Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Za asubuhi wana jamvi Kwanza kabisa napenda kukubali na kufaham juhudi za marehemu kanumba kwenye kiwanda cha filamu bongo. Kipindi kanumba yupo hai bongo movie ndo industry iliyokuwa inauza...
4 Reactions
23 Replies
5K Views
Soko la muziki barani Afrika limekua sana kwa sasa, haishangazi kuona wasanii mbalimbali wakipishana kwenye majukwaa makubwa duniani kote kufanya show zinazowaingizia kipato. Kuna wasanii wengi...
2 Reactions
75 Replies
15K Views
1. Nahreel 2. Mr. T touch 3. Manecky 4. Imma The Boy 5. Marco Chali
4 Reactions
100 Replies
24K Views
Hili ni jukwaa la celebrity numeleta kidogo mjadala wa demu yupi wa star wa kibongo ni mkali zaidi. Kwa upande wangu namuona mke wa Kiba, Bi Amina Khaled a.k.a Mrs Ali kiba ana ngozi nzuri tena...
3 Reactions
42 Replies
7K Views
Hatimaye msanii na mwanamuziki Ali Saleh Kiba amekuwa director (mkurugenzi) wa kampuni ya kusimamia mziki Afrika Rockstar 4000 na Rockstar television. Ali kapewa nafasi ya uongozi huo baada ya...
5 Reactions
29 Replies
12K Views
Nimemsikia sehemu leo akitaja mwaka.alio zaliwa. Anasema amezaliwa tarehe 27 mwezi wa 10 mwaka 1939. Mzee Mkapa anamzidi Bi Hindu mwaka.mmoja tu!!!! She is eleven years older then my father and...
9 Reactions
105 Replies
20K Views
Katika hali isiyokuwa ya kawaida aliyekuwa msanii namba mbili WCB na nchini Tanzania kwa ujumla bwana Harmonize ameendelea kutudhihirishia kuwa kuna nguvu ya ushawishi mitandaoni imepungua katika...
3 Reactions
61 Replies
12K Views
Nipo uku mkoani mlioko jangwani tupieni hata vipicha
6 Reactions
351 Replies
54K Views
Habari zenu jukwaa la celebrity. Tujuzane bila upendeleo ni binti au demu gani hapa Tanzania amefanikiwa pakubwa kwa kazi zake kuinuka kimaisha yeye binafsi au hata kuwainua ndugu zake. Kipato...
1 Reactions
168 Replies
19K Views
Mwanamuziki wa Jazz na mpiga Saxophone kutoka Cameroon, Emmanuel N'Djoke Dibango (86) maarufu ‘Manu Dibango’, amefariki leo asubuhi akiwa jijini Paris baada ya kupata maambuzi Covid 19...
1 Reactions
24 Replies
6K Views
April 4, 2020 CORONA : WASANII WAUNGANA STUDIO KWA MARCO CHALI KUTOA NYIMBO YA KUELIMISHA JAMII Wanamuziki wakongwe wameamua kuingia studio ili kutengeneza wimbo maalum kuelimisha umma juu...
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari njema kwa wapenda maendeleo. Maendeleo hayana Team kwa sauti ya Magufuli. Habari njema ni kwamba kijana anae liwakilisha Taifa letu katika Tasnia ya muziki kajiandikia historia ya kuwa...
8 Reactions
106 Replies
20K Views
Aisee nawaonea huruma Sana wasanii wanaotegemea kuendesha maisha yao kupitia show Corona kachafua Hali ya hewa.
0 Reactions
41 Replies
5K Views
Ila walijuaga wenyewe kuja kwa mikwara, mashauzi mengi, kiingereza kama chote, kujifanya show Yao ni ya kzungu tu , sasa wangeendelea na hiyo slogan Yao , wangeishia kumhoji Vanessa mdee pekee na...
6 Reactions
20 Replies
5K Views
Description Andrew Jack was a British dialect coach and actor from London who had worked on over 80 motion pictures since 1982. Born: 28 January 1944, London Died: 31 March 2020, Surrey Spouse...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Huyu mtoto ana sauti moja mashalaah , tena ya kibabe na mi mrembo kweli kweli, naskia Mbosso anatafuna pale, kwa mara ya Kwanza namuonea wivu Mbosso aisee. Namkubali Sana huyu bi_dada popote...
3 Reactions
50 Replies
12K Views
Wakuu niwe mkweli tu huyu kijana mziki anaweza sijawahi pata ona.. Ule uwezo wake wa kunata na beat yoyote kwa melody ile ile bila kushuka.. Ni kipaji tosha.. Sasa kwanini basi anakuwa...
2 Reactions
52 Replies
5K Views
Wakuu kwa kipindi kirefu nimekuwa nikimfuatilia huyu Mrs Janjaro ili nijue chanzo chake cha mapato ni nini haswaa maana nimemfuatilia weeee nimeambulia patupu nimeona nije kuwashirikisha humu...
6 Reactions
134 Replies
36K Views
Habari za kazi waungwana!!! Huu ni mwaka wa uchaguzi mwaka huu unaweza ukawa neema pia kwa wasanii wetu mfano 1. Diamond WCB anaweza? Jimbo gani 2.Harmonize Konde boy jimbo gani? 3.Ally s...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Leo nimemkumbuka tu huyu dada, nilikuwa napenda sana kumuangalia enzi zile. Hivi yupo wapi Siku hizi? aliacha kazi Star TV?Mwenye kufahamu anijuze tafadhali. Dah! Star TV mmeondoa watangazaji...
0 Reactions
21 Replies
10K Views
Back
Top Bottom