Mtayarishaji mkongwe wa muziki, Master Jay awavaa baadhi ya watu wenye tabia ya kwenda misibani na kuanza kupiga picha na ku-shoot videos kisha ku-post kwenye mitandao yao ya kijamii.
Kupitia andiko lake ameonesha kutofurahishwa na tabia hiyo kwa kuhoji; "Hivi mnaoenda kwenye misiba na kuanza kupiga picha na kushuti videos ili mposti kwenye mitandao mnajiona mko sawa??!! Kama kweli unawajali waliofiwa utaenda ukiwa na lengo moja tu, kuwafariji".
"Hayo mengine nadhani tuwaachie waandishi wa habari. let’s be respectful jamani, asanteni".
Kupitia andiko lake ameonesha kutofurahishwa na tabia hiyo kwa kuhoji; "Hivi mnaoenda kwenye misiba na kuanza kupiga picha na kushuti videos ili mposti kwenye mitandao mnajiona mko sawa??!! Kama kweli unawajali waliofiwa utaenda ukiwa na lengo moja tu, kuwafariji".
"Hayo mengine nadhani tuwaachie waandishi wa habari. let’s be respectful jamani, asanteni".