Imeibuka sintofahamu baada ya Ray kuongea kwamba anashangaa sana watu kusema kuwa alikuwa anabebwa na Kanumba wakati ukweli ni kwamba yeye ndio alimtoa Kanumba, kiufupi Kanumba amepitia kwenye...
Rose Muhando dawa yako iko jikoni inachemka siku sio nyingi utainywa.
Huyu muimbaji Rose Muhando pamoja na kujisifu kuwa ni mcha Mungu kumbe ni mwizi. Dhambi hii uliyoifanya kwa Michael Jackson...
BUSTA Rhymes amepata maua yake kwenye Tuzo za BET 2023, ambapo alitumia muda mwingi kuyanusa.
Busta Rhymes
Rapa huyo ambaye pia ni mtunzi wa nyimbo na mtayarishaji wa rekodi alitunukiwa tuzo...
Aiseee toka mwamba amerudi Clouds dizain flan amepwaya nahisi viatu vimekua vikubwa tayari.
Naona Wale wakina Mchomvu na Kennedy the remedy kama walishaikamata show tayari
In short sioni impact...
Habari zenu
Zuchu zuchu zuchu nimekuita mara tatu kwanza naomba kupongeza content nzuri ya nyimbo ambayo inawapa hamasa ya kutafuta mafanikio kwa vijana wote kike/kiume hongera.
Kwa bahati mbaya...
Source: TBC Television.
Aliyewahi kuwa Miss Dar City centre na Miss Ilala mwaka 2003, Nargis Mohamed akiri kuwahi kuwa mpenzi wa Mtangazaji wa Clouds FM Masoud Kipanya.
Nargis ameyakiri hayo...
Salaam!!.
Leo nikiwa natazama vipindi kwenye luninga, ulichezwa wimbo wa Prof. Jay, (Joseph Haule) ambaye kwasasa ni Mbunge wa Mikumi. Wimbo ule unaitwa ZALI LA MENTALI, Kiukweli nikakumbuka...
Huyu jamaa nakumbuka nikiwa shule olevel mwaka 2009 alitesa sana na hiki kibao chake cha Sikiliza wimbo aliomshirikisha Makamua
Enzi hizo nilikuwa napenda kuisikiliza Kiss Fm....enzi za dj maliz...
Sisi Wanasheria tuna dhana moja isemayo, "writing a judgment in an art". Yaani uandishi wa hukumu ni sanaa.
Majaji wengi hasa wa zamani walikuwa wanaandika hukumu nzuri sana ambazo zinakuwa na...
Salam wakuu,
As today it's the beginning of second phase of the year, unahisi ni ngoma gani kali ya hip-hop (Tanzania) iliyofanya vizuri kupita ngoma zote kuanzia January mpaka June?
SIku chache baada ya Msanii Chino Kidd7 ambaye ni Dancer wa Nyota wa Bongo Flava, Mario kumuomba Collbo mkali wa Hip Hop, Fid-Q, leo Julai 4, 2023 mastaa hao wamekutana Studio.
Swali ni je, Fid...
Rapper Jay-Z's mother, Gloria Carter, has tied the knot with her long time partner, Roxanne Wilshire, in a star-studded wedding in New York.
Jay-Z and his celebrity wife Beyonce were among those...
Wana JF
Ukisikia mtu kushuka kunaanzaga kwa visingizio. Diamond hana hit song na zilizopo za kawaida sana. Utajiri tu ndio unambeba. Ona vijana wanavyomjibu
Nimeangalia kipindi cha Ujenzi EATV nikamuona dada mdogo kiumri akiwa tayari kashajenga nyumba tatu Kubwa jijini Dar.
Anadai yeye huwa hapendi sana starehe ila starehe yake ni kujenga nyumba...
Kwa mujibu wa Mtandao wa TMZ, Mahakama ya Rufaa ya California itaruhusu mashtaka ya Wade Robson anayedai kuwa MJ alimdhalilisha kingono katika Ranchi yake ya Neverland kuanzia akiwa na umri wa...
Nikifatilia muziki hasa Hip Hop Bongo sasa naona kuna utofauti mkubwa, yaani kama pengo vile hawa wasanii wasasa wanashindwa kufikia swhemu ya walotangulia. Hamna maudhui ya maana kwa muziki wa...
Kwenye kiwanda cha Hiphop Tumekuwa tukishuhudia vipaji vingi na uandishi mzuri wa mashairi.
Kuanzia kizazi Cha kina Tupac, rakims, jada, Jay z, eminem, Wayne na hata N.big.
👉Ambao wamekuwa...
Habari wakuu
Naomba niweke wazi hili , Mimi nafatilia sana music wa Bongo kwa ujumla tangu mwaka 2001 mpaka sasa
Napendelea zaidi Music wa Hiphop hvyo basi wasanii wengi wa hiphop bongo nimekua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.