Nandy kwa sasa yuko kwenye mahusiano na Gavana wa Mombasa?

toplemon

JF-Expert Member
Mar 26, 2017
4,581
4,631
Kila msanii anaenda Kenya kwa sasa kulikoni?

Hii ni picha ya Nandy akiwa amevaa kofia yenye jina la Gavana wa Mombasa bwana Joho.

Je, ina maana wapo kwa mahusiano? Hivi Joho si anaye mpenzi!

Ijapo haijathibitika rasmi ila Joho anapaswa aweke wazi au tumuulize rafiki yake wa karibu ambaye ni Ommy Dimpoz au hata
Kiba

FB_IMG_15498109204807367.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Joho ana likashfa na wanasiasa wenzake wamemkalia kooni, juzi aliitisha press conference.
 
Kila msanii anaenda kenya kwa sasa kulikoni?
Hii ni picha ya nandy akiwa amechora tatoo ya gavana wa mombasa bwana Joho....

Jee inamaama wapo kwa mahusiano?hivi joho si anaye mpenzi!

Ijapo haijathibitika rasmi ila joho anapaswa aweke wazi au tumuulize rafiki yake wa karibu ambaye ni Omy dimpoz au hata kibaView attachment 1019126

Sent using Jamii Forums mobile app
Kenya alienda kwa issue za Coke studio
 
Kila msanii anaenda kenya kwa sasa kulikoni?
Hii ni picha ya nandy akiwa amechora tatoo ya gavana wa mombasa bwana Joho....

Jee inamaama wapo kwa mahusiano?hivi joho si anaye mpenzi!

Ijapo haijathibitika rasmi ila joho anapaswa aweke wazi au tumuulize rafiki yake wa karibu ambaye ni Omy dimpoz au hata kibaView attachment 1019126

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukisha wauliza Omy dimpoz na Ali kiba tunaomba ulete jibu humu
 
Mlitaka nyie muendelee tu kuwala dada zao sio.. Wacha na wenu waliwe kidogo.

Tofauti tu ni kwamba mademu wa Kenya wana hela zao ndefuu...ila hawa wabongo huko wanafuata hela tu na kusambaza njaa.

Huwezi kuta manzii wa Kenya amechora tatoo ya mbongo kilofalofa tu.
 
Back
Top Bottom