Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

"Google wimbo huu wa Mapenzi Kitu gani au ingia YouTube halafu ataona. Nenda kwenye more Information utaona jina la Msanii aliyeimba wimbo huu imeandikwa jina la #DiamondPlatnumz. Ubunifu kama huo...
1 Reactions
37 Replies
6K Views
Kwanini nadhani Mwana FA na Lady Jay Dee wanapendana kimapenzi ingawa sijawahi kusikia official in the past Km hawa watu wamewahi kudate? Nyie mnaonaje? Au ipo kichwani kwangu tu? Mke wa...
1 Reactions
13 Replies
3K Views
Wakuu, ni takribani miezi minne sasa sijaona tena machapisho mapya ya The Story Book kutoka kwa msimuliaji huyo nguli na pendwa. Vipi kwani, nini kimejiri huko jikoni? Mwenye za ndani zozote...
14 Reactions
65 Replies
11K Views
DIAMOND PLATNUMZ, RAYVANNY NA ZUCHU, Watanzania Pekee Kwenye Tuzo Za Heades. Diamond amechaguliwa Kwenye Vipengere Viwili Vya Msanii Bora Wa Mwaka Africa Na Kipengere Cha Msanii Bora Afrika...
3 Reactions
14 Replies
2K Views
Wakuu, Kuna vita ya trending kwa wasanii wetu wa bongo fleva. Hivi siku za hivi karibuni Alikiba na Diamond platnumz wameonesha kabisa wako katika bifu zito za mziki katika Ku trend na...
3 Reactions
27 Replies
3K Views
Nakumbuka huyu Mwamba alimgusa mpaka Rais wao akatangaza siku kadhaa za maombolezo na mapumziko wakati wa kifo chake> Madilu System collapsed on Friday, 10 August 2007. He was taken to the...
6 Reactions
66 Replies
5K Views
Habari ndugu zangu, Nakumbuka kipindi cha mwendazake,awamu ya kwanza kulikuwa na msanii aliyejulikana kama Mzalendo aliyeimba wimbo wa Nasogea Golgotta. Nilitegemea wasanii wasimame kutetea...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Msanii maarufu wa Filamu nchini Tanzania, Wema Sepetu jana jumatano usiku aliwasili nchini Rwanda ambako alieleza kuwa ameenda kikazi kwenye Tamasha la KFM Instagram Party. Wema Sepetu amesema...
3 Reactions
75 Replies
10K Views
Dah hivi hii story ya huyu Dada wa kuitwa NAKAAYA SUMARI ( Mr Politician Song) ni ya kweli? Au anaongeza na maudambwiudambwi..... Namcheki hapa muda huu via Zamaradi tv 413
7 Reactions
245 Replies
30K Views
Pichani anaitwa Rikkie Valérie Kolle Mwanaume aliebadilisha Jinsia na kuwa Mwanamke. Huyu Ndio Mshindi wa Miss Uholanzi 2023. N.B: uzi umeandikwa kimakosa ilikua kama taarifa na sio...
-3 Reactions
38 Replies
3K Views
Karibu kwenye mfululizo mwingine wa maandishi juu ya Hip Hop Kulture, This time tunafanya reflection ya miaka 20 ya Mr Blue ndani ya Rap Game. For the past Two weeks, Mr Blue katokea sana kwenye...
9 Reactions
28 Replies
4K Views
Baada ya kuombwa kufanya collabo na msanii huyo amaye ni lead dancer wa Marioo, hatimaye moja kati ya MC's Bora kabisa wa Hip Hop Tanzania, FID Q ameamua kushiriki kwa nguvu zote katika collabo hiyo.
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Aisee kumbe wabongo wana upeo mdogo sana. Yaani hiyo story ya Diva hadi dada wa taifa kaingia mkenge (siamini kama Mange na yeye kaingia mkenge nahisi na yeye yupo kwenye payrol/ kuwatoa watu...
3 Reactions
13 Replies
2K Views
BAADA YA AY KUONYESHA RANGE ROVER LAKE,BUKUKU NAYE ATAMKA MANENO HAYA. Evan Bukuku ni Msanii wa Vichekesho vya Stand-up commedy akiwa na Kundi La VUVUZELA ENT. "Kweli uchekeshaji si kazi ndogo...
0 Reactions
16 Replies
5K Views
Lazma tuweke ushabiki pembeni, na tushindanishe kwa haki, tuongee ukweli kati ya Amapiano aliyotoa dada Nandy unaoitwa Falling na hii Amapiano aliotoa msanii namba moja kwa mashabiki wengi Diamond...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Mwamba kajitafuta Chino Kidd katika ubora wake, Amapiano Tanzania to Kimataifa (International).
3 Reactions
10 Replies
2K Views
porojo za bongo "kaka maisha magumu hayaeleweki? "hayaeleweki na hautayaelewa "kwanini unasema hivyo kaka? "kwasababu hayaeleweki "sijakuelewa kaka unani acha mbali? "lazima nikuache mbali sababu...
0 Reactions
2 Replies
517 Views
Hii ni orodha ya wanamuziki wa kiume Tanzania waliotazamwa zaidi YouTube kwa muda wote, ambapo wasanii wa Bongofleva, Diamond Platnumz na rayvanny wameongoza. 1. Diamond Platnumz 2.2B 2. Rayvanny...
2 Reactions
57 Replies
5K Views
Dula Makabila msanii maarufu wa Tanzania wa miondoko ya Singeli ameamua kubadilisha muonekano wake asili wa kiume na kuja na muonekano mpya wa kike akiwa amevalia wigi la kike pamoja na glasss ya...
5 Reactions
104 Replies
8K Views
Back
Top Bottom