Kupitia Ukurasa wa Instagram (Insta-Story) Wa Star Muziki Africa Na C.E.O Wa Label Ya "WCB Wasafi" SIMBA [emoji881] diamondplatnumz [emoji881] Ame-Share Picha Iliyoonesha Mkataba Kwa Ufupi...
Kiukweli vyeo vya elimu na taaluma vimekosa hadhi ndio maana kila mtu anajipa prof,dokta,mwalimu na mambo kibao.
Mara yangu ya kwanza kumjua dokta mwaka ilikuwa 2011 nilipopanga na ndipo ukweni...
Huu mtandao tumeuvamia kwa mbele hasa kwa wasanii wetu wa afrika specifically hapa bongo.
Tunawafaidisha zaidi wao kuliko tunavyofaidika sisi. Yani msanii unajitapa video yangu ipo namba 1...
Naandaa uzi maalumu kwaajiri ya wapenzi wa muvi kali za hawa jamaa wa hip hop jina tajwa hapo juu wanaopatikana You tube
................................................................
Hii ndiyo my Summary ya ALICHOKISEMA Mke wa zamani wa Haji Manara leo na Press yake:
1. Sina mpango wa Kuolewa kwa sasa.
2. Sina Mahusiano na Harmonize, ni Rafiki Yangu tu,
3. Story zote za...
Kuna tetesi kwamba mke mdogo wa Haji Manara alimtoroka Haji Manara usiku akaenda kulala 5star Hotel.
Je Haji anachapiwa?
Ndio shida ya kuanika wake zako mitandaoni na kuwaleta mbele ya midume...
Mkuu,
Lemutuz aisee mungu akuwekee sana msaada wako unaotoa kwa jamii hautaweza kusahaulika unafanya mambo makubwa sana kwenye japo watu wengi hawauoni au ni husuda za watu wenye vijiba vya roho...
Kama msela una kijasho basi watoto wazuri kama Tanasha utawala kwa macho. Wanapenda wanaume wasafi wanaonukia vizuri.
Kama una kikwapa tafuta wa kufanana nae.
Rayvanny unadaiwa na WCB Wasafi lebo iliyokutoa na kukupa mtaji wa jina lako. Mpaka sasa unarukaruka tuuu unafikiri utaondoka na biashara ya watu bure bure. Kiufupi usipolipa utaendelea kuwa...
Bosi wa WCB Naseeb Abdul Juma almaarufu Diamond Platnumz amejipatia mnyama aina ya nyoka wa kuweka nyumbani.
Katika tangazo lake kwenye Instagram, mwanamuziki huyo alibainisha kuwa siku zote...
Mungu amemchukua mapema sana msanii H Mbizo alitamba na wimbo wake wa Nilonge Nisilonge
Account ya instagram ya msanii riyama ally imeandika
==============
Msanii wa muziki wa kizazi kipya...
Wakuu,
Naona trend ya matukio makubwa ya muziki ya wasanii wengi wanaofanya vizuri zama hizi hasa wanapozindua albums zao wanafanikiwa kufanya matukio makubwa lakini weakness kubwa ni wengi...
Wakuu
Huko Millard Ayo karipoti kuwa jamaa mke wake wa South Africa anadai talaka na toka mwaka jana hawako pamoja, sasa yule alitufanya wanaume tuonekane hatuna mapenzi na wake zetu kumbe nae...
Habari za Jioni.
Kuna clips zinasambaa mtandaoni zinazohusiana na kipindi kipya cha Wasafi Fm na Tv walichoanzisha chenye jina la Best Presenter.
Hili shindano lina mapungufu mengi sana naomba...
1. Martin Kadinda
Ni mwanamitindo maarufu apa bongo, na anayefanya vizuri kwenye tasnia hiyo, pia ni manager wa wema sepetu. Huyu amekuwa akipiga picha na warembo tofauti tofauti , ila haijawahi...
Jamani wanajamvi nisaidieni mwenye taarifa kuhusu alipo Basila Mwanukuzi, yule demu aliyewahi kushinda Miss Tanzania miaka ya tisini mwishoni yuko wapi kwa sasa na anafanya nini???
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.