Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Irene Uwoya baada ya kupost kumbukizi ya kifo cha aliyewahi kuwa mume wake, marehemu Hamadi Ndikumana (Katauti) mashabiki wamemjia juu na kumwambia aache unafiki maana yeye ndiye sababu ya...
3 Reactions
61 Replies
7K Views
Kwa mujibu wa @MusicbaseAfrica hawa ndo wasanii 10 waliofanya vizuri zaidi Barani Afrika Mwaka uliopita 2023 na hii ni kutokana na kazi walizo achia mwaka uliopita,Namna ngoma zao zilivyofanya...
2 Reactions
14 Replies
3K Views
Mchezaji wa timu ya taifa ya Misri, Mo Salah amejiwa juu na Waislamu baada ya kuwatakia mashabiki zake heri ya sikukuu ya Christmas. Watu wametuma maoni ya kukebei na kusema kuwa hatakiwi...
1 Reactions
30 Replies
2K Views
Hawa celebrities wetu Ni Bora umuone kwenye picha (editing) vinginevyo unaweza kuzimia aisee. Nimekutana na mshangao wa 2024.
3 Reactions
17 Replies
3K Views
Hakika "Itakapofika nusura ya Mwenyezi Mungu na ushindi, watu wataanza kuingia katika dini yake yeye makundi kwa makundi" Hatimaye bondia machachari kutoka Marekani Gervonta Davis (Tank)...
17 Reactions
181 Replies
11K Views
Mimi huwa nashabikia muziki mzuri bila kuwa na U-team kama ambavyo dhana hiyo imejengwa hapa Bongo. Mfano: Team Diamond, Team ALIKIBA, Team KONDE n.k. Mimi msanii yeyote tu akiimba ngoma kali...
4 Reactions
31 Replies
5K Views
Tulitarajia waimabji wa gospel waishi maisha ya kumpendeza Mungu (maisha ya kiuokovu). Lkn cha ajabu ni wahuni kama wahuni wengine tu. Gospel ni kichaka tu cha kufichia hulka zao za kiuasherati...
52 Reactions
395 Replies
28K Views
Mtunzi mashuhuri wa tamthilia ya Afrika Kusini, mtayarishaji na mtunzi Mbongeni Ngema amefariki katika ajali ya gari akiwa na umri wa miaka 68, familia yake ilisema. “Ngema alifariki katika ajali...
8 Reactions
41 Replies
4K Views
Anaumwa mguu amekuwa mlemavu na Sasa anatembea Kwa uhuru baada ya maombi . Angela yuko poa na soonest ataibuka na songi mpya USSR Sent from my Infinix X6511G using JamiiForums mobile app
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Mwenye kujua huyu mtangazaji alipo sasa hivi naomba anifahamishe! Kwani namkumbuka sana hasa kipindi cha kombe la dunia 2002 kule korea na japan!
0 Reactions
14 Replies
9K Views
GTs naomba kuuliza hivi huyu ndugu Kikeke a.k.a muingereza mweusi huwa hasikii joto na hilo sweta lake?? Maana kila anakoenda na li sweta lake, je anadhani bado yupo uingereza?????? Hebu atupe...
3 Reactions
45 Replies
4K Views
Rapa na Mtayarishaji Mkongwe wa Muziki wa Hip Hop, Snoop Dogg ametangaza kuacha Uvujati Sigara baada ya kukaa na kushauriana na Familia yake. --- Rapper na nyota wa hip hop Snoop Dogg ametangaza...
8 Reactions
36 Replies
3K Views
Binafsi naona hawa jamaa hawastahili kuwa kings of hip hip, vifo na media ndio vimefanya wawe overrated ila ndo kwanza walikua wanaanza kuishika game sidhani kama wangekua hai hadi leo wangekua...
8 Reactions
187 Replies
22K Views
Rick ross hitting the weight to climb the MT. Kilimanjaro next year.
3 Reactions
31 Replies
2K Views
Juzi niliandika Uzi hapa nikisema Mtoto wa kike anakuwaga mzuri sana kwa baba akiwa bado hajavunga ungo ila akisha vunja ungo anakuwa an alien to her daddy. Watoto wadogo waliniponda lakini watu...
37 Reactions
160 Replies
21K Views
Moja ya vitu vya thamani alivyopewa na CEO wa WCB Wasafi Diamond Platnumz ni cheni na pete vyenye thamani ya million 150. Mbali na hayo pia amepewa nyumba nzuri ya kuishi Mbezi Beach ni mara tu...
7 Reactions
61 Replies
6K Views
Hapa kaligraph msanii wa hip-hop toka Kenya alijinasibu nakusema yeye ni rapper mkali ndani ya East Africa na hakuna Rapa yeyote kutoka Tanzania anayeweza kumtisha. Uliibuka mjadala mkubwa...
14 Reactions
44 Replies
7K Views
Kuna wakati nataka kuamini conspiracy za kwamba Hollywood kuna figisu zinazofanywa dhidi ya Actor weusi juu ya mambo fulani fulani yanayowatokea Black actors. Btu lets keep it as a Conspiracies...
5 Reactions
21 Replies
2K Views
Katika pozi, baada ya kuaga rasmi ukapela na kuingia ktk majukumu. Hongera sana na karibu katika chama chetu cha wenye ndoa. Waswahili wanasema "ndoa ndoano".
4 Reactions
279 Replies
94K Views
Baada ya lavalava kuachia ngoma yake mpya aliyomshirikisha billnas, #beernyama#, dotto magari amakuja juu baada ya msemo wake mpya wa #hapa ipo# kutumika kwenye ngoma hiyo. Kwenye interview...
2 Reactions
37 Replies
5K Views
Back
Top Bottom