Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Wasalaam Ndugu zangu, I hope mko salama. Huu uzi sitaandika kwa Ngareroo slangs maana nna jambo la muhimu la ku'share nanyi, hii ni kutokana na watu wengi hasa wale wasio wa Arusha kutoielewa...
2 Reactions
29 Replies
12K Views
By Sangu Joseph Kwa mara nyingine tena naomba nimzungumzie Bwana Konde Boy (Harmonize), lengo la kuchambua hili ni kuchagiza tu kwenye game ya BongoFleva, si kumkosoa mtu yeyote Ila tunamchambua...
2 Reactions
29 Replies
7K Views
Habarini! Poleni kwa mtikisiko huu wa korona na Mwenyezi Mungu atuepushe, amina! tuendelee kuchukua hatua stahiki tafadhali! leo ni siku ya 3 kama sikosei nyimbo ya alikiba inatrend namba 01...
32 Reactions
175 Replies
17K Views
Nimeisikiliza collable ya Zuchu na Mbosso kwenye wimbo marahaba, aisee kazi nzuri Sana, Mbosso kamtendea haki Zuchu
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Bongo land hii pametokea watu ambao walikuwa wasanii ambao pia walikuwa na sauti nzito kweli kweli kwenye kurap, wengine walikuwa wanajifanyisha, wengine ni za kwao za asili, je kati ya hawa nani...
0 Reactions
31 Replies
5K Views
Mashabiki wa Ali kiba msinichukulie vibaya Mi pia Ni shabiki kindakindaki wa Ali kiba Kwa muda mrefu nimekuwa nikifatilia interviews za Ali kiba Mwanzo nilihisi jamaa ana mashauzi na kujiona...
1 Reactions
62 Replies
7K Views
Miongoni mwa mademu ambao napata sana uchu wa mapenzi kila nikiwatazama ni huyu mwanadada Rashida Wanjara ambaye aliwahi kuwa miss Mara mwaka 2000 pia alikuwa Miss TZ ambapo alishika nafasi ya...
0 Reactions
130 Replies
33K Views
Msanii mpya wa kike wa WCB leo atazindua EP yake baada ya kutoa single song yake ya "Wana" ambayo Hadi sasa Ina viewers million 1+ kwa siku 2 Pekee nakuwa msanii wa kwanza wa kike ambayo ngoma...
5 Reactions
131 Replies
13K Views
Faith Evans alikuwa mke wa rapa Notorious BIG ambaye alitambulika kuwa hasimu wa Tupac Shakur. Hamisa Mobetto alikuwa mpenzi na aliishi kinyumba na Diamond Platnumz ambaye inafahamika ni hasimu...
5 Reactions
11 Replies
3K Views
Amepata mke wa kizungu ambaye yuko siriazi na penzi na ambaye anamsapoti sana kwenye kazi zake za muziki, ikiwemo suala zima la kifedha. Kijana anaamua kumuumiza mkewe kwa kurekodi wimbo wa...
2 Reactions
18 Replies
2K Views
Nilikuwa napitia taarifa za msanii Nandy, japo kuweza kujua wasifu wake. Nilipofika hiki kipengele nilishindwa kukielewa kwa kweli. Maana hapa zinazungumziwa controversies za Nandy Ila maelezo ni...
4 Reactions
27 Replies
6K Views
Wana jf. Miaka ya nyuma kulikuwepo waburudushaji mmoja mmoja kwa wakati wake, lakini hatuwezi kuacha kuwakumbuka King Jibinso na Small Jobinso, wakati wakijiaanda kuingia jukwaani, huku nyuma...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kuna wimbo yake inaitwa Niko Poa (Barua) na nyingine inaitwa Furahia. Huyu jamaa nilikuwa namkubalia sana na mwenzake Jua Cali. Sijui siku hizi wapo wapi? Kwenye wimbo wake wa NIPO POA kuna...
6 Reactions
34 Replies
6K Views
Naibu Waziri Mhe.Juliana Shonza ametoa mwezi mmoja kwa uongozi wa Kampuni ya Benchmark Production inayoendesha mashindano ya kusaka vipaji kwa wasanii wa muziki maarufu kama Bongo Star Search...
23 Reactions
204 Replies
33K Views
T-Motion ilianza rasmi katikati ya mwaka 2014 ikiwa na idara mbili 1) Music audio ikiitwa Tumanyene records 2) Video production ikiitwa T-Motion films works. Baadaye katikati ya mwaka 2015...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Jina halisi: Nasibu Abdul. Umri: 30 years. Mtanzania maarufu zaidi huko duniani. Kijana mpambanaji zaidi katika historia ya tanzania. Mtanzania anaefuatiliwa zaid dunian kupitia platform na...
9 Reactions
17 Replies
3K Views
ile Show maarufu ya UniTalent imepata Tunzo kubwa duniani katika tasnia. Tunawashukuru waanzilishi wa show hii ikiwemo Madam Ndauka, Dr. TID. Pamoja tunaweza
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Muziki ni industry pana san ambayo imekusanya kila aina ya wasanii wenye vipaj na wenye juhudi pia lengo kuu likiwa ni kumlenga mlaji(msikilizaj). Pia mziki ni biashara pana ambayo inamuhitaj...
4 Reactions
24 Replies
5K Views
Naona Wcb Mnaendeleza roho mbaya Fanyeni mziki, Mmemshindwa king kwenye ndumba, Mmeamua kuwekeza kwenye Upande wa IT
2 Reactions
139 Replies
14K Views
Mjadala mkali umezuka mitandaoni kuhusu tabia ya Kobe Bryant kum-kiss mdomoni hadharani mwanae wa kike, Gianna. Je, Kobe alikuwa sahihi kumfanyia hivi mwanae? Wawili hawa wamefariki dunia kwenye...
0 Reactions
68 Replies
11K Views
Back
Top Bottom