Zamaradi Mketema: Watanzania tulirogwa na nani?

Mjanja M1

JF-Expert Member
Oct 7, 2018
3,660
12,306
Mtangazaji Zamaradi Mketema amechukizwa na tabia ya Watanzania kutokuwa wazalendo kwenye masuala ya kitaifa hususani kwenye mashindano yanayohusisha nchi na nchi.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram zamaradi amesema,

"Msanii wa NIGERIA akikosa tuzo ama hata kushindwa kwenye shindano lolote unayaona kabisa maumivu ya WANIGERIA, wananchi wao huumia kutoka moyoni, Njoo huku kwetu sasa, MSANII akikosa Tuzo ama shindano lolote ndio unapoishuhudia wazi kabisa FURAHA ya Watanzania, kiufupi kushindwa kwa wasanii wetu ni furaha na Vigelegele kwetu huku vicheko na maneno ya Dhihaka yakisindikiza kushindwa kwao, hivi somo la UZALENDO limekuwa Gumu kiasi hiki Tanzania!!!? WENZETU WAMEWEZAJE!!? Na sisi Tulirogwa na nani!!!??" - Mketema

Nini maoni yako?

Written by Mjanja M1 ✍️
 
Mtangazaji Zamaradi Mketema amechukizwa na tabia ya Watanzania kutokuwa wazalendo kwenye masuala ya kitaifa hususani kwenye mashindano yanayohusisha nchi na nchi.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram zamaradi amesema,

"Msanii wa NIGERIA akikosa tuzo ama hata kushindwa kwenye shindano lolote unayaona kabisa maumivu ya WANIGERIA, wananchi wao huumia kutoka moyoni, Njoo huku kwetu sasa, MSANII akikosa Tuzo ama shindano lolote ndio unapoishuhudia wazi kabisa FURAHA ya Watanzania, kiufupi kushindwa kwa wasanii wetu ni furaha na Vigelegele kwetu huku vicheko na maneno ya Dhihaka yakisindikiza kushindwa kwao, hivi somo la UZALENDO limekuwa Gumu kiasi hiki Tanzania!!!? WENZETU WAMEWEZAJE!!? Na sisi Tulirogwa na nani!!!??" - Mketema

Nini maoni yako?

Written by Mjanja M1 ✍️
Ruge alipompoteza Zamaradi alifanya jitihada ya kumtafuta na kumpigia simu ambapo kwenye simu hiyo, Ruge alisikika akimbembeleza huku akilia akimuomba Zamaradi asimuache, lakini Zamaradi akavujisha mazungumzo yao na kilio cha Ruge kwa rafiki zake au mitandaoni...Je, Zamaradi alirogwa na nani?
 
Kazi yako ikiwa nzuri watu wataipenda tu hata kama unatokea Kuzimu... Haya mambo ya kulishana Matango Pori kwa mgongo wa Uzalendo watengeneza huduma watakuwa hawamtendei haki Mlaji..., Kwenye Entertainment I want to be Entertained..., Mambo ya Uzalendo awaambie walamba asali waache kufilisi mali za vizazi vijavyo...
 
Hao wasaniii wa Nigeria sio chawa wa Serikali kandamizi ndio maana raia wako pamoja nao, hawa wasanii wetu ni wana CCm dam dam obviously badala ya kuwa neutral na kuwaunganisha wa TZ wao wameamua kuwa sehemu ya wakandamizaji. Sawa Zamaradi unashindwa kuelewa kitu simple namna hiyo??!!
 
Ruge alipompoteza Zamaradi alifanya jitihada ya kumtafuta na kumpigia simu ambapo kwenye simu hiyo, Ruge alisikika akilia akimuomba Zamaradi asimuache, lakini Zamaradi akavujisha mazungumzo yao na kilio cha Ruge kwa rafiki zake au mitandaoni...Je, Zamaradi alirogwa na nani?
Alilogwa na mbolo ya mwanaume mpya aliyekutana naye.
 
Umaskini chuki na roho ,hao wanaijeria hata kutunga nyimbo hovyo kama bongo tu ,ukitafsiri mashairi ya hovyo unakuta mtu eti anashabikia Asake yulee hata kuimba hajui.

Hapa bongo kama wote wapo against ya Diamond kama wanamchukia ila akikosa tunzo bado wanamlaumu yeye.... Tanzania ujinga ni mwingi sana wanafurahi mtu kukosa ndio hawa waliandaa petition ili mtu ashindwa eti kwa mlengo wa siasa.

Pambaneni na ujinga wenu ,kila kitu mnaleta siasa msanii nje ya kipaji chake ana haki ya kupiga kura na kuchagua chama chochote.
 
Mtangazaji Zamaradi Mketema amechukizwa na tabia ya Watanzania kutokuwa wazalendo kwenye masuala ya kitaifa hususani kwenye mashindano yanayohusisha nchi na nchi.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram zamaradi amesema,

"Msanii wa NIGERIA akikosa tuzo ama hata kushindwa kwenye shindano lolote unayaona kabisa maumivu ya WANIGERIA, wananchi wao huumia kutoka moyoni, Njoo huku kwetu sasa, MSANII akikosa Tuzo ama shindano lolote ndio unapoishuhudia wazi kabisa FURAHA ya Watanzania, kiufupi kushindwa kwa wasanii wetu ni furaha na Vigelegele kwetu huku vicheko na maneno ya Dhihaka yakisindikiza kushindwa kwao, hivi somo la UZALENDO limekuwa Gumu kiasi hiki Tanzania!!!? WENZETU WAMEWEZAJE!!? Na sisi Tulirogwa na nani!!!??" - Mketema

Nini maoni yako?

Written by Mjanja M1 ✍️
I Kwenye kila kitu

Hata mafanikio hatufurahii

Tunataka shida ili tuseme

In short our purpose for life haipo tena
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom