Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Unakumbuka Ile ngoma Water? 🎶Baby Sweat, Baby Water🎶 Sasa msanii ambaye ameimba ngoma hiyo yaani Tayla ameshinda tuzo Ya Grammy usiku huku akiwabwaga wasanii Wakubwa ikiwemo Davido na Burna Boy...
6 Reactions
11 Replies
2K Views
Producer wa muziki wa Bongofleva Master Jay, amesema kuwa Diamond hawezi kumfikia Alikiba kwenye uimbaji wa muziki. Akiwa anafanya mahojiano na East Africa Radio Master Jay amesema, “Alikiba ni...
3 Reactions
26 Replies
3K Views
Waswahili wanasema "Pesa ni Sabuni ya Roho" na wengine wanasema "Pesa ndio furaha ya kweli". Rapa Rick Ross amedhihirisha hilo baada ya kuvunja Mjengo wake wenye thamani ya $35M sawa na Bilioni...
2 Reactions
5 Replies
2K Views
Ni mtu gani maarufu alikuvutia zaidi na ukatamani angekuwa Mpenzi wako? Mimi ni huyu Binti wa Kifilipino Kristine Hermosa. Mtaje Crush wako nawewe..!
7 Reactions
118 Replies
7K Views
All you incredible artists remember this show isn't the fact just the opinion of a group of people who's name are kept a secret. Literally you can google it congrats to anybody winning anything...
0 Reactions
0 Replies
573 Views
Gazeti kubwa marekani la WALLSTREET JOURNAL linadai Elon Musk ameshiriki kwenye matumizi ya madawa yasiyoruhusiwa kama vile LSD, cocaine, ecstasy na psychedelic mushrooms (Magic Mushroom) hasa...
2 Reactions
17 Replies
2K Views
Before y'all scream 'free jeff' just remember when young thug was beefing with Lil Wayne back in 2015. Thugger literally tried to smoke Wayne by shooting up his bus tour, image trying to kill rap...
0 Reactions
2 Replies
605 Views
Nikabofya wimbo wa Roma, kabla haujaja ukaja wa Diamond kama content iliyolipiwa ili niitazame.. Zamani nikajua haya malipo ya youtube na kadhalika ni sehemu ya chanzo cha mapato kwa wasanii...
3 Reactions
18 Replies
2K Views
Baada ya watanzania kuonesha shauku ya kumuona bondia namba moja Africa, Hassan Mwankinyo akipanda ulingoni na local boxer Twaha Kiduku. Mwakinyo ametoa bei yake ya kupanda ulingoni sh million...
13 Reactions
68 Replies
5K Views
Carl Weathers, ambaye shughuli zake za utafutaji wa ugali zili anzia kwenye mchezo wa nfl Hadi uigizaji. Ana kumbukwa kutokana na uigizaji wake nzuri, kwenye filamu kama Creed, na Predator...
8 Reactions
57 Replies
4K Views
Hayo sio maneno yangu bali ni maneno ya Producer mkongwe wa muziki wa BongoFleva nchini Master Jay. ANGALIA VIDEO HAPA Je ni kweli Harmonize hajui kuimba kwa Lugha Kiingereza? Written by...
2 Reactions
4 Replies
669 Views
Huyu mwanamuziki nimetokea kumfahamu pale alipofunga ndoa na binti mrembo Irene Uwoya, sasa nikaanza kusikiliza nyimbo zake. Wajuvi wa mambo mnisaidie huyu huwa anaimba muziki wa aina gani? Na...
10 Reactions
150 Replies
22K Views
Tarajia Kolabo Nyingine Kali Kutoka Kwa Rapa Wa Marekani #RickRoss aka (Eric mwalyosi) (@richforever) Pamoja Na Simba [emoji881] diamondplatnumz Baada Ya "Waka Waka" Ya 2017 #RickRoss Katika IG...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Haji Manara amejibu swali aliloulizwa kuhusu mkewe kuonekana na Ujauzito mkubwa mitandaoni na ilhali wamefunga ndoa wiki chache zilizopita. Haji Manara amejibu, "Wakati mwingine unatingisha...
2 Reactions
20 Replies
2K Views
Msanii wa miondoko ya Hip Hop nchini Joh Makini, amelalamika kukosa sapoti toka kwa msanii mwenzake aliefanya nae wimbo. Joh ameandika kwenye ukurasa wake wa X, “Hii tasnia yetu bana kuna vitu...
1 Reactions
26 Replies
2K Views
Producer mkali kuwahi kutokea na Jaji wa mashindano ya kuimba Tanzania Master Jay, amesema kuwa wasanii wa Tanzania ni waburudishaji na sio waimbaji wazuri kama wasanii wa nchini Kenya. Akiwa...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Travis Scott - UTOPIA Metro boomin - HEROES & VILLAINS Drake X 21 savage - HER LOSS Killer Mike - MICHAEL Nas - KING'S DISEASE III
0 Reactions
2 Replies
552 Views
Msanii Harmonize amepost video inayomuonyesha akifanya jambo ambalo sio la kawaida kwa walio wengi. ANGALIA VIDEO HAPA Je, wewe unaweza kukunja nguo za mpenzi wako na kuzipost mtandaoni...
2 Reactions
31 Replies
3K Views
Nimeona video ya dokii YouTube alipelekwa na mzee Mengi hadi south Afrika kusomeshwa akapewa na u$d 8500 (tshs million 17) ya ada na matumizi achilia $2000(tshs milioni 4) au $4000(tshs milioni 8)...
70 Reactions
389 Replies
47K Views
Jamani wana Darisalaamu huyu mwamba wa Misungwi Dudubaya Aka Konki3 master mwanaharakati wa Instagram mnamuonaga huko? Ni takriban miaka 2 huyu mwamba hajapost chochote huko Mitandaoni wafuasi...
4 Reactions
30 Replies
4K Views
Back
Top Bottom