Balozi Dola soul atoa nyimbo mpya

bushland

JF-Expert Member
Mar 6, 2015
7,016
4,961
mwanamuziki wa siku nyingi wa hip pop balozi dola soul kahojiwa jana na kituo cha tv cha DIZZIM TV,amesema ametoa nyimbo mpya iitwayo kombora na ni audio pia amewaasa wana muziki wa kitanzania kurekodi nyimbo zao ndani ya nchi kwani kuna sehemu nyingi tu na nzuri za kurekodia kama vile mbuga za wanyama nk,

dola soul ameeleza changamoto walizokuwa wakikutana nazo kipindi cha mwanzo kabisa wakati bongo fleva inaanza ikiwa ni pamoja na wazee wa kipindi hicho kuuona kama ni muziki wa kihuni na kwamba wao ndio waanzilishi haswa wa muziki huu wa kizazi kipya ambapo mike Muhagama aliipa jina la bongo fleva enzi hizo akiwa redio one

anaendelea kusema kuwa wamarekani wanapenda kuona video za mwanamuziki kutoka sehemu husika na mazingira halisi na sio mwanamuziki anatoka Tanzania video anashuti south africa.

amesema kwa sasa makazi yake yapo chicago nchini marekani na anafanya kazi huko kwa sasa ana familia ya mke na watoto wawili, ana degree ya maswala ya technology kutoka katika chuo kikuu huko newyork
 
mwanamuziki wa siku nyingi wa hip pop balozi dola soul kahojiwa jana na kituo cha tv cha DIZZIM TV,amesema ametoa nyimbo mpya iitwayo kombora na ni audio pia amewaasa wana muziki wa kitanzania kurekodi nyimbo zao ndani ya nchi kwani kuna sehemu nyingi tu na nzuri za kurekodia kama vile mbuga za wanyama nk,

dola soul ameeleza changamoto walizokuwa wakikutana nazo kipindi cha mwanzo kabisa wakati bongo fleva inaanza ikiwa ni pamoja na wazee wa kipindi hicho kuuona kama ni muziki wa kihuni na kwamba wao ndio waanzilishi haswa wa muziki huu wa kizazi kipya ambapo mike Muhagama aliipa jina la bongo fleva enzi hizo akiwa redio one

anaendelea kusema kuwa wamarekani wanapenda kuona video za mwanamuziki kutoka sehemu husika na mazingira halisi na sio mwanamuziki anatoka Tanzania video anashuti south africa.

amesema kwa sasa makazi yake yapo chicago nchini marekani na anafanya kazi huko kwa sasa ana familia ya mke na watoto wawili, ana degree ya maswala ya technology kutoka katika chuo kikuu huko newyork
Ametoa Wimbo na si Nyimbo.
 
dah,wimbo mmoja tena..ati kwenye chati!!..umeanza kumfuatilia lini!!?..tunamsikia toka'ntakuchanja chale kama makonde mmakonde..ukileta kuleta chelea pina,sijui nininini zari zarinaa'..nafikiri alikuaga dpt
Nimesema wimbo uliomtambulisha kwenye ramani ya muziki hata diamond kabla hajajulikana alitoa nyimbo kama mbili tatu lakini alikuwa hajulikani mpaka alivyotoa "Nenda Kamwambie" ndio iliyomtoa.
 
mwanamuziki wa siku nyingi wa hip pop balozi dola soul kahojiwa jana na kituo cha tv cha DIZZIM TV,amesema ametoa nyimbo mpya iitwayo kombora na ni audio pia amewaasa wana muziki wa kitanzania kurekodi nyimbo zao ndani ya nchi kwani kuna sehemu nyingi tu na nzuri za kurekodia kama vile mbuga za wanyama nk,

dola soul ameeleza changamoto walizokuwa wakikutana nazo kipindi cha mwanzo kabisa wakati bongo fleva inaanza ikiwa ni pamoja na wazee wa kipindi hicho kuuona kama ni muziki wa kihuni na kwamba wao ndio waanzilishi haswa wa muziki huu wa kizazi kipya ambapo mike Muhagama aliipa jina la bongo fleva enzi hizo akiwa redio one

anaendelea kusema kuwa wamarekani wanapenda kuona video za mwanamuziki kutoka sehemu husika na mazingira halisi na sio mwanamuziki anatoka Tanzania video anashuti south africa.

amesema kwa sasa makazi yake yapo chicago nchini marekani na anafanya kazi huko kwa sasa ana familia ya mke na watoto wawili, ana degree ya maswala ya technology kutoka katika chuo kikuu huko newyork
Mwambieni kwamba muziki wa bongo sasa hivi umeshikwa na wenyewe WCB.....
 
Nimesema wimbo uliomtambulisha kwenye ramani ya muziki hata diamond kabla hajajulikana alitoa nyimbo kama mbili tatu lakini alikuwa hajulikani mpaka alivyotoa "Nenda Kamwambie" ndio iliyomtoa.
si tunamjua toka miaka ya 90,we ulikua wapi!?..huo ulimwengu wa muziki unaousema ni upi?..sugu albamu zake zote atamshirikisha dola soul karibu nyimbo zote,walikua na kundi lao linaitwwa dpt(diplomats)..ndomana nakushangaa
 
si tunamjua toka miaka ya 90,we ulikua wapi!?..huo ulimwengu wa muziki unaousema ni upi?..sugu albamu zake zote atamshirikisha dola soul karibu nyimbo zote,walikua na kundi lao linaitwwa dpt(diplomats)..ndomana nakushangaa
Elewa wewe inaonekana mwalimu wako alipata tabu sana kukufundisha,unaelewa maana ya "Hit Song" kwani wewe unajua wimbo uliompa "Mileage" Sugu? Hivi Unajua HBC ilianzishwa lini na unajua wimbo uliowatambulisha kwenye ramani HBC? Sizungumzii kumjua wewe au watu wawili ghetto kwenu,mie nazungumzia kutoa wimbo ambao hado watoto wa miaka mitatu wanauimba,sasa hizo nyimbo zako za DolaSo kabla ya "Kwenye Chati" zilikuwa na Airtime hiyo?
 
Elewa wewe inaonekana mwalimu wako alipata tabu sana kukufundisha,unaelewa maana ya "Hit Song" kwani wewe unajua wimbo uliompa "Mileage" Sugu? Hivi Unajua HBC ilianzishwa lini na unajua wimbo uliowatambulisha kwenye ramani HBC? Sizungumzii kumjua wewe au watu wawili ghetto kwenu,mie nazungumzia kutoa wimbo ambao hado watoto wa miaka mitatu wanauimba,sasa hizo nyimbo zako za DolaSo kabla ya "Kwenye Chati" zilikuwa na Airtime hiyo?
sasa hapa mgumu kuelewa nani kati yetu!?..wimbo wa sugu ndani ya bongo au siku yangu au kwa penzi ulipata airtime wapi na siku hizo hapakuwepo radio za fm!?..lakini wenyewe tunazijua na tulikua tukirekodiana tapes..kipindi hicho labda ulikua bize na yondo sister na loketo..hata pengine radio ya mkulima haikuwepo kwenu
 
sasa hapa mgumu kuelewa nani kati yetu!?..wimbo wa sugu ndani ya bongo au siku yangu au kwa penzi ulipata airtime wapi na siku hizo hapakuwepo radio za fm!?..lakini wenyewe tunazijua na tulikua tukirekodiana tapes..kipindi hicho labda ulikua bize na yondo sister na loketo..hata pengine radio ya mkulima haikuwepo kwenu

Sawa Mkuu kama upo kwa ajili ya kubishana endelea na ubishi,mtu unakiri mwenyewe kwamba zamani kulikuwa na changamoto ya kusikika kazi za wasanii halafu tunakwambia wasanii hao zamani hata kama walikuwa wanatoa nyimbo hazikuwa na mileage huku mitaani kwahiyo walikuwa wanasikiliza watu wachache tu,hao Dimplomats,KU kazi zao nilikuwa nazisikiliza kwenye "Walk Man" kwa watoto wa Upanga 90's.
 
Sawa Mkuu kama upo kwa ajili ya kubishana endelea na ubishi,mtu unakiri mwenyewe kwamba zamani kulikuwa na changamoto ya kusikika kazi za wasanii halafu tunakwambia wasanii hao zamani hata kama walikuwa wanatoa nyimbo hazikuwa na mileage huku mitaani kwahiyo walikuwa wanasikiliza watu wachache tu,hao Dimplomats,KU kazi zao nilikuwa nazisikiliza kwenye "Walk Man" kwa watoto wa Upanga 90's.
umekimbilia mbali umesahau ulipotoka..ulidai dola soul anamjua nani!?..ndomana nakuelewesha kwamba sugu kavuma kabla ya redio za fm kuwapo..hajavuma mwaka 2000+ kama unavojua wewe..ana albam inaitwa ' king kong'
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom