Mkaruka
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 19,617
- 34,062
Kiukweli huyu jamaa kwa sasa ni shida, Anashoot video zenye ubunifu mkubwa na bora sana.
Kumbuka miaka michache iliyopita tulikuwa na Adam Juma lakini kwa bahati mbaya wakati wasanii wakipiga hatua yeye akabaki vilevile, hatimaye akaondolewa sokoni na Nisher.
Nisher kawafundisha kazi kina Hanscana na Khalfan wakatumia nafasi ya kuhamia Dar kumwondoa sokoni Nisher aliyekuwa Arusha.
Miaka miwili nyuma Hanscana alikuwa anatamba kweli kweli, zaidi ya 98% ya video za wasanii ali-shoot yeye. Lakini mpaka leo naona anashoot vilevile sijui uwezo umefika mwisho.
Ssasa naona huyu Kenny video zake balaa lakini wasanii ni kama wanamkwepa fulani sijui kwa kuwa Zoom Production ni kampuni ya Diamond. Akili ya wabongo !!
Hebu tuachane roho za kwanini, ili tupige hatua.
Sample:
1.
2.
3.
Kumbuka miaka michache iliyopita tulikuwa na Adam Juma lakini kwa bahati mbaya wakati wasanii wakipiga hatua yeye akabaki vilevile, hatimaye akaondolewa sokoni na Nisher.
Nisher kawafundisha kazi kina Hanscana na Khalfan wakatumia nafasi ya kuhamia Dar kumwondoa sokoni Nisher aliyekuwa Arusha.
Miaka miwili nyuma Hanscana alikuwa anatamba kweli kweli, zaidi ya 98% ya video za wasanii ali-shoot yeye. Lakini mpaka leo naona anashoot vilevile sijui uwezo umefika mwisho.
Ssasa naona huyu Kenny video zake balaa lakini wasanii ni kama wanamkwepa fulani sijui kwa kuwa Zoom Production ni kampuni ya Diamond. Akili ya wabongo !!
Hebu tuachane roho za kwanini, ili tupige hatua.
Sample:
1.
2.
3.