kilishafanywa na baadhi ya maadui zake huko instagram. Yeye alichofanya ni ku copy paste then akabadilisha font type basi, hivyo kufanya taarifa zake kuhusu mkuu wa mkoa kukosa mashiko kwa kutoa info zilizochacha.

Sakata jipya la Diamond kuhusu wimbo wake mpya, mchungaji huyo aliahidi kumchambua msanii huyo, ambapo aliishia tu kuongelea issue ya Diamond kujiunga na freemason, scandal ambayo imechacha na haina mashiko.

Kwenye sakata hili nimemuona Diamond mjinga kufikia hatua ya kumuomba msamaha Gwajima kwa kuhofia kuchafuliwa kwa kashfa nzito. Hali hiyo ya anayejiita simba kufikia hatua hiyo imeongeza doubt kwa mashabiki zake huenda msanii huyo ana siri chafu na anaogopa kuumbuliwa.

Binafsi ningemshauri angekaa kimya tu kama alivyofanya Makonda ambapo alitukanwa na mchungaji huyo na akuthubutu kuomba msamaha wala kuongelea chochote kuhusu matusi hayo, hivyo kwangu Makonda ni shujaa na simba.

Umejiunga JF jumamosi na kupost ujinga jumapili. Tuache hayo kwa sababu mwamamme hasa wa kupambana na Askofu anajitokeza katika uhalisia wake (true identity) na si kujificha na majina bandia humu.
Kwa taarifa yako, impact ya Bashite scandal ilivyokuwa orchestrated na Askofu ni kubwa mno kwa Makonda - muulize kama uko naye karibu. Anasubiriwa huko ughaibuni aone cha moto... ajue kama ni Mungu wa Dar au kinyume.
Diamond amejiingiza kwenye mambo yasiyokuwa yake kwa uzito. Yeye ni mswahili wa Tandale angeendelea na kuimba mipasho yake tu kuliko kugusa politics... ALMASI itageuka MAJI subiri uone ikiwa ataendelea.
 
Ww ndo unamuona mjinga kuomba msamaha,ila yy anaja kwnn kaomba msamaha!

Ww humjui dai,yy ndo anajua kwnn kafanya hivyo!
Anajua Gwajima ni nani ndo maana mapema kawahi kuomba radhi....
Ila gwajima ni bonge moja la ropokaji domokaya
 
Umejiunga JF jumamosi na kupost ujinga jumapili. Tuache hayo kwa sababu mwamamme hasa wa kupambana na Askofu anajitokeza katika uhalisia wake (true identity) na si kujificha na majina bandia humu.
Kwa taarifa yako, impact ya Bashite scandal ilivyokuwa orchestrated na Askofu ni kubwa mno kwa Makonda - muulize kama uko naye karibu. Anasubiriwa huko ughaibuni aone cha moto... ajue kama ni Mungu wa Dar au kinyume.
Diamond amejiingiza kwenye mambo yasiyokuwa yake kwa uzito. Yeye ni mswahili wa Tandale angeendelea na kuimba mipasho yake tu kuliko kugusa politics... ALMASI itageuka MAJI subiri uone ikiwa ataendelea.
hahahahahaha
 
Back
Top Bottom