Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Acha hii mikikimikiki ya COVID itulie hali irejee kama kawaida watu tukatafute bahati. Kobe Bryant ni rafiki yetu lazima tumlindie familia yake hapa duniani pamoja na dolla million 800 alizoacha.
1 Reactions
47 Replies
6K Views
Dancer maarufu wa Diamond, Mose Iyobo amesema jinsi anavyoishi na Aunt Ezekiel ni ndoa tosha lakini atafunga ndoa ili watu wa verify kama instagram. Mose Iyobo na Aunt Ezekiel wamefanikiwa kupata...
6 Reactions
84 Replies
20K Views
Wale wote mlio kua mnamringanisha Alikiba na harmonize inabid mjitasmin Tena kwa matukio haya harmonize katoa album yenye nyimbo 16 na uzinduzi mkubwa wa garama but haku trend kiivyo album mzima...
3 Reactions
72 Replies
9K Views
Haka kadada kamekua maarufu masaa machache baada ya video Mpya ya Diamond “Jeje” kutoka. Umaarufu wake unazidi kuongezeka saa hadi saa kutokana na umaridadi wake wa kukatika na kucheza kwa...
8 Reactions
57 Replies
19K Views
Mwaka 2017 Allikiba na Baraka de prince ni miongoni ya wasanii waliyolalamikia kuhujumiwa video zao Youtube kwa kusababisha views ku stuck na kuto ongezeka na kupelekea management ya.Alikiba...
3 Reactions
7 Replies
2K Views
Mzee alisema haiimbi tena nyimbo za kidunia ..dini hairuhusu Vp kwa kijana mondi...au yeye dini yake inaruhusu
1 Reactions
62 Replies
8K Views
Hatimaye zamu ya Zuchu imewadia. Mtoto wa Khadija Kopa rasmi sasa kutambulishwa Wasafi. Amekaa benchi kwa miaka karibu mitano. Ukubwa wa kipaji chake ni Jide+Nandy+Vanessa Mdee. Tanzania...
9 Reactions
186 Replies
27K Views
Huyu mwanamuziki wa Zanzibar anaitwa nani, na ni kwa nini wanamuziki wengi wa kiume Zanzibar wapo hivi? Wakati ile ni nchi ya maadili sana kuliko kawaida? Mara nyingi Wazanzibar wamekuwa wakisema...
8 Reactions
139 Replies
23K Views
Habari wakuu! Huku wengine wakiendelea kujivunia kuchora mitattoo ya bei ghali na meno ya dhahabu. Msanii wa kimataifa Alikiba yeye aendelea kuitumia vyema karata yake baada kupata Shavu la sony...
13 Reactions
283 Replies
61K Views
Kwenye haya maisha kuna uncertainties nyingi, Leo ww tajiri, kesho ww kapuku, reginald mengi angefilisika, angechekwa na kusemwa vibaya na hao hao watu aliokuwa anawasaidia.. Wanasema ukisaidia...
8 Reactions
36 Replies
5K Views
Msanii Robert Kelly maarufu Kama R. Kelly ameomba kuachiwa akihofia kupata maambukizi ya virusi vya korona katika Gereza la Metropolitan Correctional Center (MCC) Chicago. Hivi karibuni majaji wa...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Kiukweli huyu jamaa kwa sasa ni shida, Anashoot video zenye ubunifu mkubwa na bora sana. Kumbuka miaka michache iliyopita tulikuwa na Adam Juma lakini kwa bahati mbaya wakati wasanii wakipiga...
7 Reactions
94 Replies
22K Views
Anaenda kutambulishwa ukweni kwa wazazi wa Spice ambaye ni mpenzi wake mpya
1 Reactions
82 Replies
10K Views
Mimi hapana kabisa. Kibongobongo mwisho wa maisha ya ustaa kwa asilimia kubwa huwa mabaya sana ya kutia huruma. Nimeanza kufatilia sanaa ya bongo (muziki/muvi) tangu miaka 90 mwishoni lakini...
5 Reactions
112 Replies
9K Views
Jana kupitia Insta Live, King wa muziki wa Bongo Fleva AliKiba amefunguka namna ambavyo Dully Sykes alishiriki katika kumsaidia kutengeneza wimbo wake wa kwanza mwaka 2003. . Dully Sykes alimsikia...
3 Reactions
34 Replies
6K Views
Hi kwa wanaburudani wote. Nakumbuka nikiwa mdogo baba aliwahi kuniambia. Mafanikio ya binadamu yoyote yanategemea vitu vikubwa vitatu:- 1. Bahati 2. Kipaji 3. Elimu Akaniambia kati ya vyote...
1 Reactions
81 Replies
11K Views
uzee mwisho Chalinze ========= The baby boy’s big sister will be 65. The car-racing billionaire told Britain’s PA Media that his Brazilian wife, Fabiana Flosi, 44, is expecting a son this...
1 Reactions
4 Replies
999 Views
Kwa ujio wa show ya homa ya TV E ni habari nzuri. Kutokana na janga la corona Sikh ya ijumaa kuanzia saa 3 usiku kunakuwepo na show ya homa, unaangalizia Nyumbani kwako au YouTube au Insta Live...
2 Reactions
11 Replies
3K Views
Manager wa msanii mkubwa Diamond Platnumz, Sallam SK amefunguka baada ya kupona ugonjwa wa Corona akiwa amefanyiwa na moja ya chombo cha habari amesema kwamba wakati anatangaza kuwa amepata Corona...
3 Reactions
3 Replies
1K Views
1. Ananias Edga - Global TV online 2. Davistet Matata Je, wewe unamkubali nani ??? Waweza ongezea Unaowakubali. Sent using Jamii Forums mobile app
2 Reactions
60 Replies
15K Views
Back
Top Bottom