"Google wimbo huu wa Mapenzi Kitu gani au ingia YouTube halafu ataona. Nenda kwenye more Information utaona jina la Msanii aliyeimba wimbo huu imeandikwa jina la #DiamondPlatnumz. Ubunifu kama huo...
Kwanini nadhani Mwana FA na Lady Jay Dee wanapendana kimapenzi ingawa sijawahi kusikia official in the past Km hawa watu wamewahi kudate?
Nyie mnaonaje?
Au ipo kichwani kwangu tu?
Mke wa...
Wakuu, ni takribani miezi minne sasa sijaona tena machapisho mapya ya The Story Book kutoka kwa msimuliaji huyo nguli na pendwa. Vipi kwani, nini kimejiri huko jikoni?
Mwenye za ndani zozote...
DIAMOND PLATNUMZ, RAYVANNY NA ZUCHU, Watanzania Pekee Kwenye Tuzo Za Heades. Diamond amechaguliwa Kwenye Vipengere Viwili Vya Msanii Bora Wa Mwaka Africa Na Kipengere Cha Msanii Bora Afrika...
Wakuu,
Kuna vita ya trending kwa wasanii wetu wa bongo fleva.
Hivi siku za hivi karibuni Alikiba na Diamond platnumz wameonesha kabisa wako katika bifu zito za mziki katika Ku trend na...
Nakumbuka huyu Mwamba alimgusa mpaka Rais wao akatangaza siku kadhaa za maombolezo na mapumziko wakati wa kifo chake>
Madilu System collapsed on Friday, 10 August 2007.
He was taken to the...
Habari ndugu zangu,
Nakumbuka kipindi cha mwendazake,awamu ya kwanza kulikuwa na msanii aliyejulikana kama Mzalendo aliyeimba wimbo wa Nasogea Golgotta.
Nilitegemea wasanii wasimame kutetea...
Msanii maarufu wa Filamu nchini Tanzania, Wema Sepetu jana jumatano usiku aliwasili nchini Rwanda ambako alieleza kuwa ameenda kikazi kwenye Tamasha la KFM Instagram Party.
Wema Sepetu amesema...
Dah hivi hii story ya huyu Dada wa kuitwa NAKAAYA SUMARI ( Mr Politician Song) ni ya kweli? Au anaongeza na maudambwiudambwi.....
Namcheki hapa muda huu via Zamaradi tv
413
Pichani anaitwa Rikkie Valérie Kolle Mwanaume aliebadilisha Jinsia na kuwa Mwanamke.
Huyu Ndio Mshindi wa Miss Uholanzi 2023.
N.B: uzi umeandikwa kimakosa ilikua kama taarifa na sio...
Karibu kwenye mfululizo mwingine wa maandishi juu ya Hip Hop Kulture, This time tunafanya reflection ya miaka 20 ya Mr Blue ndani ya Rap Game.
For the past Two weeks, Mr Blue katokea sana kwenye...
Baada ya kuombwa kufanya collabo na msanii huyo amaye ni lead dancer wa Marioo, hatimaye moja kati ya MC's Bora kabisa wa Hip Hop Tanzania, FID Q ameamua kushiriki kwa nguvu zote katika collabo hiyo.
Aisee kumbe wabongo wana upeo mdogo sana. Yaani hiyo story ya Diva hadi dada wa taifa kaingia mkenge (siamini kama Mange na yeye kaingia mkenge nahisi na yeye yupo kwenye payrol/ kuwatoa watu...
BAADA YA AY KUONYESHA RANGE ROVER LAKE,BUKUKU NAYE ATAMKA MANENO HAYA.
Evan Bukuku ni Msanii wa Vichekesho vya Stand-up commedy akiwa na Kundi La VUVUZELA ENT.
"Kweli uchekeshaji si kazi ndogo...
Lazma tuweke ushabiki pembeni, na tushindanishe kwa haki, tuongee ukweli kati ya Amapiano aliyotoa dada Nandy unaoitwa Falling na hii Amapiano aliotoa msanii namba moja kwa mashabiki wengi Diamond...
porojo za bongo
"kaka maisha magumu hayaeleweki?
"hayaeleweki na hautayaelewa
"kwanini unasema hivyo kaka?
"kwasababu hayaeleweki
"sijakuelewa kaka unani acha mbali?
"lazima nikuache mbali sababu...
Hii ni orodha ya wanamuziki wa kiume Tanzania waliotazamwa zaidi YouTube kwa muda wote, ambapo wasanii wa Bongofleva, Diamond Platnumz na rayvanny wameongoza.
1. Diamond Platnumz 2.2B
2. Rayvanny...
Dula Makabila msanii maarufu wa Tanzania wa miondoko ya Singeli ameamua kubadilisha muonekano wake asili wa kiume na kuja na muonekano mpya wa kike akiwa amevalia wigi la kike pamoja na glasss ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.