Nikimuangalia Nandy namuona kama mwanangu kwa umri wake. Ni msanii mwenye kipaji kikubwa sana na pia ndiye msanii pekee wa kike nchini mwenye Personality nzuri sana.
Ninatamani kuona siku moja akijikomboa kwa kuanzisha media station yake NA HAKIKA INGEBAMBA SANA kuliko Wasafi media.
Nimeshauri hivyo baada ya kuona jinsi Mond alivyofanikiwa hasa baada ya kuanzisha media stn yake. Mond kabla ya kuwa na media yake ilionekana kuminywa na kubaniwa sana na media kongwe hasa Cloud media enzi za Ruge.
Kwasasahivi Mond ana nguvu kubwa sana na ushawishi hata kwa media station zingine kwasababu wanaogopa kumbania wakijua anaweza kuwaajiri kwenye media zao. Wanahabari hawataki yawakute ya Mpoki ambaye alikuwa anamponda Mondi na kumkuza Harmonize.
Japo kwasasa naye Mond ameshageuka na kuwafanyia zengwe wasanii wenzake ili kubaniwa wasichanue kabisa, anatumia nguvu za chombo chake na hata alishalalamikiwa kuwahonga presenters wa media station zingine.
Ukombozi pekee ni kuanzisha media station na hapo ndipo itakuwa mwisho wa zengwe.
Ali Kiba na Harmonize ni wasanii wakubwa sana lakini ndio hivyo sio rahisi kupambana na Mond mwenye kituo cha radio na luninga na hii imemsaidia kumuongezea status Serikalini na kuchukuliwa kama mdau mkubwa wa vyombo vya habari.
Nandy wake up please
Ninatamani kuona siku moja akijikomboa kwa kuanzisha media station yake NA HAKIKA INGEBAMBA SANA kuliko Wasafi media.
Nimeshauri hivyo baada ya kuona jinsi Mond alivyofanikiwa hasa baada ya kuanzisha media stn yake. Mond kabla ya kuwa na media yake ilionekana kuminywa na kubaniwa sana na media kongwe hasa Cloud media enzi za Ruge.
Kwasasahivi Mond ana nguvu kubwa sana na ushawishi hata kwa media station zingine kwasababu wanaogopa kumbania wakijua anaweza kuwaajiri kwenye media zao. Wanahabari hawataki yawakute ya Mpoki ambaye alikuwa anamponda Mondi na kumkuza Harmonize.
Japo kwasasa naye Mond ameshageuka na kuwafanyia zengwe wasanii wenzake ili kubaniwa wasichanue kabisa, anatumia nguvu za chombo chake na hata alishalalamikiwa kuwahonga presenters wa media station zingine.
Ukombozi pekee ni kuanzisha media station na hapo ndipo itakuwa mwisho wa zengwe.
Ali Kiba na Harmonize ni wasanii wakubwa sana lakini ndio hivyo sio rahisi kupambana na Mond mwenye kituo cha radio na luninga na hii imemsaidia kumuongezea status Serikalini na kuchukuliwa kama mdau mkubwa wa vyombo vya habari.
Nandy wake up please