Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

  • Redirect
Nawasilisha: Kama umepata bahati ya kuusikiliza wimbo mpya wa ROMA na STAMIN unaoitwa HIVI AMA VILE ambao ndio huo hapo juu basi unaweza kunielewa haya machache ninayo taka kuwaambia wana HIP...
0 Reactions
Replies
Views
Nani kamfunika mwenzake ? ...
0 Reactions
13 Replies
7K Views
Mtangazaji na muigizaji Ellen De Generes anaefahamika kwa kuhost show ya the ellen show amesherekea kwa kutimiza miaka tisa ya ndoa yake aliofunga na mwanamke mwenzake muigizaji wa zamani Portia...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Naona sasa hivi utandawazi umekuwa kwa kasi sana kichanga hakija fikisha hata siku 7(wiki moja)kinaanza kutembezwa kwenye mitaa,hili nimeliona kwa mrembo Faiza Ally. Picha hapo chini[emoji116]...
4 Reactions
184 Replies
16K Views
  • Redirect
Mtoto wa Hamisa Mobeto afunguliwa account facebook yenye jina halisi la diamond Platinumz liitwalo Abdul Naseeb Dee. pia ilipata video za ndugu wa diamond platinumz mama yake na dada zake wakienda...
1 Reactions
Replies
Views
Huyu Diamond huyu sidhani kama ana dalili ya kushuka, simuongelei kiushabiki ila trust me, I wish mngepata nafasi ya kuusikiliza wimbo wake mpya aliorecord na Patoranking ebhana usipime! Yani huu...
8 Reactions
30 Replies
3K Views
Unaemtaka humpati na utampata wapi/anaekutaka haumtaki na humpi nafasi.. Ulimi mbili ni ngoma kubwa Sana. Fid kayachambua mapenzi balaa.
4 Reactions
36 Replies
8K Views
  • Redirect
Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
Replies
Views
Mi ni mtu mzima ila nafuatilia mziki wa vijana tena vijana kweli , yaani wale wenye umri mdogo lakini wanafanya vema katika gemu kama niliowataja hapo juu ns hakuna aliefikisha miaka 25. Sasa leo...
0 Reactions
45 Replies
35K Views
  • Redirect
Alikiba ni msanii aliyefanya vizuri kwa hit sings zake kama Aje,Mwanadrsm,Nagharamia n.k alikaa kimya kwa muda takribani mwaka mmoja. Baada ya makelele ya mashabiki zake kutaka new joint Alikiba...
3 Reactions
Replies
Views
Habari Wakuu! Miaka ya nyuma huyu jamaa alikuwa anafanya kazi EATV kama mtangazaji kipindi Cha Uswazi, lakini pia alikuwa producer wa Ze comedy Show ya akina Masanja.. Amepotelea wapi Sekion...
2 Reactions
47 Replies
14K Views
Hivi serikali haiwaoni mamodo /video queen kaka huyu pichani? Hali imekua mbaya sana hawa mamodo wameamua kabisa kupiga picha za uchi na kuziweka mitandaoni Utamaduni na maadili ya Mtanzania...
3 Reactions
42 Replies
19K Views
Msanii Madee A.k.a Rais wa Manzese kafyatua ngoma na msanii Tekno wa Nigeria,mzigo umefanyikia wasafi record kusikiliza ngoma iko hapo chini -Ndumilakuwili-
2 Reactions
27 Replies
7K Views
Kuna wanamuziki ambao wamefanya mambo makubwa sana katika fani ya muziki hapa Tanzania na pengine Africa na hata duniani. Hata hivyo hawajapata kutambulika kulingana na mchango wao sawasawa. Uzi...
6 Reactions
46 Replies
3K Views
Mwenye namba ya moja kwa moja kwa Chidi naomba anipatie, nahisi naweza kumsaidia kadri ya uwezo wangu. LeBoss.
1 Reactions
21 Replies
2K Views
Producer mkali wa kitambo P Funk Majani amedai maneno ya kumsifia Harmorapa noma, ilikuwa tu ni kejeli kwa dogo huyo Amedai hata kwa milioni 10 hawezi kumrekodia msanii huyo kwa kuwa yeye...
6 Reactions
67 Replies
13K Views
Mshindi wa milioni 50 za Tanzania Movie Talent, Dennis Louis amesema mtoto wa Hamisa ni wake sio wa Diamond kama watu wanavyodai kauli ambayo imewafanya madau wengi katika mitandao ya kijamii...
1 Reactions
35 Replies
14K Views
  • Redirect
Jamaa alikubalika sana enzi zake Akaja kuamua kukaa nyuma ya kamera za akina masanja. Sasa kamera za akina masanja zimezima yuko wapi kwa sasa?
1 Reactions
Replies
Views
Ni kipaji ambacho ninacho ila nahisi kama nikikaa bila kukifanyia kazi basi kitakufa. Kama kuna kijana au msanii yeyote ambaye anajua kuimba na yuko tayari nimwandikie mashairi basi nitamwandikia...
0 Reactions
5 Replies
964 Views
Wakati ndoa yake ikitimiza mwaka mmoja mwezi huu tangu ilipofungwa Agosti, mwaka jana ndani ya Kanisa la Mito ya Baraka lililopo Jangwani jijini Dar, aliyekuwa memba wa Kundi la Vichekesho la...
3 Reactions
41 Replies
11K Views
Back
Top Bottom