Kichwa cha habari kiko wazi. Tofauti ya wasanii wa kisiasa na kisanaa ni namna wanavyopatikana. Wanaweza kufanya lolote hata kujidhalilisha au kuwadhalilisha, kujidhulumu au kuwadhulumu...
Moja wa influencers maarufu nchini Tanzania anayejulikana kwa jina la Mwemba Burton a.k.a Mwijaku au Jaku Boy amejikuta katika njia panda baada ya kuchwa mke wake Alice ambaye walibahatika kupata...
Msanii wa hip hop Emmanuel Elibariki Munisi, maarufu kama Nay wa Mitego, ameachia wimbo wake mpya unaoitwa “Tupo Bize”. Wimbo huo umeelezwa kuwa ni ujumbe maalum kwa wasanii wa Bongo Fleva...
Katika Hali isio ya kawaida dada kaingia insta na kuanza kutia huruma eti huyo jamaa alie matapeli sababu, hamtaki kimahusiano ndo chanzo jamaa kumtapeli kibabe.
Wadau wahoji insta ndo mahakama...
Msanii wa Bongo Fleva, Beka Flavor, ametoa ujumbe wa shukrani kwa Mwenyezi Mungu akisema uhai ni kwa mapenzi na rehema zake, si kwa ujanja wa binadamu. Katika ujumbe huo, amewaomba Watanzania...
Yeap natamani huyu jamaa siku moja asimamishe shughuli zote za jiji la New York na watu waelekee kwenye show yake ya muziki ndani ya ukumbi wa Madison Square garden kwenye viunga vya Downtown...
Nollywood actress Doris Ogala opens up in a shocking video, accusing Chris Okafor of sharing private content and causing personal tragedy, sparking massive online buzz.
Nollywood actress Doris...
"Jana usiku alisimamisha show yake kuwaambia watu waiombee Tanzania sababu ya mauaji yaliyotokea.
Meanwhile wasanii wa Tanzania wanapambana kuirudisha nchi kwenye hali ya hali ya kawaida ili...
Asilimia 2 TU watanzania ndo hawakumpigia kura mama yenu . Hizo asilimia 98 walimpa mama na nyie watawapa pia
Mmezoea kulalamika Kila awamu Kwa sababu ya uvivu na ulegevu
Pengine mkubali ule...
Wakuu kabla ya kuwahukumu hawa viumbe tujikumbushe kuwa wasanii ni watu wenye ushawishi mkubwa kwenye jamii kuliko hata wanasiasa walio wengi. Kwa mfano Diamond peke yake ana ushawishi mkubwa...
Ni hivi wakati wa kampeni mliowengi kama 95% mlichagua upande wa kisiasa na mkatoa maneno ya kubeza kwa wapinZani mkasema chama chenu kina watu wengi na kina nguvu wapinzan n wachache
sasa...
Kheri Konde ameelewa kwa namna yake kwamba muda huu si wakulaumiana tena, yote haya yanatokea ni kwasababu watanzania wanamaumivu yalitokea Oktoba 29.
==================
Harmonize ameongea na...
Lana Rhoades, aliyewahi kuwa nyota wa filamu za watu wazima (porn); anasema kuwa
alipokuwa na umri wa miaka 19, akiwa maskini na dhaifu, alidanganywa (groomed) na kumfanya kuingia kwenye tasnia...
Msanii wa maigizo Jimmy Mafufu amesema ushiriki wa wasanii katika kampeni za Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu haukuwa kosa, akibainisha kuwa walitumia haki yao ya kikatiba, hivyo hawana sababu yoyote ya...
Ila Harmonize hapana huyu ntu kutoka Ntwaraaa, sijuwi anatumia cha wapi?
=============
Anasema sisi ndio tumemfanya aweke grills kwa meno, sisi ndio tumemfanye ajichore matattoo mwili mzima🤣🤣🤣 cha...
Yeye si ana vyombo vya habari na ana majukwaa ya kisasa, basi aendelee kupromoti mziki na wanamuziki wake. Hatuna muda wa kujadili mambo yake tena issue yake ikifika jioni tujihidi abaki anajadili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.