Nilikuskia ukijichetua kuwa lemutuz tv is coming soon na studio ushakamilisha ni uzinduzi tu umebaki haya tuambie umeishia wapi?
Hivi lemutuz unajua gharama ya kumiliki kituo cha tv ww?
Ile nyumba...
Roma na Stamina wametinga studio za clouds fm wamevaa jezi.
Jezi ya RomaMkatoliki Imeandikwa WEMA ya Stamina Imeandikwa ZARI.
.
Unadhani wana maana gani?
-Ndumilakuwili-
Imebainika kuwa licha ya vijana hawa wa shilawadu kuwa na kipaji cha kunyapia umbea, wanakipaji kingine cha ziada cha kukimbia mbio fupi na hata zile ndefu kwa kasi kubwa zaidi hata kumshinda...
Msanii wa Mkali wa bongo fleva Ali Kiba anatarajia kuachia ngoma yake mpya siku chache zijazo,kwenye
ukurasa wake wa Instagram Msanii huyo nyota wa kimataifa amepost "cover page" ya wimbo wimbo...
waigizaji wengi hasa movie za kitanzania au maigizo ya luningani ama celebrities..wanaposhut acene wapo bar wanakunywa bia ni lazima wabandue ile karatasi kwenye chupa ya bia yenye brand...
Party hii bab kubwa ilifanyika jijini Mwanza tarehe 4 Agosti 2017 maeneo ya ROCK BEACH GARDEN.
Afrisana Production walihusika katika picha na video.
Click ujionee mwenyewe
Akizungumza hivi punde tu na Kituo cha Redio ambacho kinakuja na Kasi ya Kimbunga cha Efm katika Kipindi maarufu cha ' Joto la Asubuhi ' Msanii Ibrahim Musa ( Roma Mkatoliki ) amewataka Watanzania...
Akiongea na kipindi Cha Shilawadu cha clouds tv,Mzee Abdul Nasibu baba mzazi wa diamond ametoa baraka zake zote kwa mtoto wa Hamisa Mobetto ambae inasemekana amezaa na Diamond na kupewa jina La...
Habari za weekend wadau wa Celebrit Forum.
Kuna kundi lililokuwa linaundwa na mabinti wanne, walikiwa wakiimba nyimbo za Injili kama sikosei.
Kuna wimbo waliwahi kuimbia Tanzania.. "Tanzania...
BY @idrissultan - Respect our models, sio kila mdada aliye kaa kaa uchi tu anaitwa model .. Flaviana is a model, Herieth Paul is a Model, Millen is a model, Maggie Vampire is a model, Niler is a...
Ebana huyu mchizi anaweza sana hiki kipindi cha Uswazi, Zembwela we mbaya. Big up Zembwela.
----------------
Mtangazaji wa kipindi cha redio HOTMIX na television USWAZI vinavyorusha na EATV...
Huyu dada alikuwa anatangaza redio uhuru kipindi cha bongo fleva pamoja na sebastian maganga.Na usiku kulikuwa kuna kipindi alikuwa anakiendesha bahati mbaya sikumbuki jina la kile kipindi ...
Baada ya mda mrefu kuibuka maneno ya chini chini kuwa Mtoto aliyejifungua Hamissa mobeto ni wa Diamond Platnumz huku Mama Diamond na Diamond mwenyewe wakishindwa kukana tuhuma hizo
Siku ya jana...
Wale watu wazima wenzagu, enzi hizo hakuna cha "Isidingo The Need" wala sijui Tamthilia za Kifilipino. Ilikuwa ni "mikanda" ya ngumi na ile ya kivita. Vurumai za makomandoo na vita vya Wavietnam...
bila ubishi taarifa ya habari ya kituo cha itv ya saa 2 usiku kila siku ndio inayoongoza kwa kuwa na watazamaji wengi hapa nchini kuliko ya vituo vingine vya televison, sasa je ni reporter gani...
Wote ni wakali ila ni Nani mkali zaidi hapa hapa kati ya Rayvanny na dogo Asley, hapa chini mlinganisho wa hits zao
Rayvanny
1. Kwetu
2. Natafuta kiki
3.Zezeta
4.Mbeleko
5.Chuma ulete
Asley
1...
Jeshi la polisi Mkoa wa Ilala, limewakamata watu saba akiwemo msanii wa muziki wa kizazi kipya, Rashid Makwiro maarufu kama ‘Chid Benz’ kwa tuhuma za kukutwa na dawa za kulevya aina ya Heroine...
Hatimae mzee abdul baba mzazi wa diamond platnumz amejitokeza hadharani na kuonyesha kufurahiswa na kitendo cha mkwewe hamisa mobeto kumwita mtoto wake aliezaa na diamond platnumz jina lake, kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.