Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Kufuatia kuandamwa na skendo za wanaume na kuchafuliwa kila siku, mama mzazi wa staa wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael Kimemeta ‘Lulu', Lucresia Karugila ‘Mama Lulu' ametoa...
3 Reactions
128 Replies
27K Views
Baada ya Hukumu ya Miaka miwili nini hatima ya Mkataba wa Lulu na Azam,,,,,..... Au ------ Chaneli ya Sinema Zetu inayopatikana katika Televisheni ya Azam, leo imetangaza rasmi uzinduzi wa...
2 Reactions
31 Replies
6K Views
Aslay ana kipaji kikubwa sana. Kwanza ameweza kutoa hit songs mfululizo na zote zikapendwa yani akipanda jukwaani mashabiki wanaimba wenyewe. Ila tatizo ninaloona mbeleni linaweza kumuathiri, ni...
2 Reactions
14 Replies
2K Views
Kwema wana, Yule mwanamziki pekee wa kimataifa panapo ardhi ya Nyerere, Diamond Platnumz yupo jikoni akiaanda ngoma nyingine na mkali kunako ardhi ya Trump, USA Baby. Mtakumbuka kama wiki mbili...
11 Reactions
190 Replies
30K Views
KITENDO cha muigizaji wa filamu Bongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’, kutoa maneno ya kumtusi mama mzazi wa marehemu Steven Kanumba, Flora Mtegoa, ni dalili za msichana huyo kuitafuta laana. Hivi...
5 Reactions
73 Replies
25K Views
Leo nataka tukate mzizi wa fitina kati ya Tunda na Elizabeth Michael Lulu nani kisu zaidi kuliko mwingine Picha ya pamoja Tunda na Lulu Lulu Tunda Lulu akiwa kitandani Tunda akiwa kitandani...
6 Reactions
199 Replies
54K Views
Aiseeh wacha wee mtoto , funguka zaidi basi tujue na mengine. Movie imenoga aiseeh kumbee
0 Reactions
89 Replies
14K Views
Zikiwa zimesalia siku 12 tu kabla ya hukumu yake kusomwa kufuatia kesi yake ya kuua bila kukusudia inayomkabili, taarifa zinasema maombi na sala zimekua zikitikisa nyumbani kwa msanii Elizabeth...
3 Reactions
109 Replies
23K Views
Urembo:Mrembo na mwigizaji wa filamu za kibongo, Diana Elizabeth Michael ‘Lulu' hivi majuzi alitupia picha yake ya zamani mtandaoni hiyo hapo juu ikiwa kama ni "throwback thursday" (TBT)...
0 Reactions
27 Replies
8K Views
habari wadau.. kesho ni nov 13 ambayo jaji atatoa hukumu kwa lulu kutokana na kesi yake.. kiukweli namuonea huruma sana... na huu ni uzi special wa kumtakia heri kwenye kesi yake hukumu isiwe...
2 Reactions
43 Replies
4K Views
Wajuzi wa mambo naomba mnisaidie, hivi ile kesi ya Elizabeth Michael au Lulu ya mwaka 2012 iliisha? Au kama bado ipo, nini kinachelewesha hukumu yake?
0 Reactions
26 Replies
6K Views
huyu legendary yuko wapi maana sijamsikia mwaka huu.. Jamaa anajua ile ngoma yake ya 2012 ya miss Tanzania mpaka leo naisikiliza naiona kama mpya. Achilia mbali zile ngoma zake za zamani ile album...
3 Reactions
59 Replies
16K Views
Nitoe ombi kwa wale wote walotumia ubinifu wa Dr Shika wajaribu kurudisha sehemu ya walichokipata kwa ajili ya kumsapoti huyu tajiri yetu matata. Baadhi ya watu hao ni Joti na kava lake la simu...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Serikali yafungia rangu za midomo za Mwanadada Wema Sepetu zinazojulikana kama "Kiss". > Serikali imechukua uamuzi huo kwa kile kinachoeelezwa kuwa nimeshindwa kikidhi vigezo zilivyokuwa...
1 Reactions
51 Replies
9K Views
Wadau, hii imekaaje? Habari zinazosambaa kuwa Diamond kampachika mimba Tunda ni za kweli? Na huyu msanii naona sasa anapotea na kuzazaa hovyo sio uanaume. Hata kama una hela ya kuwatunza kwanza...
1 Reactions
14 Replies
4K Views
no autotune,no bullshit,kibongobongo hizi wanafanya wa kwenye gospel tu,kama kundi la vocapella au kina paul clement
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari zenu wadau Mie kwa upande wangu nafikiri huyu dada ake diamond hana kipaji cha kuimba labda anacho cha kucheza uchi instagram.. kiufupi wasafi waache kufanya kazi kiundungu huyu dada hajui...
10 Reactions
66 Replies
11K Views
Ni watu ambao mara kwa mara nimekuwa nikiwafuatilia kila mmoja katika jukwaa analolitumia na kugundua ya kwamba wawili hawa wana vitu vingi vya kufanana japo pia wana ambavyo wanatofautiana. Ni...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Hii ni moja ya nyimbo bora kabisa kuimbwa , ina mda wa miezi nane tokea itolewe na kundi la chainsmokers waliomshirikisha coldplay inaenda kwa jina la something just like this Enjoy[emoji116]
1 Reactions
10 Replies
3K Views
Mmh!! Domo na mama tukinao mbona mnapa tununu presha hivi? Juzi tu hapa mwenzenu maralia ilimpanda kichwani, sasa hivi naona itahamia kwenye makalio, maana sio kwa kumrusha roho huko, Mara...
21 Reactions
89 Replies
17K Views
Back
Top Bottom