Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Hili life bhana, kutoka kuwa African giant mpaka kuanza kulialia, mhh nguvu ya mashabiki ni kubwa badilikeni someni upepo, mashabiki siku hizi wanajitambua, Burna Boy amekutana na siti tupu...
9 Reactions
23 Replies
879 Views
Jux ashusha ngoma zake mpya alizo ziachia hivi karibuni baada ya Gen z kuacha kusupport wasanii machawa je, asilimia kubwa ya mashabiki ni gen z ? Hii ni baada ya ngoma hizo kufanya vibaya...
7 Reactions
19 Replies
962 Views
Bushoke nakuita mara tatu, umepatwa na nini kijana wangu? Kijana umebarikiwa sauti nzuri sana ya kuimba, kama tatizo ni pesa imba, watanzania tupo tayari ku support kazi zako Ulikofika kwa sasa...
1 Reactions
30 Replies
1K Views
Kulikuwa na movement za kichonganishi za ku unfollow wasanii na media, nguvu imekata au?
1 Reactions
31 Replies
551 Views
Huo hapo, by Hassan Mapenzi
1 Reactions
8 Replies
673 Views
Sio Juakali , Kombolela, Dunia, Big boss na tamthilia nyingine mnadhani wasanii mmeshaona nguvu ya wa wananchi Unafki umewaponza. Watu wengi walikuwa wanahitaji sana support yenu kama nyie...
16 Reactions
17 Replies
790 Views
Nishazoea mwezi Novemba utasikia huyu katangaza show Kidimbwi, mwengine katangaza show Warehouse sijui mwingine anaenda kwenye tour mikoani Sasa hivi ukipita akaunti za wasanii wako kimya...
17 Reactions
46 Replies
2K Views
1. P Funky (Majani) 2. Master Jay 3. Mika Mwamba 4. Roy (G Records) 5.Sound Crafters
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Huko jela hawapewi loshen na vipodozi? adriz de mbusii
7 Reactions
27 Replies
1K Views
Wakuu, Huu uzi ni kwa ajili ya reference tu. Siku mambo yakirudi kuwa normal watu wapate reference Hawa wasanii kwa sasa ni lazima wawe na security guards maana ni hawakubaliki kabisa mtaani...
12 Reactions
23 Replies
1K Views
Daktari bingwa aliyefanikisha upandikizaji wa kwanza wa moyo uliodumu nchini Uingereza, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 93. Sir Terence English, alimfanyia upasuaji huo Keith Castle (52)...
4 Reactions
6 Replies
310 Views
Hizi ni shots ambazo ziko kwenye movie ambayo inategemea kutoka muda si mrefu! wasanii bado wako location, lakini, wewe kama mdau wa sanaa, una maoni gani kuhusu hizi shot chache zilizopigwa...
4 Reactions
47 Replies
35K Views
Wakuu, Nilikuwa napitia pitia huko mitandaoni nimeona performance ya Marioo kwenye tuzo za Trace imepandisha sukari Watanzania. Wengi wamemsifa Bien kuwa ameimba vizuri lakini huyu Marioo...
3 Reactions
26 Replies
2K Views
Muigizaji mkongwe wa Bollywood Dharmendra Kewal Krishan almaarufu ‘He-Man’ amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 89 leo Novemba 24, 2025. Dharmendra ambaye mmoja wa waigizaji maarufu zaidi...
3 Reactions
14 Replies
717 Views
Hatimaye Mshindi wa Miss Mbeya 2019 amepatikana, Angelah Deocress ndio mshindi wa taji la miss Mbeya kwa msimu huu, ikumbukwe mashindano haya huandaliwa na kituo cha redio cha Dream. FM kila mwaka...
2 Reactions
28 Replies
7K Views
Hii tarehe ya leo tarakimu zake zimekaa vizuri sana ni 0 na 2 basi. Leo ndio siku ambayo Nabii na mtume Mwamposya amekamatwa na jeshi la polisi na kwa maana hiyo atalala rumande nadhani ni mara...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Wafuatao ni wanamuziki wanaolazimisha fani hali ya kuwa uwezo wao mdogo/umepungua kwa kiasi kikubwa 1: Juma Kasimu kiroboto a.k.a Nature Huyu jamaa nyimbo zake anazozitoa siku hizi zinaboa sana...
5 Reactions
84 Replies
18K Views
WASANII HAWA WALIVUMA LAKINI WAKASHINDWA KUTENGENEZA PESA 1. 20% ; jamaa alifanikiwa kuchukua tuzo kama 5 hivi huku akiwa na mashairi makali na kufanikiwa kukubalika na mashabiki bongo lakn...
6 Reactions
110 Replies
18K Views
Nimeangalia hoja za Steve kuhusu kauli alizotoa Mh Msigwa bungeni jamaa amekuja na kashfa na sio hoja kwa nini anastahili nafasi aliyopewa na Mh Kigwangala. Hivi ina maana anaamini kuwa anaweza...
11 Reactions
81 Replies
13K Views
Back
Top Bottom