Google Diggers
JF-Expert Member
- Aug 29, 2015
- 940
- 1,123
Music industry ina vituko vingi. Kiba anajiheshimu, Konde Boy anatafuta maisha Mondi naye kadhalika, sijui hizi conflict za sisi wasikilizaji zinatoka wapi.
Moja, Pili, msikiti kwa wale wenzangu na mimi, ile pesa ya kujengea msikiti inatokana na mziki, sina hakika kama sio haramu na kwamba wanadamu wanafanya vitu ambavyo ama wanajua si halali au ndio kujitia ukichaa.
Bifu la huyu mdada, naona kama la kimahaba zaidi. Yaani ugomvi umekaa kama vile angetamani kuwa na mmoja wa hawa wajamaa.
Diva anajisikia sana. Sijui kama ana closeness yoyote na mtu yoyote hapo amejipachika tu.
Huyu alikuwa anakula na crazy GK na sasa anapombeza mtu kuwa ananuka, mbona Crazy ni hardcore tu, ana tofauti gani na Kiba, Mondi au Konde?
Sijaona sababu ya kama ni kweli hiyo akaunti ni yake kuyasema yote hayo.