Huko nyuma, Stallone (rambo) kabla ya kuwa muigizaji alipitia wakati mgumu sana. Wakati fulani, alifulia sana hivi kwamba aliiba vito vya mke wake na kuviuza. Mambo yalikuwa mabaya sana hata...
Jamaaa anaimbaaaa aiseee 🙌🙌🙌🙌
Huu ni ushauri kwa Harmonize
1. Punguza Bangi
2. Kuwa na creativity upande wa collabo. Achana na wasanii wa hapahapa. Mtafute hata lilbaby piga nae collabo la...
Wakati muziki wa rhumba / soukous Congo unapitia mabadiliko mengi ya vionjo, moja ya vitu vilivyonogesha ni kionjo cha kurap ambacho kiliongezwa haswa wakati nyimbo ilipokuwa inakaribia kuisha...
Mjue james Hardley Chase, kipenzi cha wapenda riwaya za kusisimua, aliyehamasisha wengi kupenda utamaduni wa kusoma vitabu na ung'eng'e
Taja jia la James Hadley Chase na wahenga wenzangu wengi...
Nimekutana na kipindi kinarushwa kwenye TV, mtangazaji ni Mc Garab, Lulu Diva na wengine.
Wale washiriki wanapatikanaaje? Je, ni bure mrembo unajitokeza tu, na inakuaje mpaka wadada wazuri vile...
Kumekuwa na maneno kuwa Harmonize akishirikiana na msanii basi ni lazima amkalishe, yani Harmonize ni mbabe kwenye Collabo anazofanya na wasanii wenzake.
Kama tunavyojua Diamond ameshafanya...
Machawa wanaendelea kuneemeka kutoka kwa Matajiri nchini, angalia hapa jinsi Mwijaku na Babalevo wanavyopata pesa kiulaini.
Joti kosa lako ni kutokuwa Chawa, kama ungekuwa chawa basi nawewe...
Hakuna kujivunga, hakuna kujificha,Nandy kaamua.
Kiukweli mtumishi wa Mungu anahudumia watu wa kila aina, Nandy kesha hudumiwa na mtumishi wa Mungu, baraka zi juu yake daima.
Hongera kwake.
Akiongea na Waandishi wa habari Zailyssa amesema kuwa Mpenzi wake ameshakamilisha taratibu zote za kidini na kisheria kwaajili ya kumuoa, ikiwemo kujitambulisha nyumbani kwao na wazazi...
Haji Manara mi mwalimu wa madrassa na pia ameenda Umra, leo katika mitandao yake ya kijamii, amefananisha kufuga ndevu kwamba ni kufanana na beberu la kihutu.
Hii ni sawa ndugu zangu waislamu...
Naona madam Wema siku hizi anang'aa hatari maana kipindi cha hapo kati alikongoroka mpaka akawa anatisha, ila siku hizi naona MashaAllah hata vile vijembe vitapungua maana watu walizidi kumsema...
Ukweli unatuweka huru.
Mwijaku aamua kuwa mkweli na kusema kilicho ndani ya moyo wake.
Ghorofa lake alilojenga na kutrend mitandaoni pesa imetoka kwa Diamond Platnumz.
Hongera mwijaku kwa kuwa...
Kufuatia picha waliyopost wasanii Harmonize na Marioo kuhusu ujio wa ngoma yao mpya, ningependa kumpa tahadhari Marioo kuwa Harmonize ni mtu mbad sana kwenye ngoma za kushirikiana na huwa hana...
Kwa kawaida tushazoea kuwa kwa masilahi mapana na usalama wa Verse yako usijaribu kumtanguliza "Marioo" katika ngoma.
Pia wewe kama msanii usikubali kabisa "Harmonize" akikutanguliza katika ngoma...
Mike Tyson disclosed a peculiar incident from the late 80's when he offered $10,000 to a zookeeper to fight a Silverback gorilla.
Tyson known as "The baddest man on the planet" rented out a New...
Msanii wa vichekesho nchini Lucas Mhavile almaarufu "Joti" ameandika maneno yanayotafsirika kuwa ni kejeli kwa watu wanaojitafuta kimaisha.
Kupitia ukurasa wake Joti ameandika "Kuna umri ukifika...
Habari za uhakika kabisa zinasema gwiji la kusoma magazeti nchini aka zee la viearphones halina furaha Wasafi redio.
Kitenge yuko kwenye mazungumzo ya awali akijiandaa kuhamia EFM huku ongezeko...
ICE SPICE
Name- Isis Naija Gaston
Born - January 1, 2000/Bronx New York city.
Genres - Hiphop. Drill
Awards and Nominations.
BET HIPHOP AWARD - Best breakthrough Hiphop artist...
Ninachompendea Muna ana Tabia ya kujipendekeza kwa watu waliofanikiwa. Muna Siku hizi ka upgrade uchawa, kutoka kuwa mbeba mapochi wa wema, lulu hadi kuwa Karibu na bosslady Zari , kweli muna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.