Ukute ni kwelii.....asitupe mtoto akomae nae tuuuu....Kwa hiyo Marioo ana miaka zaidi ya 30. Ha ha ha. Huyo mtoto apambane na hali yake. Kwanza anaonekana yuko zaidi ya 18. Eti ana miaka 14. Kufulia kazi sana.
Kwani Marioo mwenyewe anasemaje?? lol
Yupo busy na mtoto wa Kajala...Kwani Marioo mwenyewe anasemaje?? lol
Kumbe jamaa ndo anakojolea kwa Paula saiii lol!Yupo busy na mtoto wa Kajala...
Marioo ni naniNini maoni yako?
Bado mdogo sana. Mwamba achukue mwanaye bwana akamleeMiaka 14 kakomaa hivyo?
Aah wapi..huyo mzee hapo hana miaka 14 😅😅😅Bado mdogo sana. Mwamba achukue mwanaye bwana akamlee