LavalavaNdio nani huyo mkuu wangu ,samahan lkn.
dah tutake radhi ndugu, hebu kasikikize ngoma yake mpya ya pambe tu, alichokiongea mule umekisikia?Kwa speed aliyokuja nayo mwaka uliopita basi nilitegemea atoe hit song nyingine kali kuizid beer nyama lakini wapi! Hizi nyimbo zake mbili ni mbovu na hata mixing haikufanyika kwa usahihi.
Arudi Tena studio.