Naona Ndugu yetu Pharell Amekaoa kale ka-super model anakokavalishaga nguo za ajabu ajabu. Mdada ni mrefu kama mvinje. Jamaa kaona ukapela sasa basi
UPDATE: PICHA ZA HARUSI HATA WAMAREKANI...
Kiukweli Sijui Kipi Hasa Kinachofanya Hip/hop Nchini Marekani Kufanywa Sana Na Watu Weusi,
Kuanzia Kwa The Legend Himself 2pac Shakur, Mpaka Sasa Kwa Rappa Kama Lil Wayne, Quavo, Offset, Kanye...
Mrembo wa Tanzania mwaka 2006, Wema Sepetu anatarajiwa kuanza kusomewa maelezo ya awali kufuatia kukamilika kwa ushahidi upande wa Jamhuri juu ya kesi ya kusambaza picha za ngono inayomkabili...
Victoria Simon, mtangazaji mpya wa Harusi Yetu!
Msimu mpya na mambo mapya! Victoria Simon ni mwana mitindo bora na mtangazaji wetu wa Harusi Yetu!
09 JULAI 2018
Ndugu watazamaji wetu, tumefanikiwa...
KATIKA kila jambo au kazi kuna kuzidiana na kila mtu duniani ana wakati wake wa kuwa juu na kuonekana anafanya vizuri na kuna wakati wa kuonekana wa kawaida na mwisho unakuwa chini kabisa. Vivyo...
Wakuu habari zenu!
Kuna wimbo mmoja R.Kelly ameutoa unaitwa 'I Admit humo ndani anajutia aliyoyafanya na kujaribu kueleza dunia ukweli wa kile kinachoendelea juu yake.
Ningependa kuwaasa wasanii...
Wakuu wanajamvi, naomba leo kila mmoja wetu ataje mtu mmoja anayekoga moyo wake kwa kile anachoona anakifanya kwa jamii,hususani kusaidia wasiojiweza au kusaidia elimu au kuburudisha au chochote...
Kwanini wakuu wa mikoa wanaosikika ni
1. Ally Hepi
2. A grey Mwanri
3. Makonda
Wengine mbona hatuwasikii? Kwa mfano mkuu wa mkoa wa Tanga au Pwani. Kuna anae wajua?
wadau poleni na shughuli za kutwa nzima. Jamani natafuta filamu ya ki nigeria inaitwa FOR BETTER AND FOR WORSE. Filamu hii imechezwa na emeka ike na genniviv naj, pamoja na yule mzee...
Huyu Dada kaanza kwenye bongo movie akagundua hailipi.,kapambana sana akaanza mziki na amefanikiwa sana.
Kikwazo chake kilikuwa nuh mziwanda,akapata washauri wazuri akaachana,nae.
Sasa hivi yuko...
Msanii maarufu wa muziki wa Hip Hop Golden Mbunda maarufu Godzilla baada ya kufariki ndipo wengi watamfahamu na kutaja sifa zake.
Ni tabia ya 'kipuuzi' iliyozoeleka Mara mtu anapofariki ndipo...
Kila msanii anaenda Kenya kwa sasa kulikoni?
Hii ni picha ya Nandy akiwa amevaa kofia yenye jina la Gavana wa Mombasa bwana Joho.
Je, ina maana wapo kwa mahusiano? Hivi Joho si anaye mpenzi...
Leo acha niseme ukweli wakuu,watu wanapenda kutompa mtu sifa zake mpaka afe.
Toka kizazi cha kina Lwambo mpaka sasa kina ferre na fally hakuna msanii wa kumlinganisha na koffi kimuziki apo...
Msanii Afande Sele ameichana serikali kwa kuwaambia waruhusu bangi na waache kuingiza madawa ya kulevya kwa sbabu yanaua,amesema bora serikali ipitishe bangi watakuwa wanalipa .Amesema...
Kundi la Muziki apa bongo speaking of Navy kenzo linaloundwa na wapenzi wawili,Emmanuel Mkono"Nahreel" na Aika Maleale, "Aika",
Dakika chache zilizopita wameachia Video yao mpya Inayoitwa Roll...
Hivi jamani inakuwaje Marekani black wengi wakifanikiwa lazina wapewe Kesi za Kubaka?? Kama ni hela mbona whites pia wana hela lakini hawapewi hizo kesi?? Alafu mpaka documentary za kuwachafua...
Jamaa amekuwa inspirational kwa rika tofauti,mjasiriamali mwenye mafanikio ila historia ya elimu yake ya kushangaza sana alifeli darasa la saba mara mbili na hajasoma secondari kabisa ila ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.