Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Hii Video ya huu wimbo aliotoa leo si wa nchi hii, nazidi kumuona mbali kina Physics wataendelea kupanga foleni
1 Reactions
17 Replies
5K Views
Jiwe walilolikataa waashi sasa linakua jiwe kuu la taifa,hongera vijana kwa kuipamba furaha ya nchi na kusindikiza ushindi wa safari ya AFCON.....picha inajieleza zaidi.
1 Reactions
33 Replies
6K Views
Habari za jioni wanajamii forum,ivi tofauti kati ya Celebrity na Superstar ni ipi? na kipi ni kigezo cha kumpa mtu ucelebrity au Usuperstar!.. Na ni kweli bongo kuna hao watu (Celebrity na...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wanabodi, Kama mlivyoshuhudia commitment ya Mheshimiwa Rais Magufuli kuinua vipaji, kuwasaidia wanamichezo na wasanii hapa nchini, nawashauri Wasanii wetu wajitahidi kuiwakilisha Tanzania vizuri...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Jussie Smollett: Charges dropped against 'Empire' star Muke ya Muzungu AKA Natalie pita huku. I told you that MO is too smart to involve herself in any reckless decision.
1 Reactions
1 Replies
856 Views
Kiukweli jamani naomba ufunguke.... Please thing twice nani TANZANIA anafaa kuitwa MC naona kila kona watu wanajiita ma MC sijui wanafata vigezo gani..?
0 Reactions
176 Replies
29K Views
Mtangazaji wa kipindi cha XXL cha Clouds FM, Adam Mchomvu ni mmoja kati ya wabunifu wa mavazi wachanga watakaopelekwa na THT nchini China kujifunza zaidi fani hiyo. Akiongea kweye 255 ya XXL...
3 Reactions
35 Replies
15K Views
Akili ya mtu ama mind hutambulishwa zaidi na matendo ama maamuzi ya mtu katika masuala mbalimbali. Na katika tabia na mienendo ya matamanio mtu akizama zaidi huwa mlevi na huenda akawa ameathiriwa...
3 Reactions
65 Replies
7K Views
Mchekeshaji na MC maarufu bongo Mc Pilipili asema amepangiwa mahali ya milioni 8 ili kumchumbia mpenzi wake anaetarajia kumuoa hivi karibuni na tayari ameshatoa milioni 5 Pilipili pia ameongeza...
3 Reactions
187 Replies
24K Views
#idontcare Sent using Jamii Forums mobile app
2 Reactions
142 Replies
26K Views
huyu jamaa ni mkali sana kwa freestyles na ngoma zake pia ni kali sana lakini siku hizi amepoa sana kuna nini au zama zake zimepita au watu wa media wanambania?? popote ulipo zilla we need u bro...
2 Reactions
29 Replies
6K Views
Huyu jamaa wasanii wenzake walimtenga kipindi kile alichofiwa na baba yake mzazi kwa sababu na yeye huwa hajishughulishi na wasanii wenzake kwenye misiba. Sasa wasanii wenzake walimtenga ili...
1 Reactions
56 Replies
13K Views
Kuelekea katika pambano lake litakalofanyika siku ya tarehe 23 March,bondia Hassan Mwakinyo amepata bahati ya kunolewa na bingwa wa dunia katika uzito wa juu ,Anthony Bellew au Tony Bellew . Hii...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Ushauri wangu kwa Diamond kua wakati ni ukuta na hakuna anaeweza kupambana nao. Hakuna asiejua kua kwa miaka 8 iliyopita Diamond ametawala kwenye soko la muziki wa kizazi kipya hapa Tanzania na...
4 Reactions
31 Replies
5K Views
Niaje masela na sisterdu kama kawa kama gwala niko hapa kukuletea kajina ka haka kabinti kamoja kutoka bongo freva kabinti ambako huwa nakapenda sana Yaan hako kabinti kana sauti tamu ni balaa...
9 Reactions
155 Replies
22K Views
Hebu msikilizeni huyu Ezden! Yaani anatia huruma kweli. Anakiri mwenyewe kuwa Dida alikuwa anamzidi kipato....halafu eti baada ya kufunga ndoa akaenda kuishi nyumbani kwa Dida. What a dummy...
5 Reactions
246 Replies
46K Views
Nimepita kwenye 'page' yao nikakutana na hiki, ikumbukwe kwamba jana ndo wamemtambulisha mtangazaji aliyekamilisha utatu mtukutu ndugu yetu Paul James na kuonekana kuwa na yeye ni miongoni mwa...
1 Reactions
16 Replies
5K Views
Wakuu habarini za wakati huu hopefully mko vyema ngoja niende direct kwenye mada baada ya kipindi cha Jahazi kinachoruka kila siku za jumatatu hadi ijumaa saa10 hadi saa1 ucku pale Clouds FM...
4 Reactions
47 Replies
12K Views
Kumbe Kuna wenye majibu Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Naomba kuuliza jamani, hivi hawa watu wanaotaka watu wa like na kushare picha zako na kuwalagai kwa zawadi ambayo ukweli hawazitoi, wana mlengo gani? Hivi wanawaona watu ni wajinga sana kwa...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Back
Top Bottom