Fahamu zaidi kuhusu msanii Mwajuma Abdul Juma a.k.a Queen Darlin

Feb 6, 2024
40
51
QUEEN DARLIN
_________________

Mwajuma Abdul Juma, wamezaliwa baba mmoja mama tofauti na msanii wa bongo fleva Nasib Abdul ‘Diamond’ ambapo alizaliwa jijini Dar es salam mwaka 1985 na kupata elimu yake ya msingi na Sekondari jijini Dar es Salaam.

Amekuwa akiupenda muziki tangu akiwa mdogo ambapo tangu kushirikishwa katika singo hizo ya Dully Sykes jina lake lilishika kasi kwenye medani hiyo na hivyo kuanza kupata mialiko ya kimuziki sambamba na kushirikishwa katika kazi ya baadhi ya wasanii ikiwemo singo ya Mtoto wa Geti Kali ya Inspekta Haroun. Hivyo jina lake kubaki kuwa vinywani mwa watu mwaka 2005 alijiweka kando na muziki baada ya kujifungua mtoto wa kiume aitwaye Rooney (6).

kabla ya kurejea tena jukwaani mwaka 2006 alipotoka na singo yake ya kwanza iitwayo "Wajua Nakupenda"
aliomshirikisha Ali Kiba ambayo pia ilifanikiwa kufanya vema.

Darleen alielekeza nguvu zake katika kutunza familia yake huku muziki akiupa nafasi ndogo kabla ya mwishoni mwa mwaka jana kutoka na singo ya Maneno Maneno aliomshirikisha Dully Sykes ambao ulipata matokeo makubwa na hatimaye kutwaa tuzo hizo.

Anavutiwa zaidi na wasanii kama Chris Brown, Eve kwa upande wa wasanii wa nje ya nchi huku kwa hapa ndani akivutiwa na Rachel wa THT, Diamond, Ali Kiba na Mwasiti.

Queen Darleen anasema atakuwa mchoyo wa fadhila kama asipowashukuru waliomuwezesjha kufika hapo akiwemo meneja wake Guru ramadhan, Mtayarishaji KGT wa G Records, Ude Ude na Dully Sykes...

Baadhi ya nyimbo alizoshirikishwa.

Lil Taqwa Feat. Dully Sykes & Queen Darlin – Kifo Chs Mpenzi.

Man max - vitu Dimu

Nk...

Queen Darleen ambaye alitwaa tuzo ya wimbo bora wa Ragga/Dancehall katika tuzo za Kili mwaka 2012...

#funguka

Umejifunza nini

darlin 2.JPG
 
QUEEN DARLIN
_________________

Mwajuma Abdul Juma, wamezaliwa baba mmoja mama tofauti na msanii wa bongo fleva Nasib Abdul ‘Diamond’ ambapo alizaliwa jijini Dar es salam mwaka 1985 na kupata elimu yake ya msingi na Sekondari jijini Dar es Salaam.

Amekuwa akiupenda muziki tangu akiwa mdogo ambapo tangu kushirikishwa katika singo hizo ya Dully Sykes jina lake lilishika kasi kwenye medani hiyo na hivyo kuanza kupata mialiko ya kimuziki sambamba na kushirikishwa katika kazi ya baadhi ya wasanii ikiwemo singo ya Mtoto wa Geti Kali ya Inspekta Haroun. Hivyo jina lake kubaki kuwa vinywani mwa watu mwaka 2005 alijiweka kando na muziki baada ya kujifungua mtoto wa kiume aitwaye Rooney (6).

kabla ya kurejea tena jukwaani mwaka 2006 alipotoka na singo yake ya kwanza iitwayo "Wajua Nakupenda"
aliomshirikisha Ali Kiba ambayo pia ilifanikiwa kufanya vema.

Darleen alielekeza nguvu zake katika kutunza familia yake huku muziki akiupa nafasi ndogo kabla ya mwishoni mwa mwaka jana kutoka na singo ya Maneno Maneno aliomshirikisha Dully Sykes ambao ulipata matokeo makubwa na hatimaye kutwaa tuzo hizo.

Anavutiwa zaidi na wasanii kama Chris Brown, Eve kwa upande wa wasanii wa nje ya nchi huku kwa hapa ndani akivutiwa na Rachel wa THT, Diamond, Ali Kiba na Mwasiti.

Queen Darleen anasema atakuwa mchoyo wa fadhila kama asipowashukuru waliomuwezesjha kufika hapo akiwemo meneja wake Guru ramadhan, Mtayarishaji KGT wa G Records, Ude Ude na Dully Sykes...

Baadhi ya nyimbo alizoshirikishwa.

Lil Taqwa Feat. Dully Sykes & Queen Darlin – Kifo Chs Mpenzi.

Man max - vitu Dimu

Nk...

Queen Darleen ambaye alitwaa tuzo ya wimbo bora wa Ragga/Dancehall katika tuzo za Kili mwaka 2012...

#funguka

Umejifunza nini

View attachment 2912383
Nimejifunza kuwa kuanzia mwaka 2005 hadi mwaka 2024 ni miaka 6 !!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom