Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Siku kadhaa zilizopita msanii "Harmonize" alisema ijumaa hii kwa maana ya kesho anaachia wimbo wake wa "I made it" Na wakati huohuo Diamond usiku wa leo saa sita,ambao kimsingi ni tarehe ya kesho...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
According to taarifa zinasombaa mtandaoni, asset ya maana Ruge aliyoacha imeuzwa kwa Bil 2 za kitanzania. Lakini jambo zuri kuliko yote, wanufaika wa mgao hao ni watoto 6 wa Marehemu tu. Kazi...
28 Reactions
229 Replies
37K Views
Kinda wa Manchester united Daniel Gore, kazaliwa 2004 ila anapeleka moto balaa. Garnacho ndio anaingia 20 years! Je, Tanganyika wachezaji wanwaka wazi wanawake zao?[siyo wake]. Je, utamaduni wa...
0 Reactions
3 Replies
736 Views
Msanii wa vichekesho nchini Lucas Mhavile almaarufu Joti, ameonyesha kufurahia kusua sua kwa Maandamano ya CHADEMA ambayo yanafanyika hii leo. Joti kupitia mtandao wa "X" ameonyesha kucheka na...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Msanii kutoka Nigeria asake, alifunguka hivi karibuni kuhusu kitendo cha msanii kutoka Tanzania Diamond Platnumz kuiga staili yake ya mtindo wa nywele pamoja na staili yake ya kuimba Baadhi ya...
2 Reactions
21 Replies
3K Views
Jana ilikuwa siku kubwa kwenye safari ya penzi la Haji Manara na Zailyssa. Manara alimvisha Pete ya uchumba mpenzi wake Zailyssa mbele ya umati wa watu walio hudhuria engagement party yao...
7 Reactions
81 Replies
7K Views
Kuna mchungaji anajiita Rose shaboka. Nadhani Kuna mahubiri yake ya hivi Karibuni amekuwa akihamasisha wanawake waendelee kuwa singo na wala wasiwe na haraka ya kukimbilia ndoa. Ilhali yeye...
13 Reactions
64 Replies
7K Views
Mchungaji Mc Pilipili ameonekana akiwa Club na watu maarufu wakiwa wanakula bata. Nini maoni yako?
7 Reactions
62 Replies
4K Views
Mwanadada mrembo Poshy Queen ameandika maneno yanayoonekana ni kama kumkana aliewahi kuwa Mpenzi wake Dj Seven. Poshy amedai kuwa Seven alikuwa ni rafiki yake na hakuwahi kuwa Mpenzi wake kama...
2 Reactions
11 Replies
2K Views
Rapa Curtis Jackson almaarufu 50 cent, ameonekana kupungua uzito kwenye picha alizopost mtandaoni hivi karibuni. Rapa 50 cent ni moja wa marapa wenye miili mikubwa ya mazoezi, kupungua kwake...
2 Reactions
20 Replies
2K Views
Ana sura nzuri. Ni mrembo. Anapendeza kila nguo. Ana swaggs. Ana mvuto. Hakuna mtangazaji yoyote wa kike anaemfikia East Africa.
8 Reactions
94 Replies
13K Views
Diamond Platnumz akifa mziki wa Tanzania unakufa. -Harmonize atakosa mtu wa kumpa kiki za kuvumisha ngoma zake -Alikiba atakosa mtu wa kushindana naye -Rayvanny atakosa mtu wa ku mboost kwenye...
17 Reactions
415 Replies
18K Views
Eti kila mmoja kanunua gari la mil 200 yale yaliyowashinda wabunge, hawa jamaa zimo kweli? Hawajawa bado masuper star ndo hivo je wakiwa? Ulimbukeni bwana ni kitu kibaya sana, wao wanaona...
0 Reactions
129 Replies
17K Views
Bondia Mike Tyson ambaye anasumbuliwa na magonjwa ya uzeeni ameahidi kiasi cha shilingi Bilioni 23 za Kitanzania kwa mwanaume yeyote atakayejitokeza kwa ajili ya kumuoa binti yake mwenye uzito wa...
7 Reactions
21 Replies
4K Views
Aunt Ezekiel amejibu swali la ni lini ataolewa na Baba mtoto wake ambae pia ni msanii wa Bongo Fleva "Kusah". ANGALIA VIDEO HAPA Written by Mjanja M1 Video from RickMedia
5 Reactions
63 Replies
5K Views
1. Petit man wakuache Huyu jamaa amefahamika kupitia Wema Sepetu, jina lake limevuma na kutajwa tajwa sana baada ya kuwa karibu na madame. Sio muigizaji wala mwanamuziki. 2. Romy Jones Huyu jamaa...
6 Reactions
187 Replies
28K Views
Hizi ni Nyimbo za mastaa wakubwa East Africa alizowai kuandika Tommy Flavour msaani mpya wa Kings Music One Day- Nandy Nifanane- Wahu Katu katu - Maua Sama Main Chick - Maua Sama Your Love -...
4 Reactions
44 Replies
9K Views
Yupi genius kati ya hawa anaye kumbukwa mpaka kesho kwa ubunifu wake kuwa uti wa mgongo katika maendeleo ya dunia. .
6 Reactions
43 Replies
3K Views
Contact list yako nani ni mtu maarufu zaidi. Vipi ukimpigia simu, atapokea?
0 Reactions
11 Replies
1K Views
#MadiniNaPatron 1. Nahreel anatokea familia yakishua jina lake halisi ni Emanuel Mkono na inasemekana baba yake ni Nimrod Mkono Mbunge wa CCM Jimbo la Musoma vijijini ambae pia ni mmiliki wa...
22 Reactions
54 Replies
6K Views
Back
Top Bottom