Sio tu kumekuwa na Kasumba ya Cancel Culture; bali kutegemea baadhi ya watu kuwa malaika na kuwalaumu, badala ya lawama hizo kuzipeleka kwa mashetani tunaowalipa...
Binafsi lawama kwa wasanii...
Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma inapenda kuwakumbusha viongozi wote wa umma walioainishwa kwa mujibu wa kifungu cha 4 (1) cha Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma (Sura ya 398), kuwa...
Kipindi cha kampeni wasanii wote mlikuwa upande wa CCM mkaanza kutukana wananchi eti tunalalamika sana tufanye kazi.
Baada ya uchafuzi wa 29 kuisha wameanza kutia huruma et nendeni youtube...
Wasanii wengi hapa bongo wana ma sponsors ambao pia husimama kama mameneja.
Iko hivi, wasanii wengi hapa bongo wamejibweteka sana hawana kazi nyingine zaidi ya muziki na wengi wanategemea shows...
Wasanii wanapishana kufanya malipo kwa Carry mastory na Diva kuhakikisha wanapewa promo ya kuwalaghai wananchi wawapokee kwa mara nyingine.
Kwa mtu mwenye akili timamu lazima ujiulize kwa nini...
Rapper Chid benz akifanya mahojiano katika kituo cha radio Kenya Radiomaisha.ke amefunguka moja ya changamoto anayopitia kwa sasa yeye kama msanii wa Bongo fleva baada ya uchaguzi.
Mwana hip hop...
Za asubuhi wakuu, leo nakuja na makala ya watu maarufu duniani, ambao wameacha alama kubwa katika tasnia zao na mpaka leo hakuna alietokea kuziba mapengo yao.
1) Mohammedi Ali
Huyu ni bingwa...
MC Pilipili alizua maswali mengi wakati wa sherehe yake ya ndoa na Mena Kanisani Juni 29, 2019 alipokataa sehemu ya kiapo cha ndoa kilichohusisha maneno "kwa shida na raha" madhabahuni.
Kukataa...
Wema aendeleza vita yake na Gen Z ambao wanataka kuandamana.
Ameonekana leo kuwakejeli baada ya maandamano kushindwa kufanyika mpaka hivi sasa kutokana na ulinzi mkali uliowekwa ili kuilinda...
Boashara yoyote inayofanywa na msanii hakikisha haumuungishi, mkiacha kuwaungisha mauzo yatashuka, mwisho wa siku ataishia kufunga tu biashara yenyewe.
Na si hivyo tu, hakikisha pia bidhaa zozote...
Asikwambie mtu bwana, miaka ya 90s ilikuwa ni Golden Eras, 1900s ndio vitu vingi viligunduliwa, mapinduzi makubwa ya ulimwengu yalitokea miaka ya 1900s. Hata hivyo miaka hiyo haikuisha kinyonge...
Staa wa TikTok Fanuel Masamaki Zerobrainer0 ashinda tuzo ya TikTok Video of the Year katika TikTok Awards ya Afrika Kusini mwa Jangwa
Tuzo hii ni hatua ya pili kubwa katika safari yake, ikifuatia...
hatutegemei show za Tanzania.Bila atashow sisi tutakula atakama ni miaka kumiKwasasa diamond anategemea sana biashara zake” Mama Dangote NENO Moja kwa mama Dangote
Tukizungumzia vijana wanaoshikiliwa kwa uhaini wengi wanalifahamu jina la binti strong Niffer.
Lakini kuna huyu mwamba anaitwa Mika Chavala.
Sikuwa namfahamu ila nilim-google baada ya kuona jina...
Today is My Happy Birthday nina jipongeza mwenyewe siku yangu ya kuzaliwa Ninawakaribisha Marafiki zangu wote karibuni tusherehekee sikukuu yangu ya kuzaliwa. Karibuni nyote. .
...
Kila ninaposikia Wimbo wa Starehe wa Ferouz ft Prof Jay basi nasawazika roho na nafsi.
Wimbo uliojaa nasaha na hekima, wimbo uliozingatia maadili, wafaa kwa wazee, vijana wa kike na wa kiume...
Wakuu nawaheshimu sana kwa kuwa kanuni mojawapo ya ubinadamu sahihi ni kuheshimu usiemjua mpaka utakapomjuwa:
Mimi ni miongoni mwao wafuatliaji wa muziki wa aina tofauti duniani, kama POP na SOUL...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.