Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Lejendari wa muziki wa Reggae Bunny Wailer, ambaye ni miongoni mwa waasisi wa kikundi maarufu cha Reggae kiitwacho Wailers, ambacho kilimuinua Bob Marley kwenye hadhi mziki wa ulimwengu, amefariki...
9 Reactions
65 Replies
9K Views
Kwa namna scene za matukio vilivyopangiliwa kwenye wimbo wa Yatapita, now Diamond anaweza ku switch kunako kiwanda cha Bongo movie na akafanya vizuri zaid na kuinua tathinia hiyo kimataifa zaidi...
7 Reactions
45 Replies
2K Views
Toka post yako ya mwisho nov 2022 umepoa sana tumemiss harakati zako.. mwenye anajua aliko atujuze huyu cerebrity.
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Tusipoteze muda na salamu Kwanza kabisa naomba sana habari za kusoma halafu unaanza kulinganisha na marehemu kwenye uandishi sipendi, kama uko hapa celeb kulinganisha mtu na marehemu unakwama...
7 Reactions
202 Replies
22K Views
Inasikitisha sana kale katoto kalikojizoelea umaruufu kwa kuimba nyimbo za injili gospel akiwa mdogo miaka ya 2012 jotta ameweza kujibadilisha jinsia na kuwa mwanamke. ALIZALIWA JIJINI JOSÉ...
8 Reactions
175 Replies
15K Views
Anzisheni Platform Zenu , Mzitangaze Sana Kwenze Page Zenu Za Social Media . Tufanye Diamond Utapata Fans Waelewa Hata Milion 2 Katika Fans Wako Karibu Milion 20 Kwa Page Yako Ya Instagram Na...
7 Reactions
58 Replies
5K Views
Wakuu Nimefanya utafiti sana wa jambo hili ningependa kuweka kwa ufupi tu historia ya Disco Tanzania. Wakuu Richie Dillon alianza u’DJ 1984 Mwanza Alshars Tikkha Disco ndiyo DJ wa kwanza bongo...
13 Reactions
31 Replies
4K Views
Nimeskiliza wimbo wa Champion wa FireBoy DML & D Smoke, kuanzia beat, melody na kila kitu ni kama Champion wa Kontawa, hivi wasanii wetu wanafeli wapi?
3 Reactions
18 Replies
4K Views
Itoshe kusema wewe unajua na usikate tamaa tunategemea nyimbo nyingi nzuri mwaka huu Mungu akulinde sana
6 Reactions
31 Replies
5K Views
Ndo hivyo! Sijazaliwa kipindi hicho, lakini haki ya nani huu wimbo huwa sichoki kuusikiliza. Waheshimiwa mliokuwepo kipindi unatoka naomba mnipatie picha tu la vibe Lake lilikuaje maana hiki kibao...
4 Reactions
23 Replies
2K Views
Vanny Boy mtu mbadi kuwa makini..!! Babalevo ni chawa na lichawa haliwezi kufanya jambo bila ruhusa ya Boss (Diamond)! Tuanzie hapa! Unakumbuka jinsi alivyokusumbua kufanya video ya ngoma ya...
4 Reactions
18 Replies
3K Views
Dokta mwaka ulikosea sana mambo yako kuweka kwenye media ulivojitamba unawamudu wake zako mpaka kutuambia mnalala kitanda kimoja wake watatu. Sasa leo siri zako zitatue kwenye media ndio ulipojiweka.
7 Reactions
21 Replies
2K Views
Umuofia Kwenu wana JF, Mwana hiphop David Jude Jolicoeur alias Trugoy ambaye alikuwa member wa kundi la Hip hop De La Soul amefariki dunia usiku wa kuamkia leo. Kundi la De la soul ambalo...
2 Reactions
15 Replies
2K Views
Rapa, Mtayarishaji Muziki na Mfanyabiashara Pharrell anachukua nafasi iliyoachwa na Mbunifu wa Mavazi, Virgil Abloh aliyefariki dunia November 28, 2021 baada ya kuugua Saratani kwa miaka 7. Kwa...
2 Reactions
10 Replies
2K Views
Kwema wakuu? Naulizi msanii hapo juu yupo wapi siku hizi maana sijamsikia kitambo? Mwenye taarifa zake aweke hapa.
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Leo ni sherehe ya harusi ya Haji manara, inarushwa live azam tv sinema zetu.naona vigogo kama wote. Namuona le mbebez anakapila kapila macho tu...na wewe uoe babu. Uzi tayari
9 Reactions
201 Replies
31K Views
Mbunge CCM Babu Tale amekiri kuwa yeye huwa anavaa Underwear japo hawez kufua. Hii ndio dizaini ya wabunge wa CCM tulionao huku tukitegemea ndio watutungie sheria kwa uzwazwa huu
15 Reactions
93 Replies
12K Views
Mwandishi wa Vitabu na Mtabiri kutoka Nigeria, Ahunna Ejiogu Scarlet alitabiri kuhusu kifo cha Rapa AKA ambaye amefariki baada ya kupigwa Risasi jiji Durban saa chache akijandaa kusherekea...
11 Reactions
22 Replies
5K Views
Bondia amefanya hayo siku chache kabla ya pambano lake lisilo la ubingwa dhidi ya Aaron Chalmers, Februari 25, 2023 Nchini Uingereza ikiwa ni siku moja kabla ya kutimiza umri wa miaka 46. Cheni...
2 Reactions
11 Replies
2K Views
Moja ya nyimbo zake zilizokonga wahenga ni ‘Two can play that game’. Enzi hizo Janet Jackson alimpenda kweli Bobby na ni Whitney aliyebahatika kufunga ndoa na Bobby na walibarikiwa mtoto wa...
22 Reactions
62 Replies
5K Views
Back
Top Bottom