Nimezisikiliza zote na kuangalia video zao hakika Nandy na Ali Kiba mmetoa nyimbo nzuri sana.
Pamoja na Diamond kui promote sana Mapozi kwa kutumia media zake ili kuifunika Dah! Lakini wapi.
Pia chemistry ya Kiba na Nandy ipo vema sana kwasababu wote ni wanamuziki wenye personality yenye maadili mazuri na staha kuanzia kimuonekano hadi uongeaji , tofauti na chemistry ya Mondi na Zuchu ilivyo ya kihuni/gangster kuanzi muonekano , mavazi na uongeaji.
Nandy endelea hivyohivyo kufanya Muziki wako kwa Staha na maadili, usipande jukwaani kuimba na kuonyesha vimatako na chupi kama Zuhura
So far Mondi kwa ukubwa ktk tasnia ya Muziki amefanikiwa saba kuliko wenzake.
Pamoja na Diamond kui promote sana Mapozi kwa kutumia media zake ili kuifunika Dah! Lakini wapi.
Pia chemistry ya Kiba na Nandy ipo vema sana kwasababu wote ni wanamuziki wenye personality yenye maadili mazuri na staha kuanzia kimuonekano hadi uongeaji , tofauti na chemistry ya Mondi na Zuchu ilivyo ya kihuni/gangster kuanzi muonekano , mavazi na uongeaji.
Nandy endelea hivyohivyo kufanya Muziki wako kwa Staha na maadili, usipande jukwaani kuimba na kuonyesha vimatako na chupi kama Zuhura
So far Mondi kwa ukubwa ktk tasnia ya Muziki amefanikiwa saba kuliko wenzake.