Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Peter Msechu amefanyiwa matibabu ya kuweka puto tumboni ili kupunguza uzito na unene inayoendelea kutolewa katika hospitali ya Mloganzila. Peter Msechu amefunguka machache kuhusiana na changamoto...
39 Reactions
132 Replies
14K Views
Mimi naonaga tu ana maneno mengi lakini sioni uchekeshaji wowote. Yupo kama Kevin Hart, umachachari mwingi lakini content hamna. Sasa hapa lengo lilikuwa kuchekesha, japo kazingua hapo kuingiza...
12 Reactions
122 Replies
9K Views
Nawasalimu wanajukwaa wa Jf, kwa wale waliosonga kiumri nawapa shikamoo, kwa wengine ambao sijui rika zenu salamu zangu ziwafikie. Leo wakati nimetulia nilipata bahati ya kusikiliza oldies, kwa...
20 Reactions
46 Replies
4K Views
1. Haji Manara 2. Mch. Rich Bilionea 3. Mwijaku 4. Baba levo 5. Mandonga 6. Steve Nyerere Mtu anayejua kuongea hata kama ni pumba ana nafasi nzuri ya kufanikiwa kuliko wale graduates wa vyuo vya...
20 Reactions
53 Replies
4K Views
Kila mtu hupata wa kufanana nae ukiona hamfanani jua sio wako kama simon na na demu wake wote wanapenda nyoka Nan anapenda kuangalia hiki kipindi tujuane japo siwapendi nyoka
4 Reactions
9 Replies
963 Views
Jana nilicheki ile video yake ya Zuwena, Diamond Platnumz anaweza kiukweli sio kuimba tu Diamond ni muigizaji mzuri tu tena mbunifu saana. Kama kuna watu ambao wako karibu naye wa mshauri afanye...
9 Reactions
36 Replies
3K Views
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi leo tarehe: 04 Februari. 2023 ametembelewa na Msanii wa Kizazi kipya kutoka Wasafi, Mboso (Mbwana Yussuf Kilungi)...
3 Reactions
17 Replies
2K Views
Najua wengi tayari tunawajua kina Diamond na Sugu, nisingependa kuwaweka hapa maana hawa wapo levo za ma ivestor na mega business owners, washapita stage za kuhaso, kwa sasa wanaweka chao aidha...
9 Reactions
48 Replies
4K Views
Wakuu, mnakumbuka ile pisi kali nene, ina umbo zuri alilorithishwa na mama yake, slay queen wa Instagram bibi Sanchi ama Sanchoka? Basi bibie huyu kumbe alibadili dini baada ya kuolewa na Alhaj...
25 Reactions
68 Replies
16K Views
Habari za muda huu jf members , Poleni na Covid19's fever Let's us Go back to our topic. Katika Sanaa huwa ni nadra Sana kutokea wasanii wawili au zaidi kuwa na aina moja ya Sanaa ambayo...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Hii tribulation imekua kama onyo kwa wasanii wabana pua wote. Nadhani ule ubishi wa nani anafaa kupewa crown ya Hip-pop umeisha hakuna cha Young lunya wala young nani, hakuna anaeweza kubattle na...
17 Reactions
107 Replies
6K Views
mwanamuziki wa siku nyingi wa hip pop balozi dola soul kahojiwa jana na kituo cha tv cha DIZZIM TV,amesema ametoa nyimbo mpya iitwayo kombora na ni audio pia amewaasa wana muziki wa kitanzania...
3 Reactions
37 Replies
8K Views
Msanii Zuchu ni miongoni mwa wasanii ambao wamesajili katika lebo ya WCB inayomilikiwa na staa wa bongo Diamond Platnumz. Baada ya kujiunga na lebo hiyo Zuchu ameonekana akiinuka kutoka kiwango...
16 Reactions
88 Replies
16K Views
Yule mtumishi wa Mungu bwn Munishi ameweka wazi juu ya issue yake ya kurudisha gari alilopewa kama zawadi na "Nabii" wa Arusha. Mapema week hii Munishi alikuja hadharani na kuongea kimafumbo...
5 Reactions
22 Replies
3K Views
- Longido moja hiyo.... - Halafu huyu mama nilijua atakufa... Badala yake mtoto ndio kachomwa knife... - Kikao cha mirathi kijijini Engikaret Longido... - Kuna wadau wanaponda eti...
7 Reactions
15 Replies
2K Views
Huyu ni mwanasiasa ambaye kwangu Mimi ana sifa karibu zote za mtu kuwa Rais. Haidhuru ningekuwa mzungu ningesema, He is potentially presidential material. Ana maono( vision) kiu ya kufanya mambo...
8 Reactions
47 Replies
3K Views
Najua Jf umu kuna watu wa kila aina, wengi wa habari wa mbea nk naomba mtueleze mnaofahamu. Uyu Dj anae treand na Video zake akipiga miruzi, mara Anasema Friday. Mwishoni mwa mwaka huu...
6 Reactions
48 Replies
8K Views
Mrembo matata nchini ambaye ni tajiri na ana connection na mamilionea wengi wa uingereza na marekani, sasa amepanga kuwekeza kwenye strippers club ili watu wapate burudani. Awali inasemekana...
4 Reactions
56 Replies
5K Views
Well,kama kama heading inavyojieleza..nadhani SI mimi peke yangu anaedhani kua Kendrick Lamar ha deserve hype anayopata,..jamaa WA kawaida Sana..TENA SANA..for the first time namskiza jamaa...
6 Reactions
251 Replies
25K Views
PHIL COLLINS IS 72 TODAY Golden Oldies is wishing English Singer, songwriter, multi-instrumentalist, and actor Philip David Charles "Phil" Collins a happy birthday today (born 30 January 1951)...
20 Reactions
27 Replies
2K Views
Back
Top Bottom