je parle
JF-Expert Member
- Nov 28, 2018
- 1,883
- 3,620
Huyu bwana mdogo ambae ni marehemu kwa sasa amefariki mwezi huu wa tisa. Nimejaribu kufuatilia chanzo Cha kifo ila sikupata muafaka naona tu waigizaji mchwara walikuwa wakimficha mama yake kifo cha kijana wake.
Familia ya mama yake ilikuwa ikiishi buza. Na mpaka mauti yanampata jamaa alikuwa akiishi maeneo ya Airport
Wanasema jamaa kama alijitabiria kifo chake
Kwa mujibu wa maelezo pia ni kuwa hiyo siku jamaa anafariki mchana wake aliongea na mama yake pia
Ila usiku ndio alifariki hospital ya Amana.
Je, Kuna mdau yeyote ambae anajua kilichokea kwa huyu bwana mdogo ambae na yeye alikuwa na ndogo nyingi sana mbele . Moja wapo ni ya kumtoa mama yake katika maisha duni.!
Link hiyo hapo
View: https://youtu.be/b5FBrgQ-93g?si=cZbn59HpwYDUsv45
Familia ya mama yake ilikuwa ikiishi buza. Na mpaka mauti yanampata jamaa alikuwa akiishi maeneo ya Airport
Wanasema jamaa kama alijitabiria kifo chake
Kwa mujibu wa maelezo pia ni kuwa hiyo siku jamaa anafariki mchana wake aliongea na mama yake pia
Ila usiku ndio alifariki hospital ya Amana.
Je, Kuna mdau yeyote ambae anajua kilichokea kwa huyu bwana mdogo ambae na yeye alikuwa na ndogo nyingi sana mbele . Moja wapo ni ya kumtoa mama yake katika maisha duni.!
Link hiyo hapo
View: https://youtu.be/b5FBrgQ-93g?si=cZbn59HpwYDUsv45