Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Aliyekuwa mume halali wa muigizaji wa filamu bongo Irene Uwoya, mcheza soka kutoka nchini Burundi Hamad Ndikumana, ameonyesha kujibu mapigo baada ya mwenza wake kuonekana kuolewa, kwa kupost picha...
3 Reactions
64 Replies
14K Views
Siku moja baada ya Elizabeth Michael 'Lulu' kuhukumiwa kifungo cha kutumikia jela miaka miwili kwa kosa la kuua bila kukusudia, mama mzazi wa marehemu Steven Kanumba, Frora Mutegoa amesema...
10 Reactions
114 Replies
21K Views
Katika Ukurasa Wake wa FaceBook. Nakumbuka vizuri saana mwaka 2006 yaani miaka miwili tu baada ya mimi kushinda taji la ufalme wa rhymes Tz na kukabidhiwa ile gari maridadi sana ya zawadi aina ya...
35 Reactions
185 Replies
24K Views
Tuwataje hapa na nyimbo zao. Mimi msanii wa kwanza ni Motra the Future kaimba nyimbo kama sina koloni, uswazi etc
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Msanii wa muziki wa kizazi kipya Afande Sele, amesema anashangzwa na kitendo cha Mama Kanumba kushukuru kufungwa kwa Lulu wakati mtoto wake ndiye alikuwa na makosa kwa kuwa na mahusiano na binti...
4 Reactions
64 Replies
17K Views
Tunahitaji wasanii wa muziki bongo flavior na hip hop nafasi tano zitashindaniwa kwa kucoment na kulike kwa kuacha song yako ulio record au melody kama hujarecod na namba yako ya simu au email...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Katika tasnia ya habri hasa watangazaji ambao sauti zao zinanipa shauku ya kuendelea kuwasikilza wakiwa wanatangaza ni hawa 1.Mabere Makubi ITV 2.Chase Hillary Azam TV Tupia na wa kwako ambao...
1 Reactions
176 Replies
37K Views
Lazima nikiri kuwa nimekuwa shabiki wako tangu unatoa wimbo wa mtoto wa uswazi ila baadae ukamua kuacha rap na kuamua kuimba niliendelea kukusikiliza lakini sikuvutiwa na style yako mpya...
2 Reactions
19 Replies
4K Views
Mbunge wa Geita, Musukuma Kasheku amesema anafurahia kutumia simu yake ya mkononi ya zamani iliyofungwa na rubber band. Sababu ni kwamba hataki ulimbukeni, si fisadi na hapelekwi na mihemko ya...
7 Reactions
71 Replies
12K Views
Personal simfahamu lulu Jana nilisoma habari kafungwa miaka 2 .Today nikasema ngoja niangalie video kwa kweli Ili iliniumiza mno. the abuse of a human right was beyond my imagination .Walivyokuwa...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Wanajamvi, Jana mama mzazi wa Marehem Steven Kanumba amenukuliwa na vyombo vya habari akisema "Mahakama imetenda haki" kwa kumhukumu kifungo cha miaka miwili kwa kuua bila kukusudia Elizabeth...
2 Reactions
60 Replies
11K Views
Ndio kwanza anatimiza masaa 24, kifungoni gerezani... Bado masaa mengi sana ukizidisha mara miezi 24... Wote hatujui hali aliyonayo japo tunaweza kukisia.... Lakini ni vema roho yake ikubaliane na...
10 Reactions
53 Replies
7K Views
MSANII wa fi lamu nchini, Elizabeth Michael ‘Lulu’ atapaswa kutumikia theluthi ya kifungo chake ambacho ni miezi mitano gerezani kabla ya mchakato wa rufaa dhidi ya kifungo chake. Lulu alianza...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Habari weekend wakuu. Kumekuwa na changamoto anazopambana nazo kwa sasa mwanamuziki baraka da prince kwenye ngoma yake mpya ya sometimes kuwa ngoma yake inapatika youtube mara inapotea yani...
3 Reactions
60 Replies
7K Views
Mcheza sinema za bongo Movie Elizabeth Michael ‘LULU' amekiri kuteswa na jini mahaba ndiyo maana amekuwa akishinda kujizuia kulala bila kufanya ngono hali ambayo anatamani kuiacha lakini...
4 Reactions
68 Replies
17K Views
Siwezi muita mama Lulu mama lulu kwani mimi nilimjua kwa jina la shikana wakati huo mama yake akiishi na mtoto huyo mbagala Rangi tatu. Nakumbuka tulivyoishi nae mama akiwa mtu wa tungi ile...
4 Reactions
15 Replies
2K Views
Habarini wajamvi, Leo nimeona tuone mchango unaotelewa na Coke Studio Katika Muziki wetu hapa Afrika. Coke Studio Africa imejitahidi sana kuleta na kuwakutanisha wasanii wengi barani Africa na...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Mama mzazi wa Marehemu Stephen Kanumba, Flora Mtegoa baada ya hukumu ya Lulu ambae amehukumiwa kwa kifo cha mwanae ameonekana na furaha mpaka kujawa machozi. Mama Kanumba amesema anamshukuru...
6 Reactions
189 Replies
26K Views
Diamond: Mwenyez Mungu ameamua kukupa mtihani huu wewe kwa sababu anaamini wewe ni Shujaa na Imara.....pia anaamini wewe ndio msichana pekee unaeweza kuuhimili mtihani huu.... hivyo Usisononeke...
2 Reactions
124 Replies
16K Views
Back
Top Bottom