Nawasilisha:
Kama umepata bahati ya kuusikiliza wimbo mpya wa ROMA na STAMIN unaoitwa HIVI AMA VILE ambao ndio huo hapo juu basi unaweza kunielewa haya machache ninayo taka kuwaambia wana HIP...
Mtangazaji na muigizaji Ellen De Generes anaefahamika kwa kuhost show ya the ellen show amesherekea kwa kutimiza miaka tisa ya ndoa yake aliofunga na mwanamke mwenzake muigizaji wa zamani Portia...
Naona sasa hivi utandawazi umekuwa kwa kasi sana kichanga hakija fikisha hata siku 7(wiki moja)kinaanza kutembezwa kwenye mitaa,hili nimeliona kwa mrembo Faiza Ally.
Picha hapo chini[emoji116]...
Mtoto wa Hamisa Mobeto afunguliwa account facebook yenye jina halisi la diamond Platinumz liitwalo Abdul Naseeb Dee. pia ilipata video za ndugu wa diamond platinumz mama yake na dada zake wakienda...
Huyu Diamond huyu sidhani kama ana dalili ya kushuka,
simuongelei kiushabiki ila trust me, I wish mngepata nafasi ya kuusikiliza wimbo wake mpya aliorecord na Patoranking ebhana usipime!
Yani huu...
Mi ni mtu mzima ila nafuatilia mziki wa vijana tena vijana kweli , yaani wale wenye umri mdogo lakini wanafanya vema katika gemu kama niliowataja hapo juu ns hakuna aliefikisha miaka 25.
Sasa leo...
Alikiba ni msanii aliyefanya vizuri kwa hit sings zake kama Aje,Mwanadrsm,Nagharamia n.k alikaa kimya kwa muda takribani mwaka mmoja.
Baada ya makelele ya mashabiki zake kutaka new joint Alikiba...
Habari Wakuu!
Miaka ya nyuma huyu jamaa alikuwa anafanya kazi EATV kama mtangazaji kipindi Cha Uswazi, lakini pia alikuwa producer wa Ze comedy Show ya akina Masanja..
Amepotelea wapi Sekion...
Hivi serikali haiwaoni mamodo /video queen kaka huyu pichani?
Hali imekua mbaya sana hawa mamodo wameamua kabisa kupiga picha za uchi na kuziweka mitandaoni
Utamaduni na maadili ya Mtanzania...
Msanii Madee A.k.a Rais wa Manzese kafyatua ngoma na msanii Tekno wa Nigeria,mzigo umefanyikia wasafi record kusikiliza ngoma iko hapo chini
-Ndumilakuwili-
Kuna wanamuziki ambao wamefanya mambo makubwa sana katika fani ya muziki hapa Tanzania na pengine Africa na hata duniani. Hata hivyo hawajapata kutambulika kulingana na mchango wao sawasawa. Uzi...
Producer mkali wa kitambo P Funk Majani amedai maneno ya kumsifia Harmorapa noma, ilikuwa tu ni kejeli kwa dogo huyo
Amedai hata kwa milioni 10 hawezi kumrekodia msanii huyo kwa kuwa yeye...
Mshindi wa milioni 50 za Tanzania Movie Talent, Dennis Louis amesema mtoto wa Hamisa ni wake sio wa Diamond kama watu wanavyodai kauli ambayo imewafanya madau wengi katika mitandao ya kijamii...
Ni kipaji ambacho ninacho ila nahisi kama nikikaa bila kukifanyia kazi basi kitakufa.
Kama kuna kijana au msanii yeyote ambaye anajua kuimba na yuko tayari nimwandikie mashairi basi nitamwandikia...
Wakati ndoa yake ikitimiza mwaka mmoja mwezi huu tangu ilipofungwa Agosti, mwaka jana ndani ya Kanisa la Mito ya Baraka lililopo Jangwani jijini Dar, aliyekuwa memba wa Kundi la Vichekesho la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.