rikiboy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 21,491
- 41,904
Hivi jamani inakuwaje Marekani black wengi wakifanikiwa lazina wapewe Kesi za Kubaka?? Kama ni hela mbona whites pia wana hela lakini hawapewi hizo kesi?? Alafu mpaka documentary za kuwachafua blacks zinatengenezaa.. R kelly kapewa kesi..Chriss brown nae ana kesi.. Michael Jackson alipewa kesi... Watu wengi kibao wanapewa za kubaka huko Marekani nadhani kwenyr hili kuna UBAGUZI NA UDHALILISHAJI WA ASILI YA MWAFRIKA... Figisu zipo kila konaa aisee bongo unapigwa uraia mbele ni kubaka tuu...
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app