Awezaye kunisaidia nyimbo ya Babuu wa Kitaa

Ngonepi

JF-Expert Member
Jun 2, 2013
1,872
1,207
Waungwana baada kuhangaika kwa muda mreefu sana kutafuta nyimbo ya mwana hiphop na mtangazaji Babuu wakitaa bila mafanikio nimeona nijisalimishe jukwaa hili!!

Nyimbo inaitwa NANI ANAYEWARUSHA nadhani ni hivyo, Hakuwahi kuitolea albam kusema ningeenda kuinunua, na nimetafuta kwenye mitandao mbalimbali bila mafanikio!

Sina mawasiliano ya Babuu wa kitaa kuweza kumwomba yeye mwenyewe.
Kwa kuwa nafahamu jukwaa hili lina wajuvi wengi wa mambo ya muziki matarajio yangu ni kusaidiwa kuipata!

Nitangulize shukrani!
 
Waungwana baada kuhangaika kwa muda mreefu sana kutafuta nyimbo ya mwana hiphop na mtangazaji Babuu wakitaa bila mafanikio nimeona nijisalimishe jukwaa hili!!

Nyimbo inaitwa NANI ANAYEWARUSHA nadhani ni hivyo, Hakuwahi kuitolea albam kusema ningeenda kuinunua, na nimetafuta kwenye mitandao mbalimbali bila mafanikio!

Sina mawasiliano ya Babuu wa kitaa kuweza kumwomba yeye mwenyewe.
Kwa kuwa nafahamu jukwaa hili lina wajuvi wengi wa mambo ya muziki matarajio yangu ni kusaidiwa kuipata!

Nitangulize shukrani!
Inaitwa wakitaa mkuuu,mbona IPO hiyo..
 
Inaitwa wakitaa mkuuu,mbona IPO hiyo..
Wakitaa ni nyimbo aliyoshirikishwa na late Mangweha,
Ninayoihitaji mimi Babuu yuko peke yake na kwenye chorus ndio anauliza "Nani anayewarusha" na watoto wanaitikia "Babuu Wakitaa".
 
babu mtoto wa kitaa
babuu wa kitaa
babuu mtoto wa kitaa
superstar wa mtaa


nenda vidmate utaukuta
 
Wakitaa ni nyimbo aliyoshirikishwa na late Mangweha,
Ninayoihitaji mimi Babuu yuko peke yake na kwenye chorus ndio anauliza "Nani anayewarusha" na watoto wanaitikia "Babuu Wakitaa".
ndiyo chorus ni hiyo ila inaitwa wa kitaa,jaribu hulkshare.com
 
Waungwana baada kuhangaika kwa muda mreefu sana kutafuta nyimbo ya mwana hiphop na mtangazaji Babuu wakitaa bila mafanikio nimeona nijisalimishe jukwaa hili!!

Nyimbo inaitwa NANI ANAYEWARUSHA nadhani ni hivyo, Hakuwahi kuitolea albam kusema ningeenda kuinunua, na nimetafuta kwenye mitandao mbalimbali bila mafanikio!

Sina mawasiliano ya Babuu wa kitaa kuweza kumwomba yeye mwenyewe.
Kwa kuwa nafahamu jukwaa hili lina wajuvi wengi wa mambo ya muziki matarajio yangu ni kusaidiwa kuipata!

Nitangulize shukrani!
Nipe namba nikuwhatsapie
 
Naipenda ile ngoma, anasema"Unapita mabangaloo ndipo unapaona kwetu, yote unaona hivyo kisa hakuna nyumba ndefu,mitaa inapotea unasahau ulipotekea.KINGO'OKO.hipo hiyo mtandaoni bwana.
 
Naipenda ile ngoma, anasema"Unapita mabangaloo ndipo unapaona kwetu, yote unaona hivyo kisa hakuna nyumba ndefu,mitaa inapotea unasahau ulipotekea.KINGO'OKO.hipo hiyo mtandaoni bwana.
Nashukuru mdau mmoja amenipatia hapa hapa, nilishaitafuta sana kabla hii ngoma kwa kweli!

Humu Babuu amechana hasa, yaani HipHop ingekuwa biashara hapa Afrika na Tanzania Babuu nadhani angekuwa moja ya marapa tajiri sana!

Ila ndio hivyo aina hii ya muziki hailipi na jamaa naona kama amekata nayo tamaa na kuamua kufanya mishe zingine!!
 
Nashukuru mdau mmoja amenipatia hapa hapa, nilishaitafuta sana kabla hii ngoma kwa kweli!

Humu Babuu amechana hasa, yaani HipHop ingekuwa biashara hapa Afrika na Tanzania Babuu nadhani angekuwa moja ya marapa tajiri sana!

Ila ndio hivyo aina hii ya muziki hailipi na jamaa naona kama amekata nayo tamaa na kuamua kufanya mishe zingine!!
Weka hapa huo wimbo tuusikie na sisi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom